Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Ni marudio. Serekali ilisitisha safari za usiku katikati ya miaka ya 90 kwa sababu ya ajali nyingi. Na chanzo kilionekana ni madereva kulala. Hiki wanachotaka kufanya kilimanjaro xpress sio kipya.