Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi ulilala LUGALO HOSPITAL, jana ulilala Nyumbani kwake, MASAKIMwili ulikua anapelekwa hosp sio nyumbani kwake
Kila msiba lazima mlalamike aiseee.
Ndugu screpa, hayo ni mawazo ya mtoa mada na sio suala la maandiko mkuu,Maandiko gani yanakataza kumzungusha Marehemu? Mimi kama screpa ningependa mnizungushe hata mwezi
Itategemea kama viongozi wenu kitaifa wataruhusu ratiba hiyo iwepo...kwani hamna mwakilishi wenu ama unajiwakilisha mwenyewe?Kwa hiyo umeamua tunao vuta bangi na wewe hapa kijiweni tusikuage?.
Hata wale Wajumbe wa CCM hawawezi kukubali aiseeeeNinachojua kumsitiri mfu sio tu kumzika chini ya udongo, bali ni pamoja na kumuepusha na mizunguko ya aina hii.
Nikiuliza hapa nani angependa akifa awe anapelekwa uwanjan asubuh, anakaa huko masaa 12, na kisha jioni anarejeshwa nyumban kwake, kwa siku tatu mfululizo, nadhan hatapatikana.
[emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1549][emoji1549][emoji1549]
Jr[emoji769]
Kaburini atapata muda wa kutosha wa mapumziko. Hizo siku mbili tatu mbona inakuwa nongwa sasa?Mtu kashakufa,kwanini asiagwe siku moja,mwili wake ukapumzike
wewe utakuwa muhenga wewe wengine tulikuwa bado wadogoWakati wa mwalimu Nyerere mwili ulibaki uwanjani watu waliaga usiku na mchana
Kwetu wanasema maiti haitakiwi irudi nyuma,
Kwa Mkapa ni kama wamepata surprise kuwa hawajua hata wafanye nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pia tuna-buy time ili kule kijijini mazingira ya nyumba yarekebishwe faster.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na akili yako ni screpa piaMaandiko gani yanakataza kumzungusha Marehemu? Mimi kama screpa ningependa mnizungushe hata mwezi
Hahahahahaha..Pia tuna-buy time ili kule kijijini mazingira ya nyumba yarekebishwe faster.
wanajeshi wanajikakamua huko kijijini chap-chap maana nyumba ilikua kama imetelekezwa tulijikita zaidi kwenye mansion ya Lushoto.Hahahahahaha..
Ukweli mchungu.
Mfu hajui kitu chochote!Ninachojua kumsitiri mfu sio tu kumzika chini ya udongo, bali ni pamoja na kumuepusha na mizunguko ya aina hii.
Nikiuliza hapa nani angependa akifa awe anapelekwa uwanjan asubuh, anakaa huko masaa 12, na kisha jioni anarejeshwa nyumban kwake, kwa siku tatu mfululizo, nadhan hatapatikana.
[emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1549][emoji1549][emoji1549]
Jr[emoji769]