Kilichotokea kwa Mzee Mkapa kisitokee kwa kiongozi mwingine

Kilichotokea kwa Mzee Mkapa kisitokee kwa kiongozi mwingine

Tatizo imani yake ndoo imemoonza mpaka akafanyiwa yote hayo,mm huwa nasema basi kama watu mnampenda zaidi mfufueni basi, Unafikiri Mwinyi atafanyiwa hivyo ?
Imani yako inakuambia marehemu huwa anateseka?
Anasikia?

Kifo maana yake ni roho hutengana na mwili, na mwili hauna chochote zaidi ya kuoza wewe kiumbe!
 
Wakili Yakub anapaswa kuelewa kuwa ule ni msiba wa Kitaifa.

Kuurudisha mwili hospitali ni kuutunza usibadilike state yake kabla ya maziko.

Yeye anasema ni maumivu kwa familia, je aliwasiliana nayo ikamjulisha kwamba wanaumizwa?

Huyu wakili bana matata sana. Atayashtaki makampuni ya simu kumbe alikuwa na agenda behind
 
Nandi Azikiwe alipofariki nchini Nigeria alizungushwa nchi nzima hill unasemaje?
 
Ahsante sana Mh. Wakili. Nadhani tatizo ni kutokuwa mwongozo rasmi (Katiba/kanuni) ambayo ingeainisha nini kifanyike. Ukifikiri kwa makini peleka rudisha mwili hiyo "TUMSHUKURU MUNGU NI MWEMA LIMEPITA SALAMA" Jana niliweka mada (ilifutwa/hamishwa) lengo ilikuwa kuhadharisha kwamba "TUNAWAPENDA SANA WAPENDWA WETU WANAOTANGULIA MBELE YA HAKI.

LAKINI LAZIMA TUWE NA JICHO PANA ZAIDI KATIKA KUWAENZI MIMI NILIJIKITA KATIKA ZILE SIKU ZA KUMBUKUMBU ZA KUWAENZI ILI TUONE UTARATIBU BORA ZAIDI KULIKO SIKU HIZO KUWA "HOLIDAYS....". NA HAIKUTOSHA NIKAKUMBUSHIA ZAMANI TULIKUWA NA SIKUKUU YA MASHUJAA..." Niliuliza Je tukienda hivyo kwa miaka mbili na zaidi ijayo itakuwaje? Kwa sasa naamini tunayo nafasi ya kubadilika kutokana Namba Moja wetu kuwa MTUBUTU NA MWENYE MAAMUZI

POLE KWA RAIS WETU, POLE KWA FAMILIA YA MZEE MKAPA, POLE KWETU WATANZANIA.
R.I.P MZEE MKAPA
 
"Na Bashir Yakub, Wakili.
+255 714 047 241.

"Mzee Mkapa ni kiongozi wa kitaifa na hivyo ilikuwa lazima aagwe kitaifa na viongozi pamoja na wananchi.


Hata hivyo, maoni yangu...
...ni wakati muafaka sasa wa kuwa na vifaa hivyo "mobile morgue equipments"


Sina kumbukumbu nzuri kwa Mwalimu ilikuwaje,...
... ilikuwa hivi swali kwetu ni je, tunaonaje, jambo hili bado ni zuri kwa viongozi wetu wanaotutangulia??"

Yani wakili hakumbuki jinsi nyerere alivyoagwa? Nawasikitikia wqnaokupa kesi zao. KW vile jina lako lina majibu yote ni hki uko kusema hivyo
Kabla ya kujibu kwa hisia za udini ulimsoma vema wakili?
HOJA HAIPIGWI RUNGU!! Nukuu toka kwa Mzee JK ambayo aliipata kwa Hayati Mwalimu
 
Ni kweli mkuu ilileta pia usumbufu si kwa marehemu tu bali hata kwa wakazi wa jiji la Dsm ambao nyakati za jioni huwa kuna msongamano mkubwa wa magari barabarani na foleni kubwa ya watu kwenye vituo vya daladala ambapo baadhi ya barabara zilifungwa kwa muda na hivyo kufanya watu kuchelewa makwao!...Hata hivyo nadhani tukio hili litatupa experience flani itakayotusaidia kuboresha maombolezo ya viongozi wetu katika siku za baadae!
 
Yani wakili hakumbuki jinsi nyerere alivyoagwa? Nawasikitikia wqnaokupa kesi zao. KW vile jina lako lina majibu yote ni hki uko kusema hivyo
... sijui umri wake lakini anaweza kuwa alikuwa na miaka 10 kiumri Chief au alikuwa nje ya nchi majukumu mengi au kalazwa hospital kufuatilia shida. A lot of possibilities.
 
... sijui umri wake lakini anaweza kuwa alikuwa na miaka 10 kiumri Chief au alikuwa nje ya nchi majukumu mengi au kalazwa hospital kufuatilia shida. A lot of possibilities.
Makosa mawili hayafanyi kuwa ndio sahihi.
 
Ilikuwa ibada ya sanamu. Sisi watu wa Rohoni mbona tuling'amua mapema tu.
 
Back
Top Bottom