Kilichonitokea kituo cha Daraja la Salenda baada ya kushuka kwenye daladala saa nne usiku

Tulianzia pale mkuu toka baru sana mi nia niwafikishe pale tu american chips tuwachinjilie mbali
Wakashtuka wakageuza😅😅😅
 
Binafsi nimependa Uandishi wake!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata cjui ziliko, nshapoteza mda.
hahahahaha, umenikumbusha kuna watu walikuaga wachoyo kushare material O'level & A'level kisa kuhofia kupitwa kwenye pepa. Utoto raha sana
 
Hausiboi kapewa tachi
 
hahahahaha, umenikumbusha kuna watu walikuaga wachoyo kushare material O'level & A'level kisa kuhofia kupitwa kwenye pepa. Utoto raha sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa material nayo ya kunyimana??
 
Hilo eneo beach boys hawaambiwi kitu nadhani wanakula na wakubwa maana askari wamewashindwa,kuna wengine wapo hapa nyuma ya ikulu,kwenye uwanja wa gymkhana,walinikomba buku ya nauli,nlitembea ya mguu ferry hadi tabt bima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…