Kilichonitokea kituo cha Daraja la Salenda baada ya kushuka kwenye daladala saa nne usiku

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ve wa mlongo, hinu ukajumbalila kwoki? Ve vandu va dala dala havo ndawa ya kyani vahuruki ng'oyi kukutangatila??

Niheki hadi maholi gihuma. Ila vibaka jamaniii uwiiiih
 
Siku nakatiza mitaa hiyo toka upanga na stress zangu sa mbili hivi sijui ikawaje .
Lile kundi hawa hapa vibaka.
Tulikimbizana mpk wanarudi tuko miembeni kino makaburini.
Wakarudi maana walijua huku huyu jamaa anatupeleka mitaa yake tukatandikwe😅😅😅😅.
Na kweli wangefika tu American chips siku hiyo cha moto wangekipata
 
Hahahaha
Hama huko Vikindu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipo Mawasiliano, ila sikuwahi jua km kuna Campus ya Mzumbe hapa Dar, pia ni kwa postgraduate ndo maana sio maarufu.

Au pia mie niko buzzy sana na mambo yangu.
 
Kwahiyo ndugu mwandishi inaonekana hata wew hujui nni kilitokea
 
Ndio hiyo hiyo mikoko mkuu ndani ya ile hifadhi ya maliasili kuna bango lao pale la kukataza watu wasifanye shughuli yoyote mle ndani🤣🤣🤣Sijasoma biology so sijui kutofautisha mimea mkuu.
Kama mikoko ndiyo hiyohiyo mianzi unanitia mashaka pamoja na uandishi wako wote unaoonesha kila kitu hukijui.
 
Kama mikoko ndiyo hiyohiyo mianzi unanitia mashaka pamoja na uandishi wako wote unaoonesha kila kitu hukijui.
Mkuu sawa silijui hilo daraja la salender dar nimekuja juzi🤣🤣🤣🤣🤣.But huu uzi wakati unaanza jana ucku nilikua nachati na @ Cocastic na mdau @ George pk nikiwa las vegas casino tunazungumzia matukio ya hapo darajani way back.
 
Mkuu walianzia kukukimbiza pale darajani mpaka kule juu kino shamba(Makaburini)kweli una mapafu ya mbwa🤣🤣🤣🤣🤣Pale miembeni makaburini ndio kijiwe chao,kule juu mitaa ya ilipokuwepo american chips jau🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu shekilango ucku mpaka wale boda boda wa kituo cha mwendokasi ni wakwapuaji hasa wakiona mtu yupo tungi
Hata Buguruni she'll,kuna jamaa yangu alichukua boda mida saa 5 usiku!anaenda ubungo,kufika maeneo ya Tabata kuna boda nyingine ikawapita,kufika kule mbele jamaa kwa spidi akakunja kona kuelekea kushoto huko mbele kuna kama shamba na nyumba zipo mbali,chap na boda mwingine akafika,wakatoa mapanga kwenye makoti,jamaa akapukutishwa visenti vyote na simu alizokuwa nazo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…