edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
Na vyakula vimeharibikaMimi huwa nafanya maandalizi navyosafiri nanunua kilo ya nyama/kitimoto elfu 7000 nakaanga naweka kwenye watpot nakula mpaka nafika nimetosheka balaa
Mambo yakununua kipande kimoja kwa elfu tano nilishayaacha zamani Sana hotel nyingine mbaya zaidi kuna hotel ata chips zilale yeye anaangalia faida