Kilimo cha Parachichi kinahitaji kufuga Mbwa wengi kuepuka maparachichi kukosa walaji

Hahaha kumbe umewekeza ndio maana huwezi kuwa impartial.


Nilikuwa natoa angalizo ila muda utaongea
 
Kinachoua huwa Ni matozo
 
Nikisikia mtu amekosa soko la parachichi huwa sielewi tatizo la nchi yetu Ni Nini?
Nilikuwa Burundi nikakuta wanasafirisha parachichi kuja Tanzania wanafaulishia kabanga border pale.
Serikali yetu inafail wapi? Badala ya kutangaza mazao yanyopatikana nchin mwetu wawavutia wanunuzi wao wanaenda kukopa vijisenti
 
Hapo tunarudi kule kule

~poor storage facilities

~poor government policy

~Fluctuation of price at the market and absence of permanent market

~poor technology

~poor transportation network.

~lack of enough skills.

NIPE POINTI MAELEZO NITAJIJUA
Lack of knowledge
Iddi amin war
 
Hahaha kumbe umewekeza ndio maana huwezi kuwa impartial.


Nilikuwa natoa angalizo ila muda utaongea
Nimependa, umewekeza wapi na upo hatua gani.
Changamoto ya parachichi ni barafu kali inayounguza miche midogo na matunda.Una kabiliana vipi?
Mi naona ni bora tupambane kuhakikisha mti wa parachi chi haufi badala ya soko, maana soko huwa lina badirikabadirika kwa kila kitu duniani ila miti ikifa hio ni hasara ya kudumu
 
Hatua ya kwanza ulishafanikisha, nenda hatua ya pili kwa kujenga kiwanda
 
Milioni 70?au milioni 700
 
Acha kudanganya watu hakuna mkulima tena tukuyu wa kupata hiyo hela,
 
Hamna hata moja ulilopatia yote ni kinyume!nenda eneo husika kuko shwari kabisa.
Hapo tunarudi kule kule

~poor storage facilities

~poor government policy

~Fluctuation of price at the market and absence of permanent market

~poor technology

~poor transportation network.

~lack of enough skills.

NIPE POINTI MAELEZO NITAJIJUA
 
Hebu jaribu kutofautisha matumizi ya hayo mazao,kahawa,parachichi,korosho utagundua parachichi ndo yenyewe mkuu ni sawasawa na useme ugali utakosa soko!
 
Mkuu unanitia mashaka na HOJA zako

Kahawa inalimwa kwa wingi Moshi na Bukoba vipi inaendeleaje?

Pamba je?

Tatizo sio zones mkuu
Subiri serikali ione kuna hela huko iwatengenezee na bodi ya parachichi muanze kupangiwa bei, masoko, mjaziwe makodi na makato na madalali “rasmi” wakiingia pale kati mtajuta kuzaliwa
 
Hebu jaribu kutofautisha matumizi ya hayo mazao,kahawa,parachichi,korosho utagundua parachichi ndo yenyewe mkuu ni sawasawa na useme ugali utakosa soko!
Peleka ugali wako Zanzibar uone Kama utauza.

Unaongea vitu hata hujui
 
Mkuu unajua milioni 700 ni sawa na maparachichi mangapi na yatachukua ukubwa wa shamba kiasi gani?
Acha stori za kwenye gahawa hapa
 
Peleka ugali wako Zanzibar uone Kama utauza.

Unaongea vitu hata hujui
Wewe ndio hujui bora ungenyamaza ,maana hiyo ya maparachichi ni dili tena kubwa sana,demand yake imeongezeka sana baada ya nchi zilizokuwa zinazalisha kwa wingi kushindwa kutosheleza soko la ulaya na Asia kutokana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi.Na msimu tunaovuna sisi wao wanakuwa hawana ,hivyo ni fursa kwetu!acha kubisha kitu hujui bora unyamaze au ujifunze kuliko hivi unavyojidai mjuaji kama chakubanga na polo.
 
Upo maeneo gani mzee??,Umelima aina gani ya Parachichi??.
 
Naunga mkono hoja.
 
Ukute hata shamba la parachichi hana,lengo lake ni kuwakatisha tamaa wanaotaka kulima parachichi.
 
Nakushangaa sana unaposema Umekosa soko la parachichi kwanza utujibu umelima hela ngapi? parachichi zipi?? kama ni Hass hata za Kawaida hukosi soko.
acha Uongo mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…