Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo vifaa vya mochwale vingeletwa uwanja wa taifa!?Kweli kabisa mkuu. Ilitakiwa usitolewe uwanjani ukae hapo hapo kwa siku tatu mfululizo. Swala la kuuleta kila asubuhi na kuurudisha jioni sio jambo zuri hata kidogo.
Mbona jana kuamkia leo ulilala nyumbani kwake? Punguza huo uongo wako wa kuongea mambo usiyo yajua
Kumbe mnafatilia aiseee wafuasi wakipinzani wa nchi hii mna tabu sana. Jana ulikua mkesha usiku wake wa mwisho kwenye nyumba aliyizoea na kuishi. Leo mkesha kijijini kwao kisha mazishi.
Hope povu utafulia mkuu
Mpaka uwe hayati ndio hili linaweza kufanyika. Ila kwa sasa ukifa asubuhi jioni ushaingia ndani ya futi 6Mimi hapa kaka... Asubuhi wanipeleke kijiweni kwangu napopata kahawa, mchana nipitishwe nilipozoea kupata ugali samaki, saa tisa nipitishwe kiwanja nilichokuwa napiga kilaji, jioni nipitishwe kwa mchepuko wangu Eva kisha wanirudishe kwa mama Bhoke nikalale kwa ratiba za kesho yake.
Walichomfanyia mama wa fursa sawa kwa wote, Mungu anawaona.Ndiyo maana mama Ana Mkapa anajifunika gubi-gubi hadi usoni tusimuone anavyoumia kwa uchungu.
Unajuwaje kama mimi pia ni mguswa wa huo msiba? Inakuwaje nyinyi vilaza wa lumumba mnashindwa kutumia angalau robo ya ubongo wenu?
Naona mnapoteza maana halisi ya Mtoa mada.Mimi hapa kaka... Asubuhi wanipeleke kijiweni kwangu napopata kahawa, mchana nipitishwe nilipozoea kupata ugali samaki, saa tisa nipitishwe kiwanja nilichokuwa napiga kilaji, jioni nipitishwe kwa mchepuko wangu Eva kisha wanirudishe kwa mama Bhoke nikalale kwa ratiba za kesho yake.
ViongoziNinachojua kumsitiri mfu sio tu kumzika chini ya udongo, bali ni pamoja na kumuepusha na mizunguko ya aina hii.
Nikiuliza hapa nani angependa akifa awe anapelekwa uwanjan asubuh, anakaa huko masaa 12, na kisha jioni anarejeshwa nyumban kwake, kwa siku tatu mfululizo, nadhan hatapatikana.
[emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1549][emoji1549][emoji1549]
Jr[emoji769]
Kivip mkuu, elezea.Kea sisi wa mambo ya kiroho hilo lilikuwa kafara
Jr[emoji769]
guswa tangu msiba unatokea unayoa kashfa,mguswa gani wewe. Au mguswa wa hausi boy wa hapo home. Lumumba huku koromije ni mtaa uliochangamka sana. Nipo usagara mie