Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

Yaan ww umejibu kwa uelewa mdogo wakat yy kaelezea kwa uelewa mkubwa sana mzee... Natural disaster kiuhalisia zinatokea mara moja tu baada ya muda mrefu sasa ila kwny forex ni kawaida suppose una nyenzo zote kwny kilimo na umefanya kila kitu had ndege za irrigation unazo why ufeli kilimo hapo mkuu ?? Ni tofaut na forex mzee unaweza ukawa na kila kitu kwny forex every thing na bado ukachoma account afu the big point is forex traders wengi faida yao ni kwny mentorship program ila wenyew hawana uwezo wa kumake hzo hela through forex huu ndo ukweli wenyew.
 
Agiza mirinda nyeusi ya baridi au pepsi big nakuja kulipia mzeee
umemaliza kila kitu ila bado wabishi tuuu
 
Pole sana brooo

Ukishindwa wewe usidhani wanashindwa wote

Mnatafutaga pa kujifariji

Unaweka laki na 80 unakuja kupiga kelele hapa

View attachment 1920271

Kama hujafika huku wewe bado sana boss
Mbona hii kila mtu anaposti mkuu. Hebu post hela imetoka kwako imeenda kwa broker. Na imetoka kwa broker ikaja kwako kwa Mana ya kuwa umepiga hela
 
Ww market ilikushinda angalia michingo mingine.....ikiwa na viela mbuzi usiingie FX...
lakini pia FX ni kwa matajiri lakini kapuku kama ww utachezea loss za hatari
 
Na wewe hebu tuone hapo uliposema kuwa uli Withdraw$6350 ,pia iyo akaunti ulivyoanza nayo 2013 hebu tuone hata demo ulivyoanza kwanza ama Kama Kuna real ulifungua ya dola hata 50 hebu tuone Kama utuambiayo ni ukweli
2013 niliijua sikuanza kutrade muda huo
hiyo sikuwithdraw kwa mara moja ni kidog kidogo kwa miaka minne hiyo nilofanya
data ninazoweka nizile za kwa broker maana nilikuwa natumia simu na muda mrefu umepita meseji sina.
ngoja nione nikiingia kwa broker nikacheki history nitakuwekea hiyo
 
Ww market ilikushinda angalia michingo mingine.....ikiwa na viela mbuzi usiingie FX...
lakini pia FX ni kwa matajiri lakini kapuku kama ww utachezea loss za hatari
sasa kama niyamatajiri mbona wanaohangaika nayo sio matajiri?
 
Okiwa na pesa ya mawazo FX ni ngumu kutoboa sasa hao wengi wanaoshindwa ni makapuku ...
ww unaweka dola 200 unatred FX huo ni upuuzi
Tena uweke $10k na usiiwazie Sana hata ikipotea poa kwako bado your well being will stay the same.
Kama Ile hela unayohonga hata usipopewa mbusu haumii. So unakuta unahonga kwa mahesabu makali.

Hii Mara nyingi wapo wanaoweka mtaji wa $100-200k unatredi comfortable na standard lot bila shida. Ikienda against na wewe hata $500-1000 una kata loss bado ukiwa comfortable kabisa na usiumie.
Fear and greed are the most expensive emotions that stop us from making wild money than what you thinking right now.
Thousands of dollars can be made/lost in a matter of blink an eye.
 
FX ni hesabu..... huwezi uka inverst dola 200 ukaweka lot size ya 10x3 or 10x2 hayo ni makosa makubwa ukiwa na dola 200 target profit ya dola 3 mpaka 4......kwa lot size ya0. 01x3 or 0.01x4...
Hata market ikienda against ww unakuwa na loss ya 4 USD unaweka dola 200 unataka kesho upate dola 400 utajiri wa haraka haraka upuuzi....
Ukiweka lot size kubwa mtaji mdogo hapo unakuwa unafanya gambling
 
hilo ndio tatizo la forex
kwanini useme mtu anakuwa na hofu au anakuwa haraka yakupata pesa?
kama unaweza ukawa unachambua soko na ukawa na sababu yakukuonyesha kuwa hili soko sahihi kwanini usiweke lot kubwa na ukapiga mapesa?

ninachokielewa ni hiki unaweka bima sababu hauna uhakika wakupata faida , unapewa tahadhari vhungu nzima sababu unakuwa hauna uhakika wakupiga pesa namna hiyo,
nimetenga miaka minne nadeal na forex moja kwa moja na sikuwa mfanyakazi wa mahali popote mimi kijana wa nyumbani tu hivyo nakuwa na muda mwingi wakujisomea na kuongeza ujuzi
but mwisho wasiku inakuwa shida sababu there is no any mechanism of profit na biashara ikiwa hivyo tayari sio biashara kabisa hata kidogo ndio maana kaika forex huwezi fanya your ways sababu huwezi kuelewa kitu ambacho hakipo katika uhalisia,
hela yakwako elimu ya kwako ujuzi wakwako lakini bado haupaswi kupigana kwa kanuni zako.
usipokielewa hiki nimekiandika hapo juu, jua kuna shida kubwa inakukabili mbele yako juu ya maamuzi sahihi ya maisha,
neno langu sio sheria ila walau jitahidi basi kuelewa kwanini huyu mwizi kaiba kabla haujaua, unaweza kushangaa sana ukielewa sababu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…