Hebu fanya unipe namba ya huyo mfanyiwa interview wa kwenye boda. You never know! Anaweza kukosa hiyo kazi. Nataka kumfuta machozi.Jana kulifanyika usaili wa kutafuta wadada watakaohudumu katika mabasi ya kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro.
Nafasi zilikuwa 30 tu lakini waliofika katika usaili huo ni zaidi ya 200. Wengi wao wakiwa ni wahitimu wa vyuo vikuu.
Hongereni wadada wote mliojitokeza katika interview hakika mmethubutu. View attachment 2671833
Si ajabu qualification ya kwanza ni kabila lako, ya pili kanda unayotokaJana kulifanyika usaili wa kutafuta wadada watakaohudumu katika mabasi ya kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro.
Nafasi zilikuwa 30 tu lakini waliofika katika usaili huo ni zaidi ya 200. Wengi wao wakiwa ni wahitimu wa vyuo vikuu.
Hongereni wadada wote mliojitokeza katika interview hakika mmethubutu. View attachment 2671833
Maisha magumu hadi hela zimepanda bei.Jana kulifanyika usaili wa kutafuta wadada watakaohudumu katika mabasi ya kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro.
Nafasi zilikuwa 30 tu lakini waliofika katika usaili huo ni zaidi ya 200. Wengi wao wakiwa ni wahitimu wa vyuo vikuu.
Hongereni wadada wote mliojitokeza katika interview hakika mmethubutu. View attachment 2671833
Ni wasomi wale usidhani masihara ni diploma,na degreekwa wadada wahudumu wa mabus CV inajulikana ni nini
600,000mshahara ni bei gani, ili tupime kipato cha wabongo vizuri. lakini pamoja na yote hayo, bado mtu anasema kidumu chama cha mambuzi.
Huli degree kwahiyo siyo sababuNi wasomi wale usidhani masihara ni diploma,na degree
Nahisi hapo inshu ipo sana kwenye posho na zile za kuchomekea njiani n.kmshahara ni bei gani, ili tupime kipato cha wabongo vizuri. lakini pamoja na yote hayo, bado mtu anasema kidumu chama cha mambuzi.
Kabla au baada ya makato. kama anapeleka kweli NSSF600,000