Kilichotokea kwa Mzee Mkapa kisitokee kwa kiongozi mwingine

Kilichotokea kwa Mzee Mkapa kisitokee kwa kiongozi mwingine

Hakuna shida yoyote wafu hawajui neno lolote kwa hiyo marehemu hawezi kusumbuliwa. Jambo la pili usifikiri wewe una akili kuliko jopo la watu wote waliokaa wakapanga huo utaratibu. Tatizo watanzania tunajifanya tunajua kila kitu na kupenda kulalamika kwa kila kinachofanyika. Imefika muda tubadilike sasa
Ni mume mzazi babu kaka shemeji nk huwezi ukawa unazungusha mtu mortuary uewanja mtu akitolewa mortuary anaenda kuzikwa ujinga huo ukomeshwe
 
Ninachojua kumsitiri mfu sio tu kumzika chini ya udongo, bali ni pamoja na kumuepusha na mizunguko ya aina hii.

Nikiuliza hapa nani angependa akifa awe anapelekwa uwanjan asubuh, anakaa huko masaa 12, na kisha jioni anarejeshwa nyumban kwake, kwa siku tatu mfululizo, nadhan hatapatikana.
[emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1549][emoji1549][emoji1549]

Jr[emoji769]
Ki ukweli si ubinamwana-adamu
 
Duh! Yule mtu wa jiwe yule akishasema amesema: "siku tatu hapa uwanjani kila mtu amuage", hakuna wa kuhoji. Huo ndio ubaya wa udikteta watakutii tu hata ukisema tujenge barabara za mbao.
 
Najaribu kukumbuka mwili wa Nyerere ulikaa uwanjani siku tatu bila kupelekwa popote, hiyo ni 1999, mwaka 2020 kila kitu kimeadvance lkn mwili unakimbizwa huku na kule, maybe aliacha wosia asije kulazwa hapo uwanjani, tusemeje sasa
 
Mkuu,

umeshindwa kunote a very simple logic.

He wasn't a normal person.
 
Mimi kwasababu sijui kama mtu akifa roho yake inaona mwili unavyotendwa huku sina maamuzi, ila kudadeki kama nikifa mwili halafu roho inaona kila kinachotendwa atakayefanya tukio baya kwa mwili wangu atanitambua, namzaba vibao mbele za watu
😂😂😂
 
Ila walimvalisha lile shela jeusi na sura ile ya uzee na majonzi aliyokuwa nayo usoni dah, ngoja nisiseme alivyokuwa anaonekana
Ningekuwa familia hiyo mama angevaa white gown na vail kama bibi harusi japo nguo iwe ndefu tu ya kawaida. Ni harusi ya mwisho kwa mumewe.
 
Back
Top Bottom