Kilimo cha Parachichi kinahitaji kufuga Mbwa wengi kuepuka maparachichi kukosa walaji

Kilimo cha Parachichi kinahitaji kufuga Mbwa wengi kuepuka maparachichi kukosa walaji

Watu wanapiga pesa hatari...kuna mama wakichaga ni mjane sasa yupo Tukuyu mjini kwenye mashamba ya marehemu mumewe mchaga pia kapiga 700 Million Tzs juzijuzi tu na tunafahamu hawa sababu tupo nao kwenye AMCOS sasa huyu mleta uzi ni ile jamii ya wachawi!!
Hata Korosho na kahawa ilikuwa hivi hivi, zilikuwa zinaitwa dhahabu za Shamba.

Baada ya serikali ya mashetani kutia mkono Leo yamekuwa mazao ya kimasikini.


Tunza hii comment yangu soon serikali itatia mguu huko mtajuta. Wekezeni kwa akili
 
Hata Korosho na kahawa ilikuwa hivi hivi, zilikuwa zinaitwa dhahabu za Shamba.

Baada ya serikali ya mashetani kutia mkono Leo yamekuwa mazao ya kimasikini.


Tunza hii comment yangu soon serikali itatia mguu huko mtajuta. Wekezeni kwa akili
Ni kweli kabisa..sio muda mrefu watu wataanza kulia..serikali ya ccm ipo kumtia mkulima umasikini..wataanza kuingiza tozo za kutosha kwenye hilo zao..ili wanufaike mkulima aumie abaki kwenye umasikini..kisha waje na sera za kufufua zao..wakati wao ndio wamelizika.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni kweli kabisa..sio muda mrefu watu wataanza kulia..serikali ya ccm ipo kumtia mkulima umasikini..wataanza kuingiza tozo za kutosha kwenye hilo zao..ili wanufaike mkulima aumie abaki kwenye umasikini..kisha waje na sera za kufufua zao..wakati wao ndio wamelizika.

#MaendeleoHayanaChama
Sidhani kama itatokea hivyo mdhanivyo...soko la avocado ni la uhakika sana unlike soko la nuts kv korosho...by the way serikali ipo kwenye mikoa yote inayolima parachichi zaidi ya mwaka wa Kumi sasa na soko halijawa interfered. The only intervention ya serikali ilikuwa ile ya kuwazuia wachuuzi wa Kenya lakini baadae hiyo iliisha ... na zaidi serikali imekuwa ikifanya mazungumzo ya kutafuta soko zaidi la parachichi China, India na Ulaya...hata mkwamo wa masoko uliwekwa na South Africa hivi karibuni ulimalizwa...masoko mapya ya uhakika China na India yamepatikana siku za hivi karibuni...so sidhani mnachosema kitatokea kiasi cha kuangusha hili zao....

ZAIDI SOMA:
https://www.habarileo.co.tz/habari/2022-01-2361ed03c2744af.aspx
BASHE: TUMEFANIKIWA KUFUNGUA SOKO LA PARACHICHI NCHINI AFRIKA YA KUSINI.
Parachichi la Tanzania kinara katika soko la kimataifa | Focus Media
 
Ni kweli kabisa..sio muda mrefu watu wataanza kulia..serikali ya ccm ipo kumtia mkulima umasikini..wataanza kuingiza tozo za kutosha kwenye hilo zao..ili wanufaike mkulima aumie abaki kwenye umasikini..kisha waje na sera za kufufua zao..wakati wao ndio wamelizika.

#MaendeleoHayanaChama
Hahhahaah ndio maana sisi kazi yetu Ni Kutoa angalizo kwa wawekezaji huko ili baadae wasijekushangaa kuwa hatujawaambia.
 
Hahhahaah ndio maana sisi kazi yetu Ni Kutoa angalizo kwa wawekezaji huko ili baadae wasijekushangaa kuwa hatujawaambia.
Angalizo kwenye uwekezaji ni muhimu kutolewa but not to an extent mtoa angalizo akatoa taarifa zisizo na ukweli. Zao la Parachichi limekuwepo kitambo sana Tanzania; ni hivi karibuni tu tumeanza kuuza nje lakini soko la ndani pia lipo...tatizo la masoko lipo duniani kote muhimu ni kuona namna wahusika wanavyoweza ku mitigate hizo challenges..........Mathalani wakulima wa Avocado Iringa pekee ndiyo wana uchache wa mahala pa kuuzia parachichi ila Wakulima wa Rungwe, Kilimanjaro na Njombe soko ni la uhakika sana kiasi kwamba kwa mwaka wa saba sasa bidhaa haitoshi mpaka kampuni zinazo collect zimeamua kuanza kulima zenyewe....huyu mleta mada ni failure namkatalia kwa sababu mimi pia nalima parachichi huu mwaka wa sita sijapata hizi changamoto anazozisema ambazo ni typical fabrication info

Kila biashara huku duniani inatrail kwenye risks na uncertainities kama yalivyo maisha tu ya kawaida...ila mtindo wa kutoa angalizo kwa kutishia tena bila facts mi nauita uhuni.
 
Sidhani kama itatokea hivyo mdhanivyo...soko la avocado ni la uhakika sana unlike soko la nuts kv korosho...by the way serikali ipo kwenye mikoa yote inayolima parachichi zaidi ya mwaka wa Kumi sasa na soko halijawa interfered. The only intervention ya serikali ilikuwa ile ya kuwazuia wachuuzi wa Kenya lakini baadae hiyo iliisha ... na zaidi serikali imekuwa ikifanya mazungumzo ya kutafuta soko zaidi la parachichi China, India na Ulaya...hata mkwamo wa masoko uliwekwa na South Africa hivi karibuni ulimalizwa...masoko mapya ya uhakika China na India yamepatikana siku za hivi karibuni...so sidhani mnachosema kitatokea kiasi cha kuangusha hili zao....

ZAIDI SOMA:
Tanzania yafungua rasmi soko la parachichi India
BASHE: TUMEFANIKIWA KUFUNGUA SOKO LA PARACHICHI NCHINI AFRIKA YA KUSINI.
Parachichi la Tanzania kinara katika soko la kimataifa | Focus Media
Jifariji..mkonge ulikua zaidi ya parachichi..korosho..kahawa..pamba..zote ziko wapi sasa..zimu la ccm likiamza kunusa hela nyingi huko jua mmeumia na muda si mrefu utakuja kuleta mrejesho..ukiomba serikali iwasaidie.

Ni suala la muda tu ingawa siombei mabaya..ila hua ndio uelekeo na hatima wa mazao yote yanayofanya vizuri nchini Tanzania.

#MaendeleoHayanaChama
 
Jifariji..mkonge ulikua zaidi ya parachichi..korosho..kahawa..pamba..zote ziko wapi sasa..zimu la ccm likiamza kunusa hela nyingi huko jua mmeumia na muda si mrefu utakuja kuleta mrejesho..ukiomba serikali iwasaidie.

Ni suala la muda tu ingawa siombei mabaya..ila hua ndio uelekeo na hatima wa mazao yote yanayofanya vizuri nchini Tanzania.

#MaendeleoHayanaChama
zama hizo na sasa ni tofauti angalia zones zilizoua hayo mazao na ufananishe na zones zinazolima parachichi utagundua asili ya watu wa mahala husika ni issue pia....Lindi, Mtwara, Tanga VS Kilimanjaro, Njombe na Mbeya. Kama huwa unaelewa haraka umenielewa namaanisha nini Avocado ipo sana yaani hizi bad omens zako hazitafanya kazi...mikoa yote inayolima avocado ina watu wanajitambua sana unlike huko zinakolimwa korosho, na mkonge
 
Sidhani kama itatokea hivyo mdhanivyo...soko la avocado ni la uhakika sana unlike soko la nuts kv korosho...by the way serikali ipo kwenye mikoa yote inayolima parachichi zaidi ya mwaka wa Kumi sasa na soko halijawa interfered. The only intervention ya serikali ilikuwa ile ya kuwazuia wachuuzi wa Kenya lakini baadae hiyo iliisha ... na zaidi serikali imekuwa ikifanya mazungumzo ya kutafuta soko zaidi la parachichi China, India na Ulaya...hata mkwamo wa masoko uliwekwa na South Africa hivi karibuni ulimalizwa...masoko mapya ya uhakika China na India yamepatikana siku za hivi karibuni...so sidhani mnachosema kitatokea kiasi cha kuangusha hili zao....

ZAIDI SOMA:
Tanzania yafungua rasmi soko la parachichi India
BASHE: TUMEFANIKIWA KUFUNGUA SOKO LA PARACHICHI NCHINI AFRIKA YA KUSINI.
Parachichi la Tanzania kinara katika soko la kimataifa | Focus Media
Watanzania huwa hamsomi na hamfuatilii hata takwimu za National Bureau of statistics. Korosho ni zao linaloongoza kwa kuchangia Pato la Taifa na kwa mujibu Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) katika msimu wa 2017/2018 mapato ya zao hilo yalifikia Sh1.08 trilioni. Lete takwimu za zao la parachichi walau kwa mwaka mmoja katika kuchangia Pato la taifa.

Stop kulinganisha Korosho na vitu vya ajabu. Point yangu ni moja kuwa mnaolima parachichi kuweni makini Sana siku serikali ikitia mguu mtatafutana, tumeyaona kwenye mazao ya Korosho na kahawa baada ya serikali kuingia.

Eti unasema parachichi Ina miaka 10 ebooo, Sasa kahawa na Korosho si kuanzia uhuru na Hadi Zina Bodi kabisa. Umewahi kusikia bodi ya parachichi?
 
Wazee wa HKL hamjambo?
Kazi yenu kukariri tu mlimbia hesabu matokeo yake mnasubiri serikali iwajengee viwanda vya parachichi nk, mnashindwa kutumia akili kuzisafirisha nje hata kwa kuungana.
Parachichi is a valuable product which is needed in all corner of the world.
Hata TZ tu mahitaji ya watumiaji ni makubwa sana na ndio maana siku huzi hata mby parachichi la 100 unalitafuta kwa manati hasa kiangaz.

Wazee wa HkL [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Jifariji..mkonge ulikua zaidi ya parachichi..korosho..kahawa..pamba..zote ziko wapi sasa..zimu la ccm likiamza kunusa hela nyingi huko jua mmeumia na muda si mrefu utakuja kuleta mrejesho..ukiomba serikali iwasaidie.

Ni suala la muda tu ingawa siombei mabaya..ila hua ndio uelekeo na hatima wa mazao yote yanayofanya vizuri nchini Tanzania.

#MaendeleoHayanaChama
Ana akil fupi Sana huyo
 
zama hizo na sasa ni tofauti angalia zones zilizoua hayo mazao na ufananishe na zones zinazolima parachichi utagundua asili ya watu wa mahala husika ni issue pia....Lindi, Mtwara, Tanga VS Kilimanjaro, Njombe na Mbeya. Kama huwa unaelewa haraka umenielewa namaanisha nini Avocado ipo sana yaani hizi bad omens zako hazitafanya kazi...mikoa yote inayolima avocado ina watu wanajitambua sana unlike huko zinakolimwa korosho, na mkonge
Una kichaa wewe Korosho si imevurugwa 2018/19 na yenyewe Ni zamani. Kahawa si imevurugwa miaka hata 7 haijapita Hadi Bukoba na Kilimanjaro wakang'oa hayo mazao mashambani.


Una elimu gani weww
 
Una kichaa wewe Korosho si imevurugwa 2018/19 na yenyewe Ni zamani. Kahawa si imevurugwa miaka hata 7 haijapita Hadi Bukoba na Kilimanjaro wakang'oa hayo mazao mashambani.


Una elimu gani weww
Kahawa ilivurugwa zamani kafuatilie facts. Uki argue bila kuniita kichaa nitakuelewa pia. Wasomaji wa hoja zetu wanaweza kubainisha who is who.
 
Watu wanapiga pesa hatari...kuna mama wakichaga ni mjane sasa yupo Tukuyu mjini kwenye mashamba ya marehemu mumewe mchaga pia kapiga 700 Million Tzs juzijuzi tu na tunafahamu hawa sababu tupo nao kwenye AMCOS sasa huyu mleta uzi ni ile jamii ya wachawi!!
Kumbe
 
Kahawa ilivurugwa zamani kafuatilie facts. Uki argue bila kuniita kichaa nitakuelewa pia. Wasomaji wa hoja zetu wanaweza kubainisha who is who.
Na Korosho imevurugwa zamani.
 
Na Korosho imevurugwa zamani.
Korosho siyo zamani kahawa wakulima wa KNCU walianza kukata mikahawa tangu mwanzoni mwa 1990s sasa naona wewe ndugu mwanabodi unaargue na kichaa na kumdanganya, kichaa kala dawa sasa humuongopei.
 
Ukishindwa kuuza Parachichi nayo ni "if" waweza tengeneza mafuta ya kula.
 
Watanzania huwa hamsomi na hamfuatilii hata takwimu za National Bureau of statistics. Korosho ni zao linaloongoza kwa kuchangia Pato la Taifa na kwa mujibu Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) katika msimu wa 2017/2018 mapato ya zao hilo yalifikia Sh1.08 trilioni. Lete takwimu za zao la parachichi walau kwa mwaka mmoja katika kuchangia Pato la taifa.

Stop kulinganisha Korosho na vitu vya ajabu. Point yangu ni moja kuwa mnaolima parachichi kuweni makini Sana siku serikali ikitia mguu mtatafutana, tumeyaona kwenye mazao ya Korosho na kahawa baada ya serikali kuingia.

Eti unasema parachichi Ina miaka 10 ebooo, Sasa kahawa na Korosho si kuanzia uhuru na Hadi Zina Bodi kabisa. Umewahi kusikia bodi ya parachichi?
Watanzania huwa hamsomi na hamfuatilii hata takwimu za National Bureau of statistics. Korosho ni zao linaloongoza kwa kuchangia Pato la Taifa na kwa mujibu Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) katika msimu wa 2017/2018 mapato ya zao hilo yalifikia Sh1.08 trilioni. Lete takwimu za zao la parachichi walau kwa mwaka mmoja katika kuchangia Pato la taifa.

Stop kulinganisha Korosho na vitu vya ajabu. Point yangu ni moja kuwa mnaolima parachichi kuweni makini Sana siku serikali ikitia mguu mtatafutana, tumeyaona kwenye mazao ya Korosho na kahawa baada ya serikali kuingia.

Eti unasema parachichi Ina miaka 10 ebooo, Sasa kahawa na Korosho si kuanzia uhuru na Hadi Zina Bodi kabisa. Umewahi kusikia bodi ya parachichi?
Avocado by nature is a perishable crop hivyo basi uingiliaji wowote utasababisha matunda kuoza tofauti na mkonge,kahawa,nuts nk. ambavyo vinaweza kudumu walau kwenye maghala hata miezi sita.

Biashara ya parachichi ina mfumo tofauti na korosho, kahawa nk.
Kingine avocado ni matunda hivyo basi yanaweza kuuzwa kienyeji kama tuuzavyo maembe , machu gwa, ndimu, ndizi nk.
Hata soko la kimataifa likifa tutauziana humu humu kama machungwa na maisha yataendelea tofauti na kahawa, pamba nk vikibuma unatelekeza shambani.

Zingatia watanzania wameanza kuamka ktk sekta ya usindikaji wa jwisi hivyo basi avocado ina advantage ya kuto dorola kama mazao mengine ya biashara.
 
Sidhani kama itatokea hivyo mdhanivyo...soko la avocado ni la uhakika sana unlike soko la nuts kv korosho...by the way serikali ipo kwenye mikoa yote inayolima parachichi zaidi ya mwaka wa Kumi sasa na soko halijawa interfered. The only intervention ya serikali ilikuwa ile ya kuwazuia wachuuzi wa Kenya lakini baadae hiyo iliisha ... na zaidi serikali imekuwa ikifanya mazungumzo ya kutafuta soko zaidi la parachichi China, India na Ulaya...hata mkwamo wa masoko uliwekwa na South Africa hivi karibuni ulimalizwa...masoko mapya ya uhakika China na India yamepatikana siku za hivi karibuni...so sidhani mnachosema kitatokea kiasi cha kuangusha hili zao....

ZAIDI SOMA:
Tanzania yafungua rasmi soko la parachichi India
BASHE: TUMEFANIKIWA KUFUNGUA SOKO LA PARACHICHI NCHINI AFRIKA YA KUSINI.
Parachichi la Tanzania kinara katika soko la kimataifa | Focus Media
CCM wakitia tu mguu huko, mwafwaa.
 
Sioni tishio la kukosa soko la parachichi aina ya hass.

Sioni serikali yoyote ile kuvuruga mfumo tulivu wa soko uliopo labda kama haijitaki.

Utanishangaa lakini ukweli ni kwamba tulio wekeza na wanao endelea kuwekeza katika zao la parachichi ni watu wanao jielewa.

Kufanya jambo lolote la kuharibu utajiri tunao ufanyia kazi kwa jasho na damu ni kujitafutia balaa halina kipimo.

Nawahimiza wote wanao taka kuwekeza katika sekta ya kilimo cha parachihi wasitishwe au kukatishwa tamaa.

Kama tunathubutu kuwekeza bila shaka tutathubutu kujitetea pia. Parachichi zitaliwa na watu sio mbwa.
 
Watanzania huwa hamsomi na hamfuatilii hata takwimu za National Bureau of statistics. Korosho ni zao linaloongoza kwa kuchangia Pato la Taifa na kwa mujibu Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) katika msimu wa 2017/2018 mapato ya zao hilo yalifikia Sh1.08 trilioni. Lete takwimu za zao la parachichi walau kwa mwaka mmoja katika kuchangia Pato la taifa.

Stop kulinganisha Korosho na vitu vya ajabu. Point yangu ni moja kuwa mnaolima parachichi kuweni makini Sana siku serikali ikitia mguu mtatafutana, tumeyaona kwenye mazao ya Korosho na kahawa baada ya serikali kuingia.

Eti unasema parachichi Ina miaka 10 ebooo, Sasa kahawa na Korosho si kuanzia uhuru na Hadi Zina Bodi kabisa. Umewahi kusikia bodi ya parachichi?
Mpuuzi huyo, kijana wa Lumumba.
 
Back
Top Bottom