Kilimanjaro Hotel Korogwe bei ya vyakula ipo juu sana

hotel sio charity, NGO kama hutak Bei mbaya (elekezi) ukishuka nenda toilet then kapige picha na wauza matunda kule barabarani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miongoni mwa upumbavu ninaouchukia ni kutoa hela nyingi na kupewa chakula kidogo siku nitakojolea chakula cha mtu kwa hasira ntakung'uta kabisa pump isibaki hata na tone la mkojo ndani ntaukamulia wote kwenye sahani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee toka nyumbani ukiwa umeshiba...! Ata kama ni usiku wa manane, kula kama una kula daku msimu wa ramadhani
Huko kujishindilia kabisa home Mambo yanaweza yakaenda kombo ukiwa ndani ya basi kibaya zaidi unaweza kushindwa hata kujamba kwa kuhofia uliyekaa naye siti moja atakuchukuliaje ukibanwa na kimba ndio itakuwa fedheha zaidi hakuna rangi utaacha kuiona utabadilisha mikao ya kila aina lakini kimba msimamo wake upo pale pale kwamba "niachie njia nipite bwana mkubwa"
 
ni hela ya kawaida tu, Ila kwa kweli hali ni ngumu sana ndio mana mambo madogo tu yanatushuhulisha.
 
Hata kihotel Chao cha hapo shekilango bei mkasi , wali maharage tuu 3500
 
Mazee ulitoka na basi gani Chugga na kufika Korogwe saa 2?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…