Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
Kipo mkuu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dar kuna chuo cha Mzumbe?? Mbna sina habari?? Duuuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipo mkuu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dar kuna chuo cha Mzumbe?? Mbna sina habari?? Duuuh
Mzumbe ipo upanga wewe miaka mingi sana, na ndio chuo cha kwanza cha mzumbe kutoa masters...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dar kuna chuo cha Mzumbe?? Mbna sina habari?? Duuuh
Hata sikuwaa najua, nilidhani ni pale Moro, na campus yake ya Mbeya bas. Kumbe hadi Dar.Mzumbe ipo upanga wewe miaka mingi sana, na ndio chuo cha kwanza cha mzumbe kutoa masters...
Basi sawah.Kipo mkuu...
Inaweza kuwa walikuwa hawapo hapo na ikawa bahati yenu... Ile njia zaman ilikuwa ina ulinzi sana sababu njia ya kwenda ikulu, zaman ulikuwa ukionekana hata unaenda xhini ya daraja la sarenda msala sana ila saivi vobaka wanakunya mavi pale darajani yanasombwa na maji ya mto msimbazi yanaenda kuxhanganyika bahariniIlikua lini mkuu??????Maana last week nilikodi bajaji usiku ilizimika pale darajani kwa nyuma kidogo,ilikua usiku saa nane panatisha sana na magari hayasimami yanapita nduki balaa.Tukaamua kuisukuma mpaka pale kituo cha polisi,tukapaki na dereva kuanza kuitengeneza.Nadhani vibaka wa pale wanaangalia na mtu wa kumvamia,hasa wanavamia wenye magari na wanaopita mtu moja mmoja mkuu
Basi sawahMmmh hapana kuna kaumbali flani kutoka hapo jangwani ila sio mbali sana unatembea tu,ila pale fire kituoni kuna njia ya mkato fupi zaidi.Sijapita pale mda mrefu
Campus ya Dar imeanza kabla ya Mbeya tena ni opposite na kanisa kama sikosei sijui la kkt sijui nini, ila ndio mzumbe walipaanzisha kama chuo chao cha masters ya kozi zao,Hata sikuwaa najua, nilidhani ni pale Moro, na campus yake ya Mbeya bas. Kumbe hadi Dar.
Umevuta bangi au umelewa?Nakumbuka nikitokea maeneo ya Slipway baada ya boss wangu kunipa laki moja nikatafute samaki,
Nikaenda msasani nikakosa hivo nikaona niende feri, nikapanda gari la kwenda Kariakoo tulipokaribia Salender nikamwomba konda anishushe hapo, konda kwa mshtuko, unasema...
Mkuu ni kweli ila sasa hivi ulinzi umerudi mkuu,kuna askari wa doria wanaweka kambi mle ndani kwenye mianzi siku moja moja.Inaweza kuwa walikuwa hawapo hapo na ikawa bahati yenu... Ile njia zaman ilikuwa ina ulinzi sana sababu njia ya kwenda ikulu, zaman ulikuwa ukionekana hata unaenda xhini ya daraja la sarenda msala sana ila saivi vobaka wanakunya mavi pale darajani yanasombwa na maji ya mto msimbazi yanaenda kuxhanganyika baharini
Kipo, nadhan upanga pale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dar kuna chuo cha Mzumbe?? Mbna sina habari?? Duuuh
Kumbe wanatoa Masters tyuuh??Campus ya dar imeanza kabla ya mbeya tena ni opposite na kanisa kama sikosei sijui la kkt sijui nini, ila ndio mzumbe walipaanzisha kama chuo chao cha masters ya kozi zao,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu ni kweli ila sasa hivi ulinzi umerudi mkuu,kuna askari wa doria wanaweka kambi mle ndani kwenye mianzi siku moja moja.Hata vibaka wakiiba waga hawakimbiilii mle ndani kwenye vichaka...
Basi sawaahKipo, nadhan upanga pale
Yeaah hakuna bachelor's degree pale... Ni degree ya pili tu ndio mana undergraduate wengi hawakijui...Kumbe wanatoa Masters tyuuh??
Nimepita hapo mda huu,naelekea agha khan.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo maana sio maarufu, nilitaka nishangae chuo kitoe Degree mbna hakifahamiki, hapo sasa sawa nshaelewa.Yeaah hakuna bachelor's degree pale... Ni degree ya pili tu ndio mana undergraduate wengi hawakijui...
Ouk ufike salama uendako.N
Nimepita hapo mda huu,naelekea agha khan.
Okay napitaga sana hapo makaburini... Zaman wakati bwana mkubwa yupo pale sarenda hata saivi kuna manjagu....Mkuu ni kweli ila sasa hivi ulinzi umerudi mkuu,kuna askari wa doria wanaweka kambi mle ndani kwenye mianzi siku moja moja.Hata vibaka wakiiba waga hawakimbiilii mle ndani kwenye vichaka.Nenda pale kinondoni makaburini kwenye kituo cha daladala za mwananyamala,utakutana na vibaka waastaafu watakupa update za hiyo njia ya salender bridge siku hizi ipoje.Ukiona kibaka anaiba hapo ucku bas ujue akimbilii kule kwenye vichaka wanaogopa asikari.
Nishafika mama🤣🤣🤣Ni hapa las vegas casino zamani palikua panaitwa jolly,s clubOuk ufike salama uendako.