Kilichotokea kariakoo jana msukumo wangu wa uongozi umeongezeka mara dufu! Viongozi wengi wa Afrika wapo kwa ajili ya maslahi tu

Kilichotokea kariakoo jana msukumo wangu wa uongozi umeongezeka mara dufu! Viongozi wengi wa Afrika wapo kwa ajili ya maslahi tu

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Kiukweli kilichotekea jana kariakoo msukumo wangu wa uongozi umeongezeka mara dufu nahisi au ndiyo ukweli viongozi wengi wa Afrika wapo kwa ajili ya maisha yao na si Ku dedicated maisha yao kwa walipa kodi just kwa miaka 63 bado nchi kama nchi tunasua sua kwenye uokozi? Wale ni walipa kodi wakubwa lakini viongozi anaendaa pale hamna la maana

Eti tumesitisha uokozi kwa sababu ni usiku aisee ingekuwa mnakusanya kodi mngejali usiku? Kodi mnakusanya halafu mnanunua Ma V8 na matumizi mengine ya anasa nilihisi baada ya Ile ajali ya precision air tumejifunza kumbe wapi? Aisee

Miaka 28 sasa tokea ajali ya MV bukoba itokee bado hatujajifunza Tu hivi nitajie kuna kiongozi wowote yule kwenye nchi hii yupo kwa ajili ya walipa kodi? Wananchi wa Tanzania inaelekea wapo kwa ajili ya viongozi na si viongozi wapo kwa ajili ya WaTanzania

Msukumo wangu na energy yangu ya uongozi umeongezeka mara dufu........
 
Tumetenga bili 108 kwa ajiri ya magari ya wakuu wa mikoa .wilaya na kukarabati nyumba zao
 
Wewe unafanya nini mkuu
Kama sasa tu umeshindwa hata kujitoa mhanga!
 
Ninajiuliza swali moja la kijinga tu, hivi Wanu angekuwepo huko chini je Sa100 angeendelea na mipango ya kuhudhuria Mkutano wa G20!?? Sio kwa ubaya lakini najiuliza tu!?
images (29).jpeg


Wanu ndo atume ujumbe kuwa anakaribia kupoteza maisha, je Sa100 angeendelea kutweet kuwa hali ya uokozi ipo vizuri?
 
Duh usiku kwa hy wale watu walale huko we si tulale vitandan
 
Back
Top Bottom