Kilichotokea kwa Mzee Mkapa kisitokee kwa kiongozi mwingine

Kilichotokea kwa Mzee Mkapa kisitokee kwa kiongozi mwingine

Marehemu Hana shida,.hata mkauacha mwili wake juani masaa kumi na mbili..Mana roho ilishatoka hivyo mwili Ni udongo tu..hauna Tena thamani..
 
Pamoja na hilo kulikuwa na ibada mbili au tatu za kumuombea!

Uwanjani mbili. Ya kwanza ya kikristo (katoliki) na ya pili walisema ya Serikali. Lakini watu pamoja na viongozi walikuwa walewale!
Basi wangesema wasio katoliki wasiwepo misa ya kwanza.

Kesho yake kukawa na misa tena kanisani Upanga, watu walewale!

Haikuwa lazima VP, PM na viongozi wengine waislamu kuhudhuria misa ya katoliki na ibada ya pili ya kiserikali. Nadhani kwa waislamu hasa wanawake huwa hawaagi wala kuzika kwa utaratibu kama wa kikristo.

Kubwa zaidi ni kuhusu bajeti ya shughuli nzima ya maombolezo! Tena ya kurudia rudia mambo kama ibada na misafara.

Ni dhahiri kwamba kifo hutokea ghafla kwahiyo huwezi kubajeti. Lakini sio kwa kila kifo. Kwa mtu mkubwa tukifanya pupa tutatumia fedha nyingi bila mpangilio. Kwasababu tunaongozwa na hisia kuliko planning.

Ndiyo maana kuna malalamiko kwamba inakuwaje makundi Fulani walibaguliwa kwa mfano baadhi ya viongozi wa kisiasa, vyama vya wafanyakazi na asasi za kiraia nk?
 
Utakuwa mgeni wa Siasa za Bongo..hiyo imetumika kufifisha ujio wa Lissu
 
Ningekuwa familia hiyo mama angevaa white gown na vail kama bibi harusi japo nguo iwe ndefu tu ya kawaida. Ni harusi ya mwisho kwa mumewe.
Hakika mkuu, designer wa dressing code ya mama amefeli big time
 
Ninachojua kumsitiri mfu sio tu kumzika chini ya udongo, bali ni pamoja na kumuepusha na mizunguko ya aina hii.

Nikiuliza hapa nani angependa akifa awe anapelekwa uwanjan asubuh, anakaa huko masaa 12, na kisha jioni anarejeshwa nyumban kwake, kwa siku tatu mfululizo, nadhan hatapatikana.
[emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1549][emoji1549][emoji1549]

Jr[emoji769]
kwa kweli hakuna mtu wa kukubali hivyo ni vile hakuwa na jinsi ya kusema tu kwamba hali ile ya safari asubuhi na jioni ilikuwa inachosha sana kwake.
 
Kama nakumbuka mwalimu ilikuwa 24/7 kwa siku saba, Mfululizo.

hii ya leo walijaribu kuiga ile ya mwalimu ila tatizo taifa limegawanyika hakuna umoja, MALOFA waligoma kwenda kumuaaga, maana kw akuhudhuria ni ishara ya kuunga mkono uovu uliofanyika na unaoendelea.
 
Kwani kulala uwanjani na kulala ndani ipi ni heshima kubwa? Alale pale uwanjani ili nani aage usiku huo?

Angepewa sikumoja unazani ingetosha? , Tafakari vizuri.
Hata tungepewa siku 7 isingetosha kwa kuuaga mwili wa marehemu kulingana na idadi ya watanzania iliyopo.

Mtoa mada ana hoja katika hili.
 
Kwa Nyereremwili ulibaki hapo uwanjani kwa muda wote wa maombolezo!
 
Sheria ya mazishi ya viongozi bwana Yakub ungeisoma ingekupa mwanga.Inataja kabisa kwamba mwili utawekwa na kuagwa uwanja wa uhuru Dar es Salam kwa siku zitakazopendekezwa.Huyu ni kiongozi,je,Siku moja ingeweza kutosha?

Suala la vifaa siyo la kitaalamu maana yapo mambo mengi yahususuyo usalama ndo maana ni hospital moja tu iliyochaguliwa kwa ajili ya kuhifadhi miili ya viongozi.
 
... sijui umri wake lakini anaweza kuwa alikuwa na miaka 10 kiumri Chief au alikuwa nje ya nchi majukumu mengi au kalazwa hospital kufuatilia shida. A lot of possibilities.
Umejibu vyema sana... na mimi naomba nikazie

Ninamuomba Bwana Saint Ivuga na atuambie mazishi ya Abraham Lincoln yalikuwaje tafadhali
 
Back
Top Bottom