Kilimanjaro: Mume adaiwa kumuua mkewe na kumjeruhi mtoto mchanga

"Huyu Mwanaume"
Yaani hana jina? Seems huyo Mwanaume ni tishio sana kiasi kwamba juna lake haliwezi kuwa disclosed
 
Alikuwa provoked
Nakwambia akipata wakili mzuri miaka itapungua. Mbona kesi nyingi zipo za hivyo

Ngoja utaona,
Kesi za mauaji mara nyingi zenye vifungo vilivyopungua ni zile zinazotokea kama ajali, lakini za scenario ya tukio Hilo haijatokea Kwa ajali. Ni mauaji ya Dhamiri hata kama yaliongozwa na hasira ya muda mrefu
 
Wewe nae sijui umesomea wapi....kwani nimesema hatafungwa?? Hata kukuelewesha nilichoandika basi....maana nshaona mwenzangu sio
Wewe nae sijui umesomea wapi....kwani nimesema hatafungwa?? Hata kukuelewesha nilichoandika basi....maana nshaona mwenzangu sio
Umeandika kwa mihemko bila kuangalia uzito wa kesi ya mauwaji ya kukusudia vipi kama hata hakuwa na ndoa.?kulikuwa na sababu gani ya kuuwa watu wawili ndivyo mnafundishwa kutatua matatizo kwa kisingizio mapenzi yanauma? Kama alikuwa ana madai yenye msingi kwann hakwenda kudai kisheria...?
 
Inasikitisha sana,Jamaa ni mental cases , mtoto ana wiki 2 unamchana tumbo? Binti ametoka kujifungua ndani ya week mbili unamuonea wivu wa kimapenzi?
 
Inasikitisha sana,Jamaa ni mental cases , mtoto ana wiki 2 unamchana tumbo? Binti ametoka kujifungua ndani ya week mbili unamuonea wivu wa kimapenzi?
Either hujasoma uzi au una kichwa kizito. Kulikuwa na hisi tangu awali kwamba mimba imepatikana wakati mume yupo machimbo..., so inawezekana ukweli kaugundua ghafla
 
Je kama alieweka mimba alikuwa nae anatoa za matumizi pengine hata zaidi? hii mijitu yenye wivu kwanza ndo huwa haijui hata kutunza mke...
Sasa si aende akaishi na huyo anaehudumia? Ya nini kuhatarisha maisha yako na mtu humpendi?
 
Either hujasoma uzi au una kichwa kizito. Kulikuwa na hisi tangu awali kwamba mimba imepatikana wakati mume yupo machimbo..., so inawezekana ukweli kaugundua ghafla
Mimba iliingia bila mume kushiriki akiwa machimbo

Kwahiyo ukienda Machimbo ndiyo mtoto anakuwa siyo wako? What if kama alitungisha mimba na ndiyo akenda Machimbo? Wapi kwenye hayo maelezo wamesema kwamba jamaa alienda machimbo wakati mkewe alikuwa hana mimba? Kwahiyo mmeconclude kwamba jamaa alivyoenda machimbo mpaka anarudi alikuwa hajui kwamba mkewe mjamzito/amejifungua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…