Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali..Hivi Watanzania wa siku hizi mnakosea wapi? Enzi zetu tulibeba mpaka maji ya kunywa kwenye vidumu!
Njaa ilipouma wakatibwa safari, tulikandamiza zetu wali, ndizi na nyama za kukaanga! Halafu safari ikawa ni ya furaha kabisa.
Hebu fanyeni kurudia maisha ya zamani bhana. Gari likisimama kwenye hiyo hotel, fungua ma hot pot yako, kula mpaka ushibe. Na hakuna atakaye kuuliza! Zaidi ya wapuuzi wachache tu kukushangaa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siku ingine ukisafiri pika mtori wako nyumbani Kisha weka kwa thermos, ukihic njaa funua kifuniko kunywa mtori
Kuna watu walalamishi, mkute anakula Bata huko dsm, ama anafanya shopping haombi punguziwa bei... Kasafiri tuu mtorii anaona ghalii hajauliza bei ya mhogo wa handeni na mbuzi wa mombo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukimuunguza sasa?
Umesema vema. Ila wapuuzi washangaaji huwa ni wengi sana. So ungemwambia wapuuzi wengi tu kukushangaa. Nchi hii asilimia 80 ya watu hawana exposure na wanaropoka tu wakiona mtu hafanyi mambo ambayo wao wamekariri. Ukimuuliza mtu why habebi chakula wengi ni kuogopa macho ya watu hao washamba wasiojua. USHAMBA NA CONFIDENCE NI SHIDA SANA🖐😀Hivi Watanzania wa siku hizi mnakosea wapi? Enzi zetu tulibeba mpaka maji ya kunywa kwenye vidumu!
Njaa ilipouma wakatibwa safari, tulikandamiza zetu wali, ndizi na nyama za kukaanga! Halafu safari ikawa ni ya furaha kabisa.
Hebu fanyeni kurudia maisha ya zamani bhana. Gari likisimama kwenye hiyo hotel, fungua ma hot pot yako, kula mpaka ushibe. Na hakuna atakaye kuuliza! Zaidi ya wapuuzi wachache tu kukushangaa.
Pana muda safari unapata ya dharula Mkuu sio safari zote za kujiandaa ukanunue kuku ichomwe usafiri na nusu, nusu utambae nayo pamoja na Chapati...Umesema vema. Ila wapuuzi washangaaji huwa ni wengi sana. So ungemwambia wapuuzi wengi tu kukushangaa. Nchi hii asilimia 80 ya watu hawana exposure na wanaropoka tu wakiona mtu hafanyi mambo ambayo wao wamekariri. Ukimuuliza mtu why habebi chakula wengi ni kuogopa macho ya watu hao washamba wasiojua. USHAMBA NA CONFINDENCE NI SHIDA SANA🖐😀
Brown bread na peanut butter au jam inatosha kabisa !! Snack ya uhakika mpaka unafika uendako !! Vyakula vingi humo mahotelini sio vya leo leo vingi ni frozenSiku nyingine beba chakula chako Toka DAR hizo hotel huwa zinakufa kiongozi kilasiku kutokana na UJINGA wao
Na pesa wanapewa za kutosha !!Madereva wanawamwaga hapo then wao wanaenda kula bure chochote wanachotaka..