lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,479
Hahaha kumbe umewekeza ndio maana huwezi kuwa impartial.Sioni tishio la kukosa soko la parachichi aina ya hass.
Sioni serikali yoyote ile kuvuruga mfumo tulivu wa soko uliopo labda kama haijitaki.
Utanishangaa lakini ukweli ni kwamba tulio wekeza na wanao endelea kuwekeza katika zao la parachichi ni watu wanao jielewa.
Kufanya jambo lolote la kuharibu utajiri tunao ufanyia kazi kwa jasho na damu ni kujitafutia balaa halina kipimo.
Nawahimiza wote wanao taka kuwekeza katika sekta ya kilimo cha parachihi wasitishwe au kukatishwa tamaa.
Kama tunathubutu kuwekeza bila shaka tutathubutu kujitetea pia. Parachichi zitaliwa na watu sio mbwa.
Nilikuwa natoa angalizo ila muda utaongea