kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Wewe na Mamako mnadhiki mpk kwenye kope za machoUmeandika nini sasa hapo??
Bichwa kama pera,
Rubish kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na Mamako mnadhiki mpk kwenye kope za machoUmeandika nini sasa hapo??
Bichwa kama pera,
Rubish kabisa.
Umeandika nini sasa hapo?Wewe na Mamako mnadhiki mpk kwenye kope za macho
Kuna ubaya ganiJana kulifanyika usaili wa kutafuta wadada watakaohudumu katika mabasi ya kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro.
Nafasi zilikuwa 30 tu lakini waliofika katika usaili huo ni zaidi ya 200. Wengi wao wakiwa ni wahitimu wa vyuo vikuu.
Hongereni wadada wote mliojitokeza katika interview hakika mmethubutu. View attachment 2671833
Rubish kabisa,Acha kulia lia,Kapande ndege kama uwezo unao
Kabisa mtu anakula bia,suruali kafungia kamba.Humu wengi matajiri,humu wengi mshahara wao ni milion plus[emoji3] njoo sasa kwenye uhalisia hawana lolote!
Nimecheka sana mana kuna fundi nimemuona Leo amevaa yebo zimetoboka anadai alizinunua 2500 sasa Leo 4000 akawa anajishauri.Akasema kwenye bia mkao mmoja 30,000 inakata.Nkamwambia sasa mbona unawaza kitu unavaa mwenyeweKabisa mtu anakula bia,suruali kafungia kamba.
Wanawazidi kuna jamaa nilisikia anasema wao wanawalipa mshahara wa 400k kwa mwezi na posho ya chakula kwa siku 30k .apo wanawapita baadhi ya walimu mf daraja la 3A
Km mamakoUmeandika nini sasa hapo?
Kichwani umebeba ulanzi
Rubish kabisa, mtoto mdogo unakua mshirikina.
Acha kelele wewe fukara,huna hela.Rubish kabisa,
Kijana mdogo unawaza ngono tuu.
Empty set, bichwa kama Perege.
🤣🤣Umeandika nini sasa hapo?Km mamako
Umeona sasa, hujui unacho andika..Acha kelele wewe fukara,huna hela.
Kama ndio watafuzu wasiajiriwe waajiriwe wahutu!? Poor TanzaniaKweli hapo ni uwe mchaga au mpare full stop.
Umaskini na chuki vinakusumbuasi ajabu qualification ya kwanza ni kabila lako, ya pili kanda unayotoka
EE ni Kweli 95% Wana maisha mazuri,nyumba umeme maji ya bombaMbona nimesikia watu wa huko wote wana kazi na maisha mazuri.
Wapo mbona sema huwezi wajua kwa sababu wanaficha, kuna mmoja amemaliza Chuo vha Uhasibu Arusha ni House Girl kwa mzungu,Kweli uchumi umekua kazi zinaanza kuheshimika soon wahudum WA bar watakua graduates Kila kitu huduma itatolewa professionally,
Hongera sana kampuni za Kilimanjaro, Ratco, Tahmeed , abood na Tilisho kwa kutambua umuhimu WA good customer service
Wana nyodo Balaa na full dharau, Ila Dharau ni kwa wahudumu karibia wote wa mabasi,Wahudumu wao wana gubu sana,niliacha kupanda hili basi kwaajil ya gubu za hao wadada wa kichaga[emoji120]
Yes, sema sasa na tamaa ya zile pesa, kupigwa chini ni Dakika 0, wanapigwa chini balaa,mwezi hauishiNahisi hapo inshu ipo sana kwenye posho na zile za kuchomekea njiani n.k