Kilimanjaro: Askari amuua mwenzake kwa ugomvi wa kukaa siti ya mbele

Itakuwa walikuwa wametumia madawa hayo waliyokwenda kuyakamata.

By the way.wakati mwingine ni yale machozi ya wale waliowahi kuwabambikia kesi za uongo ndiyo yalikuwa yanakauka.Polisi wanafanya mauwaji na ubambikiaziaji makosa watu hovyo
 
wanawasaka wauzaji na watumiaji wa dawa za kulevya Wakati wao ndo watumiaji wakubwa hadi wanauana kijinga
 
Ndo bongo movie zetu zilivyoo.nimeuaaa badae wana saidiana na muuaji
 
wakati IGP anasema wilaya ya Kinondoni inaongoza kwa uhalifu nilicheka sana. Naangalia kwa mfano mabatini na pale Urafiki. Kuna misele usiku kucha kulazimisha wenye makosa tena madogo madogo yasiyo na tija, wawape hao jamaa hela. Wenye makosa makubwa nani anawalea sasa?
Kuna sababu ya kuanza kumulika jeshi la polisi na wale wasio fuata sheria na taratibu za jeshi hilo, ili kumaliza au kupunguza uhalifu.
Hii ya Mwanga ni mfano tu wa jinsi hao watu walivyo na roho ngumu
 
[emoji3][emoji3] huu uongo hata mimi ambaye sijasomea uchunguzi siwezi kuukubali,
Kwanza aliyegongwa pikipiki atakuwa na majeraha ya kuburuzwa au kuvunjika

Pili jeraha la risasi na kisiki ni tofauti
Mengine mtaongezea....

Hii ni laana ya uonevu inawatafuna tu
 
Jamani mzaha mzaha hutumbuka usaha. Mungu atuepushe na majanga kama haya maana hakudhamiria kufanya alilofanya
 

.......tabia halisi ya Polisi!!!
 
Wapimwe akili waliobaki.
Nakazia .japo huenda jamaa alijua bundik haijakokiwa,akataka kumjoki kumbe kitu kipo on air ,kubofya tu ikakubali,hata hivyo ni ujinga kufanya mzaha na siraha za moto.nakumbuka tulipokuwa wadogo darasa la tatu hiv,Kuna ndg yang mtt wa kaka angu tukiwa ndani chumbani kwa bro,mwenzangu si akafungua drop ya kitanda kuchek katoa mguu wa kuku (bastora)ya baba ake(bro angu) akanielekezea akawa anabofya trigger kacha kacha kacha,amenielekezea mm usoni,si unajua Mambo ya utoto,uzuri haikuwa na risasi kabisa.huwa nikikumbuka hii michezo Basi tu utt bana.ila.hawa ma.poti shwain kabisa .
 
Unaweza ukauwa mtu ukazani hawajakuona, kwa dhima ya Dunia na Mungu pia utajulikana tuu

Damu nzito kuliko maji
 
Hairuhusiwi kabisa kumuelekezea mwenzio bunduki hata kwa bahati mbaya na ni kosa kubwa jeshini ukionekana umemuelekezea mwenzio bunduki.
Unahukumiwa kama uliyejaribu kuua.
 
Alipotafutwa na gazeti hili kuzungumzia suala hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Amon Kakwale alisema hawezi kulizungumzia kwa sasa kwa kuwa wako kwenye uchunguzi na wakikamilisha atalizungumzia kwa kina.
Wakiambiwa wapimwe akili wanahitilafu wanalalamika, sasa kukaa mbele kunamuongezea nini?
Wanadanganya hata pasipodanganyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…