kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
We utakuwa umelimia kusini ya mtwara tunaolima parachichi Southern Highlands tunalo soko la uhakika la parachichi sijui we mwenzetu unazungumzia soko lipiNimepanda parachichi miaka kadhaa iliyopita huko kwetu Kusini ,soko ikaporomoka parachichi zikaoza nikakosa pakuzipeleka nikatamani nifuge Mbwa wanisaidie kula yanapoanguka lakini too late
Najuta kuacha kulima miti ya mbao nikadamganyika na faida ya parachichi bila kujiuliza Kuna viwanda nchini vyakununua parachichi au Hadi south? Tumelima wengi lakini sioni juhudi za kufunguliwa kiwanda Tanzania, tutapata hasara tena na ten hasa kipindi hiki Cha COVID.....serikali mpo tayari tufuge Mbwa? Je wakinenepa tutawauza wapi?
Ndio tatizo letu watanzania (hata mimi) tunafuata mkumbo. Ni kama matikiti na mayai ya kware. Yani tuna mumnkari flan hivi kama bata. Bata sometimes unamkuta kakaa tu mara ghafla anakurpuka na kuanza kuruka kama mita mia moja huku anapiga mabawa kwa fujo (violently) unabaki kushangaa WTF? Kwasabab bata haruki.Nimepanda parachichi miaka kadhaa iliyopita huko kwetu Kusini ,soko ikaporomoka parachichi zikaoza nikakosa pakuzipeleka nikatamani nifuge Mbwa wanisaidie kula yanapoanguka lakini too late
Najuta kuacha kulima miti ya mbao nikadamganyika na faida ya parachichi bila kujiuliza Kuna viwanda nchini vyakununua parachichi au Hadi south? Tumelima wengi lakini sioni juhudi za kufunguliwa kiwanda Tanzania, tutapata hasara tena na ten hasa kipindi hiki Cha COVID.....serikali mpo tayari tufuge Mbwa? Je wakinenepa tutawauza wapi?
Hass Avocado inawalipa wakulima Njombe watu wameacha kulima miti ya pine wanalima Hass Avocado na wanakuwa mamilionea...soko la uhakika lipo na kuna kampuni lukuki huko zimewekeza ukusanyaji na ukulima wa Hass avocado...mleta mada ni jamaa asiechangamsha akili analeta mada ya kuwa discourage prospective farmers wengine...Ndio tatizo letu watanzania (hata mimi) tunafuata mkumbo. Ni kama matikiti na mayai ya kware. Yani tuna mumnkari flan hivi kama bata. Bata sometimes unamkuta kakaa tu mara ghafla anakurpuka na kuanza kuruka kama mita mia moja huku anapiga mabawa kwa fujo (violently) unabaki kushangaa WTF? Kwasabab bata haruki.
Ikitokea mtu kaanzisha mradi na biashara ya mayai ya kenge ikatiki utaona njemba ziki
Njombe kuna mzee gari zake ameandika Shikamoo Parachichi ndilo limempa utajiri..huko ukiiba kuku unaweza usipewe adhabu ila jaribu kuiba parachichi uone utakavyoshugulikiwa.Hass Avocado inawalipa wakulima Njombe watu wameacha kulima miti ya pine wanalima Hass Avocado na wanakuwa mamilionea...soko la uhakika lipo na kuna kampuni lukuki huko zimewekeza ukusanyaji na ukulima wa Hass avocado...mleta mada ni jamaa asiechangamsha akili analeta mada ya kuwa discourage prospective farmers wengine...
Avocado siyo ya kuifananisha na kilimo cha matikiti au sijui mananasi...Avocado ina soko la uhakika abroad including China na watu wanatajirika sana hasa Njombe.
Huyu mleta uzi nadiriki kusema na FAILURE na APUUZWE.
Watu wanapiga pesa hatari...kuna mama wakichaga ni mjane sasa yupo Tukuyu mjini kwenye mashamba ya marehemu mumewe mchaga pia kapiga 700 Million Tzs juzijuzi tu na tunafahamu hawa sababu tupo nao kwenye AMCOS sasa huyu mleta uzi ni ile jamii ya wachawi!!Njombe kuna mzee gari zake ameandika Shikamoo Parachichi ndilo limempa utajiri..huko ukiiba kuku unaweza usipewe adhabu ila jaribu kuiba parachichi uone utakavyoshugulikiwa.
Sasa viwanda si muanzishe - mnasubiri Serikali ijenge kweli!Nipo Njombe huku, naona watu wanapanda parachichi kwa fujo sana.
Ila matumaini bado ni makubwa sana kwenye kilimo cha parachichi.
Cha muhimu viwanda vya kuchakata parachichi vinatakiwa viwe ndani, hii ya kutegemea nje siku wasipochukua tayari kilio kinaanza
Mwandiko wako unaonesha ni mtu mwenye tatizo kichwani.Nimepanda parachichi miaka kadhaa iliyopita huko kwetu Kusini, soko ikaporomoka parachichi zikaoza nikakosa pa kuzipeleka nikatamani nifuge Mbwa wanisaidie kula yanapoanguka lakini too late
Najuta kuacha kulima miti ya mbao nikadamganyika na faida ya parachichi bila kujiuliza Kuna viwanda nchini vya kununua parachichi au Hadi south?
Tumelima wengi lakini sioni juhudi za kufunguliwa kiwanda Tanzania, tutapata hasara tena na ten hasa kipindi hiki Cha COVID. Serikali mpo tayari tufuge Mbwa?
Je, wakinenepa tutawauza wapi?
Ni kweli kabisa Mkuu.Njombe kuna mzee gari zake ameandika Shikamoo Parachichi ndilo limempa utajiri..huko ukiiba kuku unaweza usipewe adhabu ila jaribu kuiba parachichi uone utakavyoshugulikiwa.
Wazee wa HKL hamjambo?Hapo tunarudi kule kule
~poor storage facilities
~poor government policy
~Fluctuation of price at the market and absence of permanent market
~poor technology
~poor transportation network.
~lack of enough skills.
NIPE POINTI MAELEZO NITAJIJUA
Et HKL mm nimemjibu kulingana na matatizo aliyoyasemaWazee wa HKL hamjambo?
Kazi yenu kukariri tu mlimbia hesabu matokeo yake mnasubiri serikali iwajengee viwanda vya parachichi nk, mnashindwa kutumia akili kuzisafirisha nje hata kwa kuungana.
Parachichi is a valuable product which is needed in all corner of the world.
Hata TZ tu mahitaji ya watumiaji ni makubwa sana na ndio maana siku huzi hata mby parachichi la 100 unalitafuta kwa manati hasa kiangaz.