King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mkuu taarifa ya Police inasema Mgogoro ni JUU YA MTOTO. na sio Mgogoro kabla. hakuna sehemu imesema Mgogoro ulikuwa nyuma.
Summary ya taarifa inasema Alienda Machimbo then Wife akapata Mimba then Mgogoro juu ya Mtoto.
FRANCIS DA DON alikueleza hili Mkuu.
Tofautisha wivu wa mapenzi na USALITI WA NDOA, mtu akisalitiwa anaweza kufanya lolote.Inasikitisha sana,Jamaa ni mental cases , mtoto ana wiki 2 unamchana tumbo? Binti ametoka kujifungua ndani ya week mbili unamuonea wivu wa kimapenzi?
NDIO, Kwa Mujibu wa Taarifa ya Police inaonyesha Jamaa hakujua hayo. Angejua Mapema kuna possibility angeshamuua Mkewe hata kabla Mtoto hajazaliwa.Kwahiyo mgogoro juu ya mtoto ulianza alipofika nyumbani na kukuta mkewe ana mtoto wa wiki mbili? Ina maana alivyoenda machimbo hadi anarudi alikuwa hajui kama mkewe mjamzito/amejifungua?
Taarifa inasema Wivu wa Kimapenzi halafu mbele wanasema "inasemekana" means AssumptionTofautisha wivu wa mapenzi na USALITI WA NDOA, mtu akisalitiwa anaweza kufanya lolote.
Biblia Walawi 20:10MWANZO 4:11
Basi sasa, umelaaniwa wewe katika ardhi, iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ndugu yako kwa mkono wako
Kwamba huyo jamaa aliporudi hakuuliza mtoto katoaka wapi , au kamdanganya vipi?Niliwahi kukutana na scenario kama hii. Mume amesafiri huku nyuma mke akawa analiwa na mimba ikachomoza. Basi yule mke hakuondoka wala nini hadi mimba ikazaliwa na wala hakufukuzwa na yeye anajisemea kwamba yule dogo sio wa pale. Yani hata aibu hana mkavuuuu
Mwache aende,umemwoa ana wazazi hujamiliki pumz yake....umemshindwa mwache aendeWatu wanalaumu tuu bure
Imagine umeenda kumtafutia mkeo halafu huku nyuma anagawa utamu hadi mimba anapata na kuzaa juu ....hivi maumivu yake yanavumilika? Kila mtu Ana moyo wake wa kukabiliana na usalitii.
Bado unaishi kwenye agano la kale?😅😅😅stuka,chukua hatua maana kwa kupigwa kwake sisi tumepona,alipowambwa msalabani kwa aibu na siku ya 3 akafufuka,alisema yametimia ,ya kale yakafutwa tukaanza upya 🙏🙏Biblia Walawi 20:10
10. “Kama mwanamume akizini na mke wa jirani yake, ni lazima wote wawili wauawe."
Na damu yao itakuwa juu yao wenyewe"
Huyo ni Bwana Mungu mwenyewe muumba mbingu na nchi anamwambia Nabii Musa, kama Mungu mwenyewe aliona wasaliti wa ndoa wauwawe, si ajabu ukasikia binadamu kufanya hivyo, binadamu tonatofauti na wanabadilika kulingana na maZingira.
Mimi nilimshauri aende mirembe tu, ndo maana umeona sijibizani nae tenaMkuu taarifa ya Police inasema Mgogoro ni JUU YA MTOTO. na sio Mgogoro kabla. hakuna sehemu imesema Mgogoro ulikuwa nyuma.
Summary ya taarifa inasema Alienda Machimbo then Wife akapata Mimba then Mgogoro juu ya Mtoto.
FRANCIS DA DON alikueleza hili Mkuu.
Ok.NDIO, Kwa Mujibu wa Taarifa ya Police inaonyesha Jamaa hakujua hayo. Angejua Mapema kuna possibility angeshamuua Mkewe hata kabla Mtoto hajazaliwa.
Sijajua kwanini unafikiria kwamba Mwana Apollo alikuwa na taarifa tokea day One. Kipi kwenye hio taarifa ya Police kimefanya uamini hvyo?
Tunaona mkuu uzuri majibu mtayapata kitaa huku kimoyomoyo mkikumbuka neno kataa ndoa na hoja zetu[emoji4][emoji4]Huu uzi wakiuona vijana wa kataa ndoa tumekwisha.
JF ni Home of Great Thinkers ,digest taarifa siyo unameza tu bila kufikiria."Mwanaume huyu amemuua mke wake na kumjeruhi mtoto wa wiki mbili kwa wivu wa mapenzi, huyu mwanaume alienda kwenye machimbo huyu mwanamke akawa amepata ujauzito, sasa ikaonekana kuna mgogoro wa familia juu ya huyu mtoto," amesema
uwe unasoma taarifa mpaka mwisho acha kukurupuka
Mwanaume huyu amemuua mke wake na kumjeruhi mtoto wa wiki mbili kwa wivu wa mapenzi,
huyu mwanaume alienda kwenye machimbo huyu mwanamke akawa amepata ujauzito, sasa ikaonekana kuna mgogoro juu ya huyu mtoto
Unatulia tu ,unasubiri kumlea malaika.Hivi kama Yusufu angekurupuka si angemsaidia vizuri Herode?Mwanaume anahitaji kipawa kuhimili wivu wa mapenzi. Imagine unahisi mkeo anafuga mimba ya mwanaume mwingine nyumbani kwako.
Biblia Walawi 20:10
10. “Kama mwanamume akizini na mke wa jirani yake, ni lazima wote wawili wauawe."
Na damu yao itakuwa juu yao wenyewe"
Huyo ni Bwana Mungu mwenyewe muumba mbingu na nchi anamwambia Nabii Musa, kama Mungu mwenyewe aliona wasaliti wa ndoa wauwawe, si ajabu ukasikia binadamu kufanya hivyo, binadamu tonatofauti na wanabadilika kulingana na maZingira.
Inauma kama pasi ila busara tu hapo inahitajika,muachane kwa amani ya bwana baasi akikataa sepa zako atajua mwenyeweMwanaume anahitaji kipawa kuhimili wivu wa mapenzi. Imagine unahisi mkeo anafuga mimba ya mwanaume mwingine nyumbani kwako.
Alikuwa na taarifa kwasababu si alikuwa mkewe? Kama alimficha kwanini polisi waseme direct kwamba ni wivu wa kimapezi? kwanini wasingesema kwamba chanzo ni kuzaa nje ya ndoa baada ya mwamba kwenda machimbo na kumficha mmewe? Wivu wa kimapenzi means hisia kwamba unachapiwa(Not confirmed).
Wivu wa Mapenzi kwa Lugha ya kipolisi sio Hisia za kuwa Unachapiwa, Kwa Lugha ya kipolisi Wivu wa Kimapenzi ni sababu iliyopeleka hilo tukio. Yaani hata Ukimfumania Wife anagongwa(uka Confirm) then ukalawiti mgoni wako, Police kwenye report yao bado watasema umetenda kosa la Ulawiti kutokana na Wivu wa Mapenzi.
WIVU WA MAPENZI kwenye report ya Police sio Hisia, ila ni KISABABISHI kilichopelekea Mtuhumiwa kufanya uhalifu. haijalishi alithibitisha au hakuthibitisha.
View attachment 2529363