Kilichotokea kwa Mzee Mkapa kisitokee kwa kiongozi mwingine

Kilichotokea kwa Mzee Mkapa kisitokee kwa kiongozi mwingine

Marehemu naye anasikia raha kidogo jamani kubembea kwenye kale katoroli
 
Wangepeleka mwili siku moja tu kisha wakazika pia wangekuja wengine(pengine hata wewe mleta mada) kulalamika kwanini hawajatoa muda mrefu watu waage mwili wa rais wao mstaafu.
 
Shida iliyoko huyu Mzee kpnd cha uhai wake hakujenga zaid ya kuwekeza huko mjin ili Hall Alisha sema kuwa anatarajia kuzikwa kwao! Hakika ukienda masasi hakika mazingira sio mazuri,newala vivyo hivyo utazan kusin hakukuwa mkuu wa nchi. Ndio maana jiwe ameona bora ajiwekeze kabla ya umauti
 
Lupaso kulikua kuchafu sn maana tuliwekeza zaidi lushoto....

Aliyekua mbunge wa masasi kahojiwa na tbc leo alikua anasema mkapa akikua anatembelea mara kwa Mara lupaso na kila sikukuu alikua anaenda kula lupaso basi akasema hata Pasaka mwaka huu kala kule......kaulizwa mara ya mwisho mkapa kutembelea lupaso ni lini kajibu wamekutana dodoma kwenye mkutano😀😀😀

Maccm hovyo kabisa
 
Naam matumizi mengine muafaka ya Kodi zetu...., ila..., why not badala ya kununua hizo mobile morgue equipment tusiongeze ukubwa wa mortuaries ili kina kabwela wengi zaidi wapate hii huduma..., au all animals are equal but some are more equal than others ?
Ada yake ni balaa!!
 
Hakuna surprise yoyote, wapanga mipango awamu hii ni hopeless

Hebu kumbuka Mkapa alipokuwa madarakani alivyosimamia msiba wa Mwalimu kwa weledi

Hawa wa sasa hivi vitu vidogo vidogo vinawashinda
Nyerere aliagwa vizuri kweli.

Mkapa alimzika Mwalimu vizuri.

Ni vipi wasipige wimbo wa Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote hata wakati wanamtoa mle kanisani.

Sikusikia mahubiri ya Ben leo, sijui ndo leo Nakumbuka wakati wa Mwalimu alihubiri Policap Pengo somo la ...YA MUNGU MPENI MUNGU YA KAISARI MPENI KAISARI..... ilikuwa nzuri.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Ben kapigiwa mizinga yoyote ya heshima?

Mwalimu alipigiwa mizinga ya heshima pale airport alipopokelewa kutoka uingereza
 
Back
Top Bottom