SoC02 Kilimo cha Pilipili Kichaa (Dhahabu nyekundu) kinavyonipa pesa bila kutarajia

SoC02 Kilimo cha Pilipili Kichaa (Dhahabu nyekundu) kinavyonipa pesa bila kutarajia

Stories of Change - 2022 Competition

the_diplomat

Member
Joined
Sep 1, 2022
Posts
81
Reaction score
75
Baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa (BA)2011 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), nilitafuta kazi bila mafanikio. Nikaona nisome Stashahada ya Uzamili katika Elimu nikamaliza 2014 ili nipate ajira ya ualimu, sikufanikiwa kuipata. Mwaka 2016 nikaanza kusoma Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tazania nikiwa na malengo ya kujiaandaa kuwa mwanasheria wa kujitegemea na kuhitimu 2020.

Nikiwa natafakari jinsi yakupata pesa kwenda Shule ya Sheria (Law School of Tanzania) mwaka, nikasikia watu wanaongelea habari ya kilimo cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Nikaona nitafute habari kamili ya kilimo hiki.

Nikatafuta tovuti mbalimbali na kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook nikaona kuna wakulima wengi ambao wanatoa ushuhuda wa kilimo hiki cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Lakini pia nikaona nchi kama Kenya na Uganda ni nchi ambazo pilipili kichaa hulimwa kwa wingi. Pia nikatafuta taarifa za masoko, nikaona masoko yake makuu ni nchi za bara la Asia na Ulaya. Hii ilinipa ‘moto mkuu’ usiozimika kuingia shambani na kuanza kazi ya kuandaa shamba.

Nikiwa na Kiasi cha 1,900,000/- ikiwa ndio akiba pekee. Sikujali nikaamua ‘ku-take risk’. Nikaamua kwenda inapolimwa pilipili Mkoa wa Kigoma , Uvinza na kuweka kambi ya kazi. Niliandaa shamba la ekari 2, gharama ya kukodi shamba 50,000/ ekari kwa mwaka.​

KAMBI YA KAZI.PNG


MAANDALIZI YA MBEGU

Nilitafuta mbegu aina ya African Bird’s Eye Chilli (ABE), hii ni aina ya mbegu ya pilipili yenye matunda kama macho ya ndege pori wengi wanaopatika Afrika. Aina hii ya pilipili huzaa sana na hususani ikipata maji ya kutosha. Nilichukua gramu 100 kwa 100,000/-, kwani hutosha la ekari 2 , kila ekari huchukua mimea 4500 hadi 5000.
MBEGU.PNG


MAANDALIZI YA VITALU
Nilitafuta maeneo yaliyo karibu na mto nikaandaa maeoneo ya vitalu 3 kwa ajili ya kusia mbegu. Niliweka mbolea ya samadi ya kutosha kiasi cha debe 3 kwa kila kitalu kulingana na ukubwa wa kitalu, nikaweka majani makavu kuhifadhi unyevu kwenye udongo (kama vinavyoonekana kwenye picha). Huchukua muda wa wiki 3 mbegu zote kuwa zimeota vizuri, katika picha kuna miche mikubwa ambayo niliitolea kivuli na midogo ambayo bado ilihitaji kivuli kwakuwa ilichelewa kuota, ingawa ilipandwa pamoja.
KITALU.PNG


KITALU 2.PNG



UPANDIKIZAJI WA MICHE
Shamba lililimwa kwa jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau) ili kulainisha shamba. Baadaye nilitafuta vijana 3 niliingia nao makubaliano kunitengezea matuta shambani, shughuli za kutengeneza matuta kama vile kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kupandikiza miche kwa TZS 600,000/-. Kita tuta lilikuwa na mita 3.5, na kuchimba mashimo kwenye kila tuta, umbali wa sentimita 90 shimo hadi shimo, mita 1 msitari hadi msitari, na kila shimo liliwekewa mbolea ya samadi kilo 1 na hapa nilitumia vikombe viwili vya nusu lita.

KITALU3.PNG


Upandikizaji wa mimea hufanyika siku 45 tangu mbegu kuwekwa kitaluni. Kwa kipindi cha siku hizo mimea huwa na uwezo wa kustahimili hali ya ukame kidogo hata kama mvua isiponyesha wiki moja bado unauwezo wa kuendelea na uhai wake.
KITALU 4.PNG


UTUNZAJI NA UKUAJI WA MICHE/MIMEA YA PILIPILI SHAMBANI
1. Mbolea:

Niliweka mbolea ya Samadi ya kutosha kuanzia kitaluni hadi shambani. Mbolea ya Samadi sikununua kwa kuwa wafugaji ni wengimaeneo haya, niliwaomba nao wakanipatia bure, gharama ilikuwa ni kwenye kusomba mbolea hiyo. Nilitumia mkokoteni wa kukokotwa na ng’ombe, mbapo ilinigharimu 140,000/- kusomba mbolea ya kutosha shamba zima la ekari 2.​

KWAMA 22.PNG


Pia nilitafuta lita mbili za mbolea ya Organic inayotoka kampuni ya MOKUSAKU inayoitwa MOKUSAKU Cal-Phos na NPK PLUS kwa kuongeza virutubisho kwenye mimea na kuhifadhi maua yasidondoke. Kila lita ni 30,000/- hivyo kwa lita 4 ilinigharimu 120,000/-​

MOKUSAKU BN.PNG


PILIPILI MOKU.PNG


2. Palizi
Palizi ya kwanza ni baada ya wiki ya 3 mimea ikiwa shambani. Niliendelea kupalilia magugu yanapoota. Palizi lilinigharimu kiasi cha 200,000 mpaka mimea ilipokuwa na matawi na majani mengi na kuzuia magugu kuota kwa wingi.
MIMEA SHAMBA.PNG

pilipili new.PNG


CHANGAMOTO ZA UKUAJI WA MICHE YA PILIPILI
1. Magonjwa

Pilipili hukabiliwa na ugonjwa wa ukungu, usipodhibiti mapema majani hujikunja (kama inavyoonekana katika picha za mimes aliyaanza kuugua) na mmea kupukutisha majani yote. Nilitumia dawa ya Innovex 360 SC kudhibiti ugonjwa huu, gharama 80,000/-
UKUNGU.PNG

2. Mchwa na Panzi
Mchwa wanakata mashina chini kwenye udongo na panzi wanakula majani sana. Nilitumia dawa ya NINJA kuzuia panzi , na TERMITE KILLER kwa ajili ya mchwa , gharama 50,000/-.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI

Kuanza kuweka mimea shambani mpaka kuanza kuvuna ni miezi 3, ongeza siku 45 za miche kitaluni. Uvunaji hufanyika kwa kuchuma pilipili iliyoiva na nyekundu kama nyanya. Uvunaji huwa ni kazi kwelikweli, ndoo ndogo ya lita kumi (ambayo ni 3.5-4 kg za pilipili) huvunwa kwa 3000/- hadi 3500/- (hapa ndipo gharama kubwa huitajika na ndio ilitumia kiasi kilichobakia). Na pilipili iliyoiva hutoka kwenye kikonyo chake kwa haraka. Pilipili iliyovunwa huwekwa juani kwa muda wa siku 3 baada ya hapo inakuwa imekauka, itunze ndani sehemu kavu yenye hewa na mwanga . Jambo la kupendeza katika katika MGODI HUU WA DHAHABU NYEKUNDU ni kwamba pilipili iliyo tayari inaingia sokoni na hivyo kukusaidia kupata pesa ya kuendesha uvunaji, hiki ndio kitu cha pekee katika zao hili. Nimeanza kuvuna Mei mpaka sasa naendelea kuvuna, uvunaji natarajia kuisha Septemba
stiveppp.PNG
kausha 2.PNG


KUCHAMBUA
Kabla ya kuuza pilipili uichambue iwe safi, usiweke iliyoharibika . Zitenge hizo zilizoharibika usizitupe nazo zinauzika pia.


chambua 2.PNG


UUZAJI
Masoko ya Pilipili kichaa yapo na unatakiwa kuwa makini na madalali wa pilipili, wengi wao ni matapeli. Mimi nawauzia kampuni ya TAZAMA ambayo inachukua mzigo na kupeleka Kenya, hii kampuni ni ya uhakika na wanatoa pesa yote kwa mkulima.​
MAUZO.PNG

Na uuzaji hufanyika kila baada ya wiki mbili. Hata sasa ninavyomalizia kuandika Habari(Story) TAZAMA wamenitumia pesa ya awali kwa mzigo ulisafiri wiki hii.​
muamala.PNG


FAIDA
Faida ya zao hili, kuna mimea 9400 shambani. Nilijiwekea mmea mmoja utoe robo kilo, naelekea kuvuka malengo ya robo kilo kwa mmea, kuna mimea inatoa mpaka robo tatu ya kilo 3/4 . Na kila kilo bei yake ni TZS. 5000/- Lakini pia zile zilizoharibika bei yake ni TZS 1000/ kwa kilo moja. Na zao hili nitaendelea kuvuna kwa miaka mingine mitatu. MUNGU NI MWEMA, SANA KARIBU MGODINI​
 

Attachments

  • ukaushaji.PNG
    ukaushaji.PNG
    129.6 KB · Views: 181
Upvote 93
WEWE JAMAA ...inaonekana kama umeandika makala so unaponda za wengine ili watu wakupigie KURA WEWE KWENYE MAKALA YAKO....ACHA ROHO MBAAAYAAA ROHO YA KOROSHO unakuwa MCHAWI HUKU BADO KIJANA....KAMA UMEANDIKA MAKALA YA KUELIMISHA WATU WATAKUPIGIA KURA TU...Usiponde stories za watu wengine. ACHA UCHAWI
Endelea kuwa kichwa maji. Siwezi andika makala humu JF, sina huo muda. Na mkiambiwa andika makala sio muandike story za kusadikika, ukijiita kichwa maji jaribu kuwa tofauti na maana ya hilo jina.

Hakuna uhalisia kwenye story nzima, unapush agenda za wahuni uko kupotezea muda wakulima. Wewe kama ni muuza pembejeo uza tu
 
Baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa (BA)2011 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), nilitafuta kazi bila mafanikio. Nikaona nisome Stashahada ya Uzamili katika Elimu nikamaliza 2014 ili nipate ajira ya ualimu, sikufanikiwa kuipata. Mwaka 2016 nikaanza kusoma Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tazania nikiwa na malengo ya kujiaandaa kuwa mwanasheria wa kujitegemea na kuhitimu 2020.

Nikiwa natafakari jinsi yakupata pesa kwenda Shule ya Sheria (Law School of Tanzania) mwaka, nikasikia watu wanaongelea habari ya kilimo cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Nikaona nitafute habari kamili ya kilimo hiki.

Nikatafuta tovuti mbalimbali na kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook nikaona kuna wakulima wengi ambao wanatoa ushuhuda wa kilimo hiki cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Lakini pia nikaona nchi kama Kenya na Uganda ni nchi ambazo pilipili kichaa hulimwa kwa wingi. Pia nikatafuta taarifa za masoko, nikaona masoko yake makuu ni nchi za bara la Asia na Ulaya. Hii ilinipa ‘moto mkuu’ usiozimika kuingia shambani na kuanza kazi ya kuandaa shamba.

Nikiwa na Kiasi cha 1,900,000/- ikiwa ndio akiba pekee. Sikujali nikaamua ‘ku-take risk’. Nikaamua kwenda inapolimwa pilipili Mkoa wa Kigoma , Uvinza na kuweka kambi ya kazi. Niliandaa shamba la ekari 2, gharama ya kukodi shamba 50,000/ ekari kwa mwaka.​

Kambi ya Kazi ikiwa inajengwa
View attachment 2342130


MAANDALIZI YA MBEGU

Nilitafuta mbegu aina ya African Bird’s Eye Chilli (ABE), hii ni aina ya mbegu ya pilipili yenye matunda kama macho ya ndege pori wengi wanaopatika Afrika. Aina hii ya pilipili huzaa sana na hususani ikipata maji ya kutosha. Nilichukua gramu 100 kwa 100,000/-, kwani hutosha la ekari 2 , kila ekari huchukua mimea 4500 hadi 5000.
Mbegu za Pipipili aina ya ABE zikiwa zimewekwa tayari udongoni
View attachment 2342266

MAANDALIZI YA VITALU
Nilitafuta maeneo yaliyo karibu na mto nikaandaa maeoneo ya vitalu 3 kwa ajili ya kusia mbegu. Niliweka mbolea ya samadi ya kutosha kiasi cha debe 3 kwa kila kitalu kulingana na ukubwa wa kitalu, nikaweka majani makavu kuhifadhi unyevu kwenye udongo (kama vinavyoonekana kwenye picha). Huchukua muda wa wiki 3 mbegu zote kuwa zimeota vizuri, katika picha kuna miche mikubwa ambayo niliitolea kivuli na midogo ambayo bado ilihitaji kivuli kwakuwa ilichelewa kuota, ingawa ilipandwa pamoja. (PICHA👇)

Kitalu 1: Majani kuhifadhi unyevu
View attachment 2342095

Kitalu 2 Mimea iliyoota mapema na iliyochelewa kuota

View attachment 2342096


UPANDIKIZAJI WA MICHE
Shamba lililimwa kwa jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau) ili kulainisha shamba. Baadaye nilitafuta vijana 3 niliingia nao makubaliano kunitengezea matuta shambani, shughuli za kutengeneza matuta kama vile kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kupandikiza miche kwa TZS 600,000/-. Kita tuta lilikuwa na mita 3.5, na kuchimba mashimo kwenye kila tuta, umbali wa sentimita 90 shimo hadi shimo, mita 1 msitari hadi msitari, na kila shimo liliwekewa mbolea ya samadi kilo 1 na hapa nilitumia vikombe viwili vya nusu lita . ( PICHA👇).

View attachment 2342103

Upandikizaji wa mimea hufanyika siku 45 tangu mbegu kuwekwa kitaluni. Kwa kipindi cha siku hizo mimea huwa na uwezo wa kustahimili hali ya ukame kidogo hata kama mvua isiponyesha wiki moja bado unauwezo wa kuendelea na uhai wake. (PICHA👇)​
View attachment 2342106

UTUNZAJI NA UKUAJI WA MICHE/MIMEA YA PILIPILI SHAMBANI
1. Mbolea:

Niliweka mbolea ya Samadi ya kutosha kuanzia kitaluni hadi shambani. Mbolea ya Samadi sikununua kwa kuwa wafugaji ni wengimaeneo haya, niliwaomba nao wakanipatia bure, gharama ilikuwa ni kwenye kusomba mbolea hiyo. Nilitumia mkokoteni wa kukokotwa na ng’ombe, mbapo ilinigharimu 140,000/- kusomba mbolea ya kutosha shamba zima la ekari 2.​

Picha kutoka : http://photos1.blogger.com/blogger/5177/2506/1600/DSCF0587.jpg
View attachment 2342137


Pia nilitafuta lita mbili za mbolea ya Organic inayotoka kampuni ya MOKUSAKU inayoitwa MOKUSAKU Cal-Phos na NPK PLUS kwa kuongeza virutubisho kwenye mimea na kuhifadhi maua yasidondoke. Kila lita ni 30,000/- hivyo kwa lita 4 ilinigharimu 120,000/-​
Picha kwa hisani ya : https://mokusaku.com/
View attachment 2342126

Picha za miche ya pilipili yenye mbolea ya Samadi na MOKUSAKU Cal-Phos na NPK Plus
View attachment 2342151

2. Palizi
Palizi ya kwanza ni baada ya wiki ya 3 mimea ikiwa shambani. Niliendelea kupalilia magugu yanapoota. Palizi lilinigharimu kiasi cha 200,000 mpaka mimea ilipokuwa na matawi na majani mengi na kuzuia magugu kuota kwa wingi.
(PICHA👇)
View attachment 2342164



CHANGAMOTO ZA UKUAJI WA MICHE YA PILIPILI
1. Magonjwa

Pilipili hukabiliwa na ugonjwa wa ukungu, usipodhibiti mapema majani hujikunja (kama inavyoonekana katika picha za mimes aliyaanza kuugua) na mmea kupukutisha majani yote. Nilitumia dawa ya Innovex 360 SC kudhibiti ugonjwa huu, gharama 80,000/-
(PICHA 👇)
View attachment 2342184

2. Mchwa na Panzi
Mchwa wanakata mashina chini kwenye udongo na panzi wanakula majani sana. Nilitumia dawa ya NINJA kuzuia panzi , na TERMITE KILLER kwa ajili ya mchwa , gharama 50,000/-.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI

Kuanza kuweka mimea shambani mpaka kuanza kuvuna ni miezi 3, ongeza siku 45 za miche kitaluni. Uvunaji hufanyika kwa kuchuma pilipili iliyoiva na nyekundu kama nyanya. Uvunaji huwa ni kazi kwelikweli, ndoo ndogo ya lita kumi (ambayo ni 3.5-4 kg za pilipili) huvunwa kwa 3000/- hadi 3500/- (hapa ndipo gharama kubwa huitajika na ndio ilitumia kiasi kilichobakia). Na pilipili iliyoiva hutoka kwenye kikonyo chake kwa haraka. Pilipili iliyovunwa huwekwa juani kwa muda wa siku 3 baada ya hapo inakuwa imekauka, itunze ndani sehemu kavu yenye hewa na mwanga . Jambo la kupendeza katika katika MGODI HUU WA DHAHABU NYEKUNDU ni kwamba pilipili iliyo tayari inaingia sokoni na hivyo kukusaidia kupata pesa ya kuendesha uvunaji, hiki ndio kitu cha pekee katika zao hili. Nimeanza kuvuna mwezi wa tano (Mei) mpaka sasa naendelea kuvuna, uvunaji natarajia kuisha mwezi wa tisa (Septemba).
(PICHA👇 Uvunaji)
View attachment 2342205

(Picha👇 ukaushaji)
View attachment 2342210

KUCHAMBUA
Kabla ya kuuza pilipili uichambue iwe safi, usiweke iliyoharibika . Zitenge hizo zilizoharibika usizitupe nazo zinauzika pia.


View attachment 2342213

UUZAJI
Masoko ya Pilipili kichaa yapo na unatakiwa kuwa makini na madalali wa pilipili, wengi wao ni matapeli. Mimi nawauzia kampuni ya TAZAMA ambayo inachukua mzigo na kupeleka Kenya, hii kampuni ni ya uhakika na wanatoa pesa yote kwa mkulima.​
(PICHA👇 nikiwa napima mzigo wa pilipili kichaa mwezi wa Agust 28, 2022)
View attachment 2342224
Na uuzaji hufanyika kila baada ya wiki mbili. Hata sasa ninavyomalizia kuandika Habari(Story) TAZAMA wamenitumia pesa ya awali kwa mzigo ulisafiri wiki hii.​
(PICHA👇 Angalia tarehe na muda wa tukio: 01.09.2022 muda saa 18:02)
View attachment 2342239

FAIDA
Faida ya zao hili, kuna mimea 9400 shambani. Nilijiwekea mmea mmoja utoe robo kilo, naelekea kuvuka malengo ya robo kilo kwa mmea, kuna mimea inatoa mpaka robo tatu ya kilo 3/4 . Na kila kilo bei yake ni TZS. 5000/- Lakini pia zile zilizoharibika bei yake ni TZS 1000/ kwa kilo moja. Na zao hili nitaendelea kuvuna kwa miaka mingine mitatu. MUNGU NI MWEMA, SANA KARIBU MGODINI​

Baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa (BA)2011 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), nilitafuta kazi bila mafanikio. Nikaona nisome Stashahada ya Uzamili katika Elimu nikamaliza 2014 ili nipate ajira ya ualimu, sikufanikiwa kuipata. Mwaka 2016 nikaanza kusoma Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tazania nikiwa na malengo ya kujiaandaa kuwa mwanasheria wa kujitegemea na kuhitimu 2020.

Nikiwa natafakari jinsi yakupata pesa kwenda Shule ya Sheria (Law School of Tanzania) mwaka, nikasikia watu wanaongelea habari ya kilimo cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Nikaona nitafute habari kamili ya kilimo hiki.

Nikatafuta tovuti mbalimbali na kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook nikaona kuna wakulima wengi ambao wanatoa ushuhuda wa kilimo hiki cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Lakini pia nikaona nchi kama Kenya na Uganda ni nchi ambazo pilipili kichaa hulimwa kwa wingi. Pia nikatafuta taarifa za masoko, nikaona masoko yake makuu ni nchi za bara la Asia na Ulaya. Hii ilinipa ‘moto mkuu’ usiozimika kuingia shambani na kuanza kazi ya kuandaa shamba.

Nikiwa na Kiasi cha 1,900,000/- ikiwa ndio akiba pekee. Sikujali nikaamua ‘ku-take risk’. Nikaamua kwenda inapolimwa pilipili Mkoa wa Kigoma , Uvinza na kuweka kambi ya kazi. Niliandaa shamba la ekari 2, gharama ya kukodi shamba 50,000/ ekari kwa mwaka.​

Kambi ya Kazi ikiwa inajengwa
View attachment 2342130


MAANDALIZI YA MBEGU

Nilitafuta mbegu aina ya African Bird’s Eye Chilli (ABE), hii ni aina ya mbegu ya pilipili yenye matunda kama macho ya ndege pori wengi wanaopatika Afrika. Aina hii ya pilipili huzaa sana na hususani ikipata maji ya kutosha. Nilichukua gramu 100 kwa 100,000/-, kwani hutosha la ekari 2 , kila ekari huchukua mimea 4500 hadi 5000.
Mbegu za Pipipili aina ya ABE zikiwa zimewekwa tayari udongoni
View attachment 2342266

MAANDALIZI YA VITALU
Nilitafuta maeneo yaliyo karibu na mto nikaandaa maeoneo ya vitalu 3 kwa ajili ya kusia mbegu. Niliweka mbolea ya samadi ya kutosha kiasi cha debe 3 kwa kila kitalu kulingana na ukubwa wa kitalu, nikaweka majani makavu kuhifadhi unyevu kwenye udongo (kama vinavyoonekana kwenye picha). Huchukua muda wa wiki 3 mbegu zote kuwa zimeota vizuri, katika picha kuna miche mikubwa ambayo niliitolea kivuli na midogo ambayo bado ilihitaji kivuli kwakuwa ilichelewa kuota, ingawa ilipandwa pamoja. (PICHA👇)

Kitalu 1: Majani kuhifadhi unyevu
View attachment 2342095

Kitalu 2 Mimea iliyoota mapema na iliyochelewa kuota

View attachment 2342096


UPANDIKIZAJI WA MICHE
Shamba lililimwa kwa jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau) ili kulainisha shamba. Baadaye nilitafuta vijana 3 niliingia nao makubaliano kunitengezea matuta shambani, shughuli za kutengeneza matuta kama vile kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kupandikiza miche kwa TZS 600,000/-. Kita tuta lilikuwa na mita 3.5, na kuchimba mashimo kwenye kila tuta, umbali wa sentimita 90 shimo hadi shimo, mita 1 msitari hadi msitari, na kila shimo liliwekewa mbolea ya samadi kilo 1 na hapa nilitumia vikombe viwili vya nusu lita . ( PICHA👇).

View attachment 2342103

Upandikizaji wa mimea hufanyika siku 45 tangu mbegu kuwekwa kitaluni. Kwa kipindi cha siku hizo mimea huwa na uwezo wa kustahimili hali ya ukame kidogo hata kama mvua isiponyesha wiki moja bado unauwezo wa kuendelea na uhai wake. (PICHA👇)​
View attachment 2342106

UTUNZAJI NA UKUAJI WA MICHE/MIMEA YA PILIPILI SHAMBANI
1. Mbolea:

Niliweka mbolea ya Samadi ya kutosha kuanzia kitaluni hadi shambani. Mbolea ya Samadi sikununua kwa kuwa wafugaji ni wengimaeneo haya, niliwaomba nao wakanipatia bure, gharama ilikuwa ni kwenye kusomba mbolea hiyo. Nilitumia mkokoteni wa kukokotwa na ng’ombe, mbapo ilinigharimu 140,000/- kusomba mbolea ya kutosha shamba zima la ekari 2.​

Picha kutoka : http://photos1.blogger.com/blogger/5177/2506/1600/DSCF0587.jpg
View attachment 2342137


Pia nilitafuta lita mbili za mbolea ya Organic inayotoka kampuni ya MOKUSAKU inayoitwa MOKUSAKU Cal-Phos na NPK PLUS kwa kuongeza virutubisho kwenye mimea na kuhifadhi maua yasidondoke. Kila lita ni 30,000/- hivyo kwa lita 4 ilinigharimu 120,000/-​
Picha kwa hisani ya : https://mokusaku.com/
View attachment 2342126

Picha za miche ya pilipili yenye mbolea ya Samadi na MOKUSAKU Cal-Phos na NPK Plus
View attachment 2342151

2. Palizi
Palizi ya kwanza ni baada ya wiki ya 3 mimea ikiwa shambani. Niliendelea kupalilia magugu yanapoota. Palizi lilinigharimu kiasi cha 200,000 mpaka mimea ilipokuwa na matawi na majani mengi na kuzuia magugu kuota kwa wingi.
(PICHA👇)
View attachment 2342164



CHANGAMOTO ZA UKUAJI WA MICHE YA PILIPILI
1. Magonjwa

Pilipili hukabiliwa na ugonjwa wa ukungu, usipodhibiti mapema majani hujikunja (kama inavyoonekana katika picha za mimes aliyaanza kuugua) na mmea kupukutisha majani yote. Nilitumia dawa ya Innovex 360 SC kudhibiti ugonjwa huu, gharama 80,000/-
(PICHA 👇)
View attachment 2342184

2. Mchwa na Panzi
Mchwa wanakata mashina chini kwenye udongo na panzi wanakula majani sana. Nilitumia dawa ya NINJA kuzuia panzi , na TERMITE KILLER kwa ajili ya mchwa , gharama 50,000/-.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI

Kuanza kuweka mimea shambani mpaka kuanza kuvuna ni miezi 3, ongeza siku 45 za miche kitaluni. Uvunaji hufanyika kwa kuchuma pilipili iliyoiva na nyekundu kama nyanya. Uvunaji huwa ni kazi kwelikweli, ndoo ndogo ya lita kumi (ambayo ni 3.5-4 kg za pilipili) huvunwa kwa 3000/- hadi 3500/- (hapa ndipo gharama kubwa huitajika na ndio ilitumia kiasi kilichobakia). Na pilipili iliyoiva hutoka kwenye kikonyo chake kwa haraka. Pilipili iliyovunwa huwekwa juani kwa muda wa siku 3 baada ya hapo inakuwa imekauka, itunze ndani sehemu kavu yenye hewa na mwanga . Jambo la kupendeza katika katika MGODI HUU WA DHAHABU NYEKUNDU ni kwamba pilipili iliyo tayari inaingia sokoni na hivyo kukusaidia kupata pesa ya kuendesha uvunaji, hiki ndio kitu cha pekee katika zao hili. Nimeanza kuvuna mwezi wa tano (Mei) mpaka sasa naendelea kuvuna, uvunaji natarajia kuisha mwezi wa tisa (Septemba).
(PICHA👇 Uvunaji)
View attachment 2342205

(Picha👇 ukaushaji)
View attachment 2342210

KUCHAMBUA
Kabla ya kuuza pilipili uichambue iwe safi, usiweke iliyoharibika . Zitenge hizo zilizoharibika usizitupe nazo zinauzika pia.


View attachment 2342213

UUZAJI
Masoko ya Pilipili kichaa yapo na unatakiwa kuwa makini na madalali wa pilipili, wengi wao ni matapeli. Mimi nawauzia kampuni ya TAZAMA ambayo inachukua mzigo na kupeleka Kenya, hii kampuni ni ya uhakika na wanatoa pesa yote kwa mkulima.​
(PICHA👇 nikiwa napima mzigo wa pilipili kichaa mwezi wa Agust 28, 2022)
View attachment 2342224
Na uuzaji hufanyika kila baada ya wiki mbili. Hata sasa ninavyomalizia kuandika Habari(Story) TAZAMA wamenitumia pesa ya awali kwa mzigo ulisafiri wiki hii.​
(PICHA👇 Angalia tarehe na muda wa tukio: 01.09.2022 muda saa 18:02)
View attachment 2342239

FAIDA
Faida ya zao hili, kuna mimea 9400 shambani. Nilijiwekea mmea mmoja utoe robo kilo, naelekea kuvuka malengo ya robo kilo kwa mmea, kuna mimea inatoa mpaka robo tatu ya kilo 3/4 . Na kila kilo bei yake ni TZS. 5000/- Lakini pia zile zilizoharibika bei yake ni TZS 1000/ kwa kilo moja. Na zao hili nitaendelea kuvuna kwa miaka mingine mitatu. MUNGU NI MWEMA, SANA KARIBU MGODINI​
NAOMBA KURA YAKO TAFADHALI
 
Baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa (BA)2011 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), nilitafuta kazi bila mafanikio. Nikaona nisome Stashahada ya Uzamili katika Elimu nikamaliza 2014 ili nipate ajira ya ualimu, sikufanikiwa kuipata. Mwaka 2016 nikaanza kusoma Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tazania nikiwa na malengo ya kujiaandaa kuwa mwanasheria wa kujitegemea na kuhitimu 2020.

Nikiwa natafakari jinsi yakupata pesa kwenda Shule ya Sheria (Law School of Tanzania) mwaka, nikasikia watu wanaongelea habari ya kilimo cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Nikaona nitafute habari kamili ya kilimo hiki.

Nikatafuta tovuti mbalimbali na kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook nikaona kuna wakulima wengi ambao wanatoa ushuhuda wa kilimo hiki cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Lakini pia nikaona nchi kama Kenya na Uganda ni nchi ambazo pilipili kichaa hulimwa kwa wingi. Pia nikatafuta taarifa za masoko, nikaona masoko yake makuu ni nchi za bara la Asia na Ulaya. Hii ilinipa ‘moto mkuu’ usiozimika kuingia shambani na kuanza kazi ya kuandaa shamba.

Nikiwa na Kiasi cha 1,900,000/- ikiwa ndio akiba pekee. Sikujali nikaamua ‘ku-take risk’. Nikaamua kwenda inapolimwa pilipili Mkoa wa Kigoma , Uvinza na kuweka kambi ya kazi. Niliandaa shamba la ekari 2, gharama ya kukodi shamba 50,000/ ekari kwa mwaka.​

Kambi ya Kazi ikiwa inajengwa
View attachment 2342130


MAANDALIZI YA MBEGU

Nilitafuta mbegu aina ya African Bird’s Eye Chilli (ABE), hii ni aina ya mbegu ya pilipili yenye matunda kama macho ya ndege pori wengi wanaopatika Afrika. Aina hii ya pilipili huzaa sana na hususani ikipata maji ya kutosha. Nilichukua gramu 100 kwa 100,000/-, kwani hutosha la ekari 2 , kila ekari huchukua mimea 4500 hadi 5000.
Mbegu za Pipipili aina ya ABE zikiwa zimewekwa tayari udongoni
View attachment 2342266

MAANDALIZI YA VITALU
Nilitafuta maeneo yaliyo karibu na mto nikaandaa maeoneo ya vitalu 3 kwa ajili ya kusia mbegu. Niliweka mbolea ya samadi ya kutosha kiasi cha debe 3 kwa kila kitalu kulingana na ukubwa wa kitalu, nikaweka majani makavu kuhifadhi unyevu kwenye udongo (kama vinavyoonekana kwenye picha). Huchukua muda wa wiki 3 mbegu zote kuwa zimeota vizuri, katika picha kuna miche mikubwa ambayo niliitolea kivuli na midogo ambayo bado ilihitaji kivuli kwakuwa ilichelewa kuota, ingawa ilipandwa pamoja. (PICHA👇)

Kitalu 1: Majani kuhifadhi unyevu
View attachment 2342095

Kitalu 2 Mimea iliyoota mapema na iliyochelewa kuota

View attachment 2342096


UPANDIKIZAJI WA MICHE
Shamba lililimwa kwa jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau) ili kulainisha shamba. Baadaye nilitafuta vijana 3 niliingia nao makubaliano kunitengezea matuta shambani, shughuli za kutengeneza matuta kama vile kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kupandikiza miche kwa TZS 600,000/-. Kita tuta lilikuwa na mita 3.5, na kuchimba mashimo kwenye kila tuta, umbali wa sentimita 90 shimo hadi shimo, mita 1 msitari hadi msitari, na kila shimo liliwekewa mbolea ya samadi kilo 1 na hapa nilitumia vikombe viwili vya nusu lita . ( PICHA👇).

View attachment 2342103

Upandikizaji wa mimea hufanyika siku 45 tangu mbegu kuwekwa kitaluni. Kwa kipindi cha siku hizo mimea huwa na uwezo wa kustahimili hali ya ukame kidogo hata kama mvua isiponyesha wiki moja bado unauwezo wa kuendelea na uhai wake. (PICHA👇)​
View attachment 2342106

UTUNZAJI NA UKUAJI WA MICHE/MIMEA YA PILIPILI SHAMBANI
1. Mbolea:

Niliweka mbolea ya Samadi ya kutosha kuanzia kitaluni hadi shambani. Mbolea ya Samadi sikununua kwa kuwa wafugaji ni wengimaeneo haya, niliwaomba nao wakanipatia bure, gharama ilikuwa ni kwenye kusomba mbolea hiyo. Nilitumia mkokoteni wa kukokotwa na ng’ombe, mbapo ilinigharimu 140,000/- kusomba mbolea ya kutosha shamba zima la ekari 2.​

Picha kutoka : http://photos1.blogger.com/blogger/5177/2506/1600/DSCF0587.jpg
View attachment 2342137


Pia nilitafuta lita mbili za mbolea ya Organic inayotoka kampuni ya MOKUSAKU inayoitwa MOKUSAKU Cal-Phos na NPK PLUS kwa kuongeza virutubisho kwenye mimea na kuhifadhi maua yasidondoke. Kila lita ni 30,000/- hivyo kwa lita 4 ilinigharimu 120,000/-​
Picha kwa hisani ya : https://mokusaku.com/
View attachment 2342126

Picha za miche ya pilipili yenye mbolea ya Samadi na MOKUSAKU Cal-Phos na NPK Plus
View attachment 2342151

2. Palizi
Palizi ya kwanza ni baada ya wiki ya 3 mimea ikiwa shambani. Niliendelea kupalilia magugu yanapoota. Palizi lilinigharimu kiasi cha 200,000 mpaka mimea ilipokuwa na matawi na majani mengi na kuzuia magugu kuota kwa wingi.
(PICHA👇)
View attachment 2342164



CHANGAMOTO ZA UKUAJI WA MICHE YA PILIPILI
1. Magonjwa

Pilipili hukabiliwa na ugonjwa wa ukungu, usipodhibiti mapema majani hujikunja (kama inavyoonekana katika picha za mimes aliyaanza kuugua) na mmea kupukutisha majani yote. Nilitumia dawa ya Innovex 360 SC kudhibiti ugonjwa huu, gharama 80,000/-
(PICHA 👇)
View attachment 2342184

2. Mchwa na Panzi
Mchwa wanakata mashina chini kwenye udongo na panzi wanakula majani sana. Nilitumia dawa ya NINJA kuzuia panzi , na TERMITE KILLER kwa ajili ya mchwa , gharama 50,000/-.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI

Kuanza kuweka mimea shambani mpaka kuanza kuvuna ni miezi 3, ongeza siku 45 za miche kitaluni. Uvunaji hufanyika kwa kuchuma pilipili iliyoiva na nyekundu kama nyanya. Uvunaji huwa ni kazi kwelikweli, ndoo ndogo ya lita kumi (ambayo ni 3.5-4 kg za pilipili) huvunwa kwa 3000/- hadi 3500/- (hapa ndipo gharama kubwa huitajika na ndio ilitumia kiasi kilichobakia). Na pilipili iliyoiva hutoka kwenye kikonyo chake kwa haraka. Pilipili iliyovunwa huwekwa juani kwa muda wa siku 3 baada ya hapo inakuwa imekauka, itunze ndani sehemu kavu yenye hewa na mwanga . Jambo la kupendeza katika katika MGODI HUU WA DHAHABU NYEKUNDU ni kwamba pilipili iliyo tayari inaingia sokoni na hivyo kukusaidia kupata pesa ya kuendesha uvunaji, hiki ndio kitu cha pekee katika zao hili. Nimeanza kuvuna mwezi wa tano (Mei) mpaka sasa naendelea kuvuna, uvunaji natarajia kuisha mwezi wa tisa (Septemba).
(PICHA👇 Uvunaji)
View attachment 2342205

(Picha👇 ukaushaji)
View attachment 2342210

KUCHAMBUA
Kabla ya kuuza pilipili uichambue iwe safi, usiweke iliyoharibika . Zitenge hizo zilizoharibika usizitupe nazo zinauzika pia.


View attachment 2342213

UUZAJI
Masoko ya Pilipili kichaa yapo na unatakiwa kuwa makini na madalali wa pilipili, wengi wao ni matapeli. Mimi nawauzia kampuni ya TAZAMA ambayo inachukua mzigo na kupeleka Kenya, hii kampuni ni ya uhakika na wanatoa pesa yote kwa mkulima.​
(PICHA👇 nikiwa napima mzigo wa pilipili kichaa mwezi wa Agust 28, 2022)
View attachment 2342224
Na uuzaji hufanyika kila baada ya wiki mbili. Hata sasa ninavyomalizia kuandika Habari(Story) TAZAMA wamenitumia pesa ya awali kwa mzigo ulisafiri wiki hii.​
(PICHA👇 Angalia tarehe na muda wa tukio: 01.09.2022 muda saa 18:02)
View attachment 2342239

FAIDA
Faida ya zao hili, kuna mimea 9400 shambani. Nilijiwekea mmea mmoja utoe robo kilo, naelekea kuvuka malengo ya robo kilo kwa mmea, kuna mimea inatoa mpaka robo tatu ya kilo 3/4 . Na kila kilo bei yake ni TZS. 5000/- Lakini pia zile zilizoharibika bei yake ni TZS 1000/ kwa kilo moja. Na zao hili nitaendelea kuvuna kwa miaka mingine mitatu. MUNGU NI MWEMA, SANA KARIBU MGODINI​
Habari za Leo, karibu tujadili, chini ya Makala kuna alama "^" hivyo ukiibofya unaweza kunipigia kura. Kama ukipata shida namna ya kunipigia, nakuomba upate kunijuza nikupe maelezo zaidi ya kunipigia kura. Pia nakuomba uweze ku-like chapisho na kutoa maoni yako kuhusu chapisho hili la kilimo cha pilipili(dhahabu nyekundu)
 
Baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa (BA)2011 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), nilitafuta kazi bila mafanikio. Nikaona nisome Stashahada ya Uzamili katika Elimu nikamaliza 2014 ili nipate ajira ya ualimu, sikufanikiwa kuipata. Mwaka 2016 nikaanza kusoma Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tazania nikiwa na malengo ya kujiaandaa kuwa mwanasheria wa kujitegemea na kuhitimu 2020.

Nikiwa natafakari jinsi yakupata pesa kwenda Shule ya Sheria (Law School of Tanzania) mwaka, nikasikia watu wanaongelea habari ya kilimo cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Nikaona nitafute habari kamili ya kilimo hiki.

Nikatafuta tovuti mbalimbali na kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook nikaona kuna wakulima wengi ambao wanatoa ushuhuda wa kilimo hiki cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Lakini pia nikaona nchi kama Kenya na Uganda ni nchi ambazo pilipili kichaa hulimwa kwa wingi. Pia nikatafuta taarifa za masoko, nikaona masoko yake makuu ni nchi za bara la Asia na Ulaya. Hii ilinipa ‘moto mkuu’ usiozimika kuingia shambani na kuanza kazi ya kuandaa shamba.

Nikiwa na Kiasi cha 1,900,000/- ikiwa ndio akiba pekee. Sikujali nikaamua ‘ku-take risk’. Nikaamua kwenda inapolimwa pilipili Mkoa wa Kigoma , Uvinza na kuweka kambi ya kazi. Niliandaa shamba la ekari 2, gharama ya kukodi shamba 50,000/ ekari kwa mwaka.​

Kambi ya Kazi ikiwa inajengwa
View attachment 2342130


MAANDALIZI YA MBEGU

Nilitafuta mbegu aina ya African Bird’s Eye Chilli (ABE), hii ni aina ya mbegu ya pilipili yenye matunda kama macho ya ndege pori wengi wanaopatika Afrika. Aina hii ya pilipili huzaa sana na hususani ikipata maji ya kutosha. Nilichukua gramu 100 kwa 100,000/-, kwani hutosha la ekari 2 , kila ekari huchukua mimea 4500 hadi 5000.
Mbegu za Pipipili aina ya ABE zikiwa zimewekwa tayari udongoni
View attachment 2342266

MAANDALIZI YA VITALU
Nilitafuta maeneo yaliyo karibu na mto nikaandaa maeoneo ya vitalu 3 kwa ajili ya kusia mbegu. Niliweka mbolea ya samadi ya kutosha kiasi cha debe 3 kwa kila kitalu kulingana na ukubwa wa kitalu, nikaweka majani makavu kuhifadhi unyevu kwenye udongo (kama vinavyoonekana kwenye picha). Huchukua muda wa wiki 3 mbegu zote kuwa zimeota vizuri, katika picha kuna miche mikubwa ambayo niliitolea kivuli na midogo ambayo bado ilihitaji kivuli kwakuwa ilichelewa kuota, ingawa ilipandwa pamoja. (PICHA👇)

Kitalu 1: Majani kuhifadhi unyevu
View attachment 2342095

Kitalu 2 Mimea iliyoota mapema na iliyochelewa kuota

View attachment 2342096


UPANDIKIZAJI WA MICHE
Shamba lililimwa kwa jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau) ili kulainisha shamba. Baadaye nilitafuta vijana 3 niliingia nao makubaliano kunitengezea matuta shambani, shughuli za kutengeneza matuta kama vile kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kupandikiza miche kwa TZS 600,000/-. Kita tuta lilikuwa na mita 3.5, na kuchimba mashimo kwenye kila tuta, umbali wa sentimita 90 shimo hadi shimo, mita 1 msitari hadi msitari, na kila shimo liliwekewa mbolea ya samadi kilo 1 na hapa nilitumia vikombe viwili vya nusu lita . ( PICHA👇).

View attachment 2342103

Upandikizaji wa mimea hufanyika siku 45 tangu mbegu kuwekwa kitaluni. Kwa kipindi cha siku hizo mimea huwa na uwezo wa kustahimili hali ya ukame kidogo hata kama mvua isiponyesha wiki moja bado unauwezo wa kuendelea na uhai wake. (PICHA👇)​
View attachment 2342106

UTUNZAJI NA UKUAJI WA MICHE/MIMEA YA PILIPILI SHAMBANI
1. Mbolea:

Niliweka mbolea ya Samadi ya kutosha kuanzia kitaluni hadi shambani. Mbolea ya Samadi sikununua kwa kuwa wafugaji ni wengimaeneo haya, niliwaomba nao wakanipatia bure, gharama ilikuwa ni kwenye kusomba mbolea hiyo. Nilitumia mkokoteni wa kukokotwa na ng’ombe, mbapo ilinigharimu 140,000/- kusomba mbolea ya kutosha shamba zima la ekari 2.​

Picha kutoka : http://photos1.blogger.com/blogger/5177/2506/1600/DSCF0587.jpg
View attachment 2342137


Pia nilitafuta lita mbili za mbolea ya Organic inayotoka kampuni ya MOKUSAKU inayoitwa MOKUSAKU Cal-Phos na NPK PLUS kwa kuongeza virutubisho kwenye mimea na kuhifadhi maua yasidondoke. Kila lita ni 30,000/- hivyo kwa lita 4 ilinigharimu 120,000/-​
Picha kwa hisani ya : https://mokusaku.com/
View attachment 2342126

Picha za miche ya pilipili yenye mbolea ya Samadi na MOKUSAKU Cal-Phos na NPK Plus
View attachment 2342151

2. Palizi
Palizi ya kwanza ni baada ya wiki ya 3 mimea ikiwa shambani. Niliendelea kupalilia magugu yanapoota. Palizi lilinigharimu kiasi cha 200,000 mpaka mimea ilipokuwa na matawi na majani mengi na kuzuia magugu kuota kwa wingi.
(PICHA👇)
View attachment 2342164



CHANGAMOTO ZA UKUAJI WA MICHE YA PILIPILI
1. Magonjwa

Pilipili hukabiliwa na ugonjwa wa ukungu, usipodhibiti mapema majani hujikunja (kama inavyoonekana katika picha za mimes aliyaanza kuugua) na mmea kupukutisha majani yote. Nilitumia dawa ya Innovex 360 SC kudhibiti ugonjwa huu, gharama 80,000/-
(PICHA 👇)
View attachment 2342184

2. Mchwa na Panzi
Mchwa wanakata mashina chini kwenye udongo na panzi wanakula majani sana. Nilitumia dawa ya NINJA kuzuia panzi , na TERMITE KILLER kwa ajili ya mchwa , gharama 50,000/-.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI

Kuanza kuweka mimea shambani mpaka kuanza kuvuna ni miezi 3, ongeza siku 45 za miche kitaluni. Uvunaji hufanyika kwa kuchuma pilipili iliyoiva na nyekundu kama nyanya. Uvunaji huwa ni kazi kwelikweli, ndoo ndogo ya lita kumi (ambayo ni 3.5-4 kg za pilipili) huvunwa kwa 3000/- hadi 3500/- (hapa ndipo gharama kubwa huitajika na ndio ilitumia kiasi kilichobakia). Na pilipili iliyoiva hutoka kwenye kikonyo chake kwa haraka. Pilipili iliyovunwa huwekwa juani kwa muda wa siku 3 baada ya hapo inakuwa imekauka, itunze ndani sehemu kavu yenye hewa na mwanga . Jambo la kupendeza katika katika MGODI HUU WA DHAHABU NYEKUNDU ni kwamba pilipili iliyo tayari inaingia sokoni na hivyo kukusaidia kupata pesa ya kuendesha uvunaji, hiki ndio kitu cha pekee katika zao hili. Nimeanza kuvuna mwezi wa tano (Mei) mpaka sasa naendelea kuvuna, uvunaji natarajia kuisha mwezi wa tisa (Septemba).
(PICHA👇 Uvunaji)
View attachment 2342205

(Picha👇 ukaushaji)
View attachment 2342210

KUCHAMBUA
Kabla ya kuuza pilipili uichambue iwe safi, usiweke iliyoharibika . Zitenge hizo zilizoharibika usizitupe nazo zinauzika pia.


View attachment 2342213

UUZAJI
Masoko ya Pilipili kichaa yapo na unatakiwa kuwa makini na madalali wa pilipili, wengi wao ni matapeli. Mimi nawauzia kampuni ya TAZAMA ambayo inachukua mzigo na kupeleka Kenya, hii kampuni ni ya uhakika na wanatoa pesa yote kwa mkulima.​
(PICHA👇 nikiwa napima mzigo wa pilipili kichaa mwezi wa Agust 28, 2022)
View attachment 2342224
Na uuzaji hufanyika kila baada ya wiki mbili. Hata sasa ninavyomalizia kuandika Habari(Story) TAZAMA wamenitumia pesa ya awali kwa mzigo ulisafiri wiki hii.​
(PICHA👇 Angalia tarehe na muda wa tukio: 01.09.2022 muda saa 18:02)
View attachment 2342239

FAIDA
Faida ya zao hili, kuna mimea 9400 shambani. Nilijiwekea mmea mmoja utoe robo kilo, naelekea kuvuka malengo ya robo kilo kwa mmea, kuna mimea inatoa mpaka robo tatu ya kilo 3/4 . Na kila kilo bei yake ni TZS. 5000/- Lakini pia zile zilizoharibika bei yake ni TZS 1000/ kwa kilo moja. Na zao hili nitaendelea kuvuna kwa miaka mingine mitatu. MUNGU NI MWEMA, SANA KARIBU MGODINI​
Hongera mkuu. Hii iko njema sana
 
Baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa (BA)2011 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), nilitafuta kazi bila mafanikio. Nikaona nisome Stashahada ya Uzamili katika Elimu nikamaliza 2014 ili nipate ajira ya ualimu, sikufanikiwa kuipata. Mwaka 2016 nikaanza kusoma Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tazania nikiwa na malengo ya kujiaandaa kuwa mwanasheria wa kujitegemea na kuhitimu 2020.

Nikiwa natafakari jinsi yakupata pesa kwenda Shule ya Sheria (Law School of Tanzania) mwaka, nikasikia watu wanaongelea habari ya kilimo cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Nikaona nitafute habari kamili ya kilimo hiki.

Nikatafuta tovuti mbalimbali na kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook nikaona kuna wakulima wengi ambao wanatoa ushuhuda wa kilimo hiki cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Lakini pia nikaona nchi kama Kenya na Uganda ni nchi ambazo pilipili kichaa hulimwa kwa wingi. Pia nikatafuta taarifa za masoko, nikaona masoko yake makuu ni nchi za bara la Asia na Ulaya. Hii ilinipa ‘moto mkuu’ usiozimika kuingia shambani na kuanza kazi ya kuandaa shamba.

Nikiwa na Kiasi cha 1,900,000/- ikiwa ndio akiba pekee. Sikujali nikaamua ‘ku-take risk’. Nikaamua kwenda inapolimwa pilipili Mkoa wa Kigoma , Uvinza na kuweka kambi ya kazi. Niliandaa shamba la ekari 2, gharama ya kukodi shamba 50,000/ ekari kwa mwaka.​

Kambi ya Kazi ikiwa inajengwa
View attachment 2342130


MAANDALIZI YA MBEGU

Nilitafuta mbegu aina ya African Bird’s Eye Chilli (ABE), hii ni aina ya mbegu ya pilipili yenye matunda kama macho ya ndege pori wengi wanaopatika Afrika. Aina hii ya pilipili huzaa sana na hususani ikipata maji ya kutosha. Nilichukua gramu 100 kwa 100,000/-, kwani hutosha la ekari 2 , kila ekari huchukua mimea 4500 hadi 5000.
Mbegu za Pipipili aina ya ABE zikiwa zimewekwa tayari udongoni
View attachment 2342266

MAANDALIZI YA VITALU
Nilitafuta maeneo yaliyo karibu na mto nikaandaa maeoneo ya vitalu 3 kwa ajili ya kusia mbegu. Niliweka mbolea ya samadi ya kutosha kiasi cha debe 3 kwa kila kitalu kulingana na ukubwa wa kitalu, nikaweka majani makavu kuhifadhi unyevu kwenye udongo (kama vinavyoonekana kwenye picha). Huchukua muda wa wiki 3 mbegu zote kuwa zimeota vizuri, katika picha kuna miche mikubwa ambayo niliitolea kivuli na midogo ambayo bado ilihitaji kivuli kwakuwa ilichelewa kuota, ingawa ilipandwa pamoja. (PICHA👇)

Kitalu 1: Majani kuhifadhi unyevu
View attachment 2342095

Kitalu 2 Mimea iliyoota mapema na iliyochelewa kuota

View attachment 2342096


UPANDIKIZAJI WA MICHE
Shamba lililimwa kwa jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau) ili kulainisha shamba. Baadaye nilitafuta vijana 3 niliingia nao makubaliano kunitengezea matuta shambani, shughuli za kutengeneza matuta kama vile kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kupandikiza miche kwa TZS 600,000/-. Kita tuta lilikuwa na mita 3.5, na kuchimba mashimo kwenye kila tuta, umbali wa sentimita 90 shimo hadi shimo, mita 1 msitari hadi msitari, na kila shimo liliwekewa mbolea ya samadi kilo 1 na hapa nilitumia vikombe viwili vya nusu lita . ( PICHA👇).

View attachment 2342103

Upandikizaji wa mimea hufanyika siku 45 tangu mbegu kuwekwa kitaluni. Kwa kipindi cha siku hizo mimea huwa na uwezo wa kustahimili hali ya ukame kidogo hata kama mvua isiponyesha wiki moja bado unauwezo wa kuendelea na uhai wake. (PICHA👇)​
View attachment 2342106

UTUNZAJI NA UKUAJI WA MICHE/MIMEA YA PILIPILI SHAMBANI
1. Mbolea:

Niliweka mbolea ya Samadi ya kutosha kuanzia kitaluni hadi shambani. Mbolea ya Samadi sikununua kwa kuwa wafugaji ni wengimaeneo haya, niliwaomba nao wakanipatia bure, gharama ilikuwa ni kwenye kusomba mbolea hiyo. Nilitumia mkokoteni wa kukokotwa na ng’ombe, mbapo ilinigharimu 140,000/- kusomba mbolea ya kutosha shamba zima la ekari 2.​

Picha kutoka : http://photos1.blogger.com/blogger/5177/2506/1600/DSCF0587.jpg
View attachment 2342137


Pia nilitafuta lita mbili za mbolea ya Organic inayotoka kampuni ya MOKUSAKU inayoitwa MOKUSAKU Cal-Phos na NPK PLUS kwa kuongeza virutubisho kwenye mimea na kuhifadhi maua yasidondoke. Kila lita ni 30,000/- hivyo kwa lita 4 ilinigharimu 120,000/-​
Picha kwa hisani ya : https://mokusaku.com/
View attachment 2342126

Picha za miche ya pilipili yenye mbolea ya Samadi na MOKUSAKU Cal-Phos na NPK Plus
View attachment 2342151

2. Palizi
Palizi ya kwanza ni baada ya wiki ya 3 mimea ikiwa shambani. Niliendelea kupalilia magugu yanapoota. Palizi lilinigharimu kiasi cha 200,000 mpaka mimea ilipokuwa na matawi na majani mengi na kuzuia magugu kuota kwa wingi.
(PICHA👇)
View attachment 2342164



CHANGAMOTO ZA UKUAJI WA MICHE YA PILIPILI
1. Magonjwa

Pilipili hukabiliwa na ugonjwa wa ukungu, usipodhibiti mapema majani hujikunja (kama inavyoonekana katika picha za mimes aliyaanza kuugua) na mmea kupukutisha majani yote. Nilitumia dawa ya Innovex 360 SC kudhibiti ugonjwa huu, gharama 80,000/-
(PICHA 👇)
View attachment 2342184

2. Mchwa na Panzi
Mchwa wanakata mashina chini kwenye udongo na panzi wanakula majani sana. Nilitumia dawa ya NINJA kuzuia panzi , na TERMITE KILLER kwa ajili ya mchwa , gharama 50,000/-.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI

Kuanza kuweka mimea shambani mpaka kuanza kuvuna ni miezi 3, ongeza siku 45 za miche kitaluni. Uvunaji hufanyika kwa kuchuma pilipili iliyoiva na nyekundu kama nyanya. Uvunaji huwa ni kazi kwelikweli, ndoo ndogo ya lita kumi (ambayo ni 3.5-4 kg za pilipili) huvunwa kwa 3000/- hadi 3500/- (hapa ndipo gharama kubwa huitajika na ndio ilitumia kiasi kilichobakia). Na pilipili iliyoiva hutoka kwenye kikonyo chake kwa haraka. Pilipili iliyovunwa huwekwa juani kwa muda wa siku 3 baada ya hapo inakuwa imekauka, itunze ndani sehemu kavu yenye hewa na mwanga . Jambo la kupendeza katika katika MGODI HUU WA DHAHABU NYEKUNDU ni kwamba pilipili iliyo tayari inaingia sokoni na hivyo kukusaidia kupata pesa ya kuendesha uvunaji, hiki ndio kitu cha pekee katika zao hili. Nimeanza kuvuna mwezi wa tano (Mei) mpaka sasa naendelea kuvuna, uvunaji natarajia kuisha mwezi wa tisa (Septemba).
(PICHA👇 Uvunaji)
View attachment 2342205

(Picha👇 ukaushaji)
View attachment 2342210

KUCHAMBUA
Kabla ya kuuza pilipili uichambue iwe safi, usiweke iliyoharibika . Zitenge hizo zilizoharibika usizitupe nazo zinauzika pia.


View attachment 2342213

UUZAJI
Masoko ya Pilipili kichaa yapo na unatakiwa kuwa makini na madalali wa pilipili, wengi wao ni matapeli. Mimi nawauzia kampuni ya TAZAMA ambayo inachukua mzigo na kupeleka Kenya, hii kampuni ni ya uhakika na wanatoa pesa yote kwa mkulima.​
(PICHA👇 nikiwa napima mzigo wa pilipili kichaa mwezi wa Agust 28, 2022)
View attachment 2342224
Na uuzaji hufanyika kila baada ya wiki mbili. Hata sasa ninavyomalizia kuandika Habari(Story) TAZAMA wamenitumia pesa ya awali kwa mzigo ulisafiri wiki hii.​
(PICHA👇 Angalia tarehe na muda wa tukio: 01.09.2022 muda saa 18:02)
View attachment 2342239

FAIDA
Faida ya zao hili, kuna mimea 9400 shambani. Nilijiwekea mmea mmoja utoe robo kilo, naelekea kuvuka malengo ya robo kilo kwa mmea, kuna mimea inatoa mpaka robo tatu ya kilo 3/4 . Na kila kilo bei yake ni TZS. 5000/- Lakini pia zile zilizoharibika bei yake ni TZS 1000/ kwa kilo moja. Na zao hili nitaendelea kuvuna kwa miaka mingine mitatu. MUNGU NI MWEMA, SANA KARIBU MGODINI​
Baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa (BA)2011 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), nilitafuta kazi bila mafanikio. Nikaona nisome Stashahada ya Uzamili katika Elimu nikamaliza 2014 ili nipate ajira ya ualimu, sikufanikiwa kuipata. Mwaka 2016 nikaanza kusoma Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tazania nikiwa na malengo ya kujiaandaa kuwa mwanasheria wa kujitegemea na kuhitimu 2020.

Nikiwa natafakari jinsi yakupata pesa kwenda Shule ya Sheria (Law School of Tanzania) mwaka, nikasikia watu wanaongelea habari ya kilimo cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Nikaona nitafute habari kamili ya kilimo hiki.

Nikatafuta tovuti mbalimbali na kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook nikaona kuna wakulima wengi ambao wanatoa ushuhuda wa kilimo hiki cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Lakini pia nikaona nchi kama Kenya na Uganda ni nchi ambazo pilipili kichaa hulimwa kwa wingi. Pia nikatafuta taarifa za masoko, nikaona masoko yake makuu ni nchi za bara la Asia na Ulaya. Hii ilinipa ‘moto mkuu’ usiozimika kuingia shambani na kuanza kazi ya kuandaa shamba.

Nikiwa na Kiasi cha 1,900,000/- ikiwa ndio akiba pekee. Sikujali nikaamua ‘ku-take risk’. Nikaamua kwenda inapolimwa pilipili Mkoa wa Kigoma , Uvinza na kuweka kambi ya kazi. Niliandaa shamba la ekari 2, gharama ya kukodi shamba 50,000/ ekari kwa mwaka.​

Kambi ya Kazi ikiwa inajengwa
View attachment 2342130


MAANDALIZI YA MBEGU

Nilitafuta mbegu aina ya African Bird’s Eye Chilli (ABE), hii ni aina ya mbegu ya pilipili yenye matunda kama macho ya ndege pori wengi wanaopatika Afrika. Aina hii ya pilipili huzaa sana na hususani ikipata maji ya kutosha. Nilichukua gramu 100 kwa 100,000/-, kwani hutosha la ekari 2 , kila ekari huchukua mimea 4500 hadi 5000.
Mbegu za Pipipili aina ya ABE zikiwa zimewekwa tayari udongoni
View attachment 2342266

MAANDALIZI YA VITALU
Nilitafuta maeneo yaliyo karibu na mto nikaandaa maeoneo ya vitalu 3 kwa ajili ya kusia mbegu. Niliweka mbolea ya samadi ya kutosha kiasi cha debe 3 kwa kila kitalu kulingana na ukubwa wa kitalu, nikaweka majani makavu kuhifadhi unyevu kwenye udongo (kama vinavyoonekana kwenye picha). Huchukua muda wa wiki 3 mbegu zote kuwa zimeota vizuri, katika picha kuna miche mikubwa ambayo niliitolea kivuli na midogo ambayo bado ilihitaji kivuli kwakuwa ilichelewa kuota, ingawa ilipandwa pamoja. (PICHA👇)

Kitalu 1: Majani kuhifadhi unyevu
View attachment 2342095

Kitalu 2 Mimea iliyoota mapema na iliyochelewa kuota

View attachment 2342096


UPANDIKIZAJI WA MICHE
Shamba lililimwa kwa jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau) ili kulainisha shamba. Baadaye nilitafuta vijana 3 niliingia nao makubaliano kunitengezea matuta shambani, shughuli za kutengeneza matuta kama vile kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kupandikiza miche kwa TZS 600,000/-. Kita tuta lilikuwa na mita 3.5, na kuchimba mashimo kwenye kila tuta, umbali wa sentimita 90 shimo hadi shimo, mita 1 msitari hadi msitari, na kila shimo liliwekewa mbolea ya samadi kilo 1 na hapa nilitumia vikombe viwili vya nusu lita . ( PICHA👇).

View attachment 2342103

Upandikizaji wa mimea hufanyika siku 45 tangu mbegu kuwekwa kitaluni. Kwa kipindi cha siku hizo mimea huwa na uwezo wa kustahimili hali ya ukame kidogo hata kama mvua isiponyesha wiki moja bado unauwezo wa kuendelea na uhai wake. (PICHA👇)​
View attachment 2342106

UTUNZAJI NA UKUAJI WA MICHE/MIMEA YA PILIPILI SHAMBANI
1. Mbolea:

Niliweka mbolea ya Samadi ya kutosha kuanzia kitaluni hadi shambani. Mbolea ya Samadi sikununua kwa kuwa wafugaji ni wengimaeneo haya, niliwaomba nao wakanipatia bure, gharama ilikuwa ni kwenye kusomba mbolea hiyo. Nilitumia mkokoteni wa kukokotwa na ng’ombe, mbapo ilinigharimu 140,000/- kusomba mbolea ya kutosha shamba zima la ekari 2.​

Picha kutoka : http://photos1.blogger.com/blogger/5177/2506/1600/DSCF0587.jpg
View attachment 2342137


Pia nilitafuta lita mbili za mbolea ya Organic inayotoka kampuni ya MOKUSAKU inayoitwa MOKUSAKU Cal-Phos na NPK PLUS kwa kuongeza virutubisho kwenye mimea na kuhifadhi maua yasidondoke. Kila lita ni 30,000/- hivyo kwa lita 4 ilinigharimu 120,000/-​
Picha kwa hisani ya : https://mokusaku.com/
View attachment 2342126

Picha za miche ya pilipili yenye mbolea ya Samadi na MOKUSAKU Cal-Phos na NPK Plus
View attachment 2342151

2. Palizi
Palizi ya kwanza ni baada ya wiki ya 3 mimea ikiwa shambani. Niliendelea kupalilia magugu yanapoota. Palizi lilinigharimu kiasi cha 200,000 mpaka mimea ilipokuwa na matawi na majani mengi na kuzuia magugu kuota kwa wingi.
(PICHA👇)
View attachment 2342164



CHANGAMOTO ZA UKUAJI WA MICHE YA PILIPILI
1. Magonjwa

Pilipili hukabiliwa na ugonjwa wa ukungu, usipodhibiti mapema majani hujikunja (kama inavyoonekana katika picha za mimes aliyaanza kuugua) na mmea kupukutisha majani yote. Nilitumia dawa ya Innovex 360 SC kudhibiti ugonjwa huu, gharama 80,000/-
(PICHA 👇)
View attachment 2342184

2. Mchwa na Panzi
Mchwa wanakata mashina chini kwenye udongo na panzi wanakula majani sana. Nilitumia dawa ya NINJA kuzuia panzi , na TERMITE KILLER kwa ajili ya mchwa , gharama 50,000/-.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI

Kuanza kuweka mimea shambani mpaka kuanza kuvuna ni miezi 3, ongeza siku 45 za miche kitaluni. Uvunaji hufanyika kwa kuchuma pilipili iliyoiva na nyekundu kama nyanya. Uvunaji huwa ni kazi kwelikweli, ndoo ndogo ya lita kumi (ambayo ni 3.5-4 kg za pilipili) huvunwa kwa 3000/- hadi 3500/- (hapa ndipo gharama kubwa huitajika na ndio ilitumia kiasi kilichobakia). Na pilipili iliyoiva hutoka kwenye kikonyo chake kwa haraka. Pilipili iliyovunwa huwekwa juani kwa muda wa siku 3 baada ya hapo inakuwa imekauka, itunze ndani sehemu kavu yenye hewa na mwanga . Jambo la kupendeza katika katika MGODI HUU WA DHAHABU NYEKUNDU ni kwamba pilipili iliyo tayari inaingia sokoni na hivyo kukusaidia kupata pesa ya kuendesha uvunaji, hiki ndio kitu cha pekee katika zao hili. Nimeanza kuvuna mwezi wa tano (Mei) mpaka sasa naendelea kuvuna, uvunaji natarajia kuisha mwezi wa tisa (Septemba).
(PICHA👇 Uvunaji)
View attachment 2342205

(Picha👇 ukaushaji)
View attachment 2342210

KUCHAMBUA
Kabla ya kuuza pilipili uichambue iwe safi, usiweke iliyoharibika . Zitenge hizo zilizoharibika usizitupe nazo zinauzika pia.


View attachment 2342213

UUZAJI
Masoko ya Pilipili kichaa yapo na unatakiwa kuwa makini na madalali wa pilipili, wengi wao ni matapeli. Mimi nawauzia kampuni ya TAZAMA ambayo inachukua mzigo na kupeleka Kenya, hii kampuni ni ya uhakika na wanatoa pesa yote kwa mkulima.​
(PICHA👇 nikiwa napima mzigo wa pilipili kichaa mwezi wa Agust 28, 2022)
View attachment 2342224
Na uuzaji hufanyika kila baada ya wiki mbili. Hata sasa ninavyomalizia kuandika Habari(Story) TAZAMA wamenitumia pesa ya awali kwa mzigo ulisafiri wiki hii.​
(PICHA👇 Angalia tarehe na muda wa tukio: 01.09.2022 muda saa 18:02)
View attachment 2342239

FAIDA
Faida ya zao hili, kuna mimea 9400 shambani. Nilijiwekea mmea mmoja utoe robo kilo, naelekea kuvuka malengo ya robo kilo kwa mmea, kuna mimea inatoa mpaka robo tatu ya kilo 3/4 . Na kila kilo bei yake ni TZS. 5000/- Lakini pia zile zilizoharibika bei yake ni TZS 1000/ kwa kilo moja. Na zao hili nitaendelea kuvuna kwa miaka mingine mitatu. MUNGU NI MWEMA, SANA KARIBU MGODINI​
KARIBUNI WANA-JAMII FORUMS.....Msimu wa kilimo unakaribia karibuni tujadili, tuanze kuandaa mashamba, tuingie shambani tuchimbe DHAHABU NYEKUNDU
 
Kaka mimi nakuhakikishia kilimo hiki kinalipa nafikiri umeona nimeeleza na kuonesha picha tangu Mwanzo wa kazi hadi mavuno...na pia mwisho nimeeleza wanaoharibu soko ni madalali wa Dar es Salaam ...wao huwahakikishia watu kuna soko la uhakika lakini kumbe wanataka wapate cha juu.. Mimi nawauzia Tazama unaweza kuwapigia na kuwatembelea ofisini kwao namba zao hizi hapa 0759526397 Mwanasheria wa Kampuni, au 0758303027 Afisa Masoko wa Kampuni
Acha uongo wewe kingelipa ungekitngaza namna hii, hapo wewe ndio tazama mwenyew na una ubia na muuza mbegu
 
Kaka mimi nakuhakikishia kilimo hiki kinalipa nafikiri umeona nimeeleza na kuonesha picha tangu Mwanzo wa kazi hadi mavuno...na pia mwisho nimeeleza wanaoharibu soko ni madalali wa Dar es Salaam ...wao huwahakikishia watu kuna soko la uhakika lakini kumbe wanataka wapate cha juu.. Mimi nawauzia Tazama unaweza kuwapigia na kuwatembelea ofisini kwao namba zao hizi hapa 0759526397 Mwanasheria wa Kampuni, au 0758303027 Afisa Masoko wa Kampuni
Lies
 
Baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa (BA)2011 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), nilitafuta kazi bila mafanikio. Nikaona nisome Stashahada ya Uzamili katika Elimu nikamaliza 2014 ili nipate ajira ya ualimu, sikufanikiwa kuipata. Mwaka 2016 nikaanza kusoma Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tazania nikiwa na malengo ya kujiaandaa kuwa mwanasheria wa kujitegemea na kuhitimu 2020.

Nikiwa natafakari jinsi yakupata pesa kwenda Shule ya Sheria (Law School of Tanzania) mwaka, nikasikia watu wanaongelea habari ya kilimo cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Nikaona nitafute habari kamili ya kilimo hiki.

Nikatafuta tovuti mbalimbali na kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook nikaona kuna wakulima wengi ambao wanatoa ushuhuda wa kilimo hiki cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Lakini pia nikaona nchi kama Kenya na Uganda ni nchi ambazo pilipili kichaa hulimwa kwa wingi. Pia nikatafuta taarifa za masoko, nikaona masoko yake makuu ni nchi za bara la Asia na Ulaya. Hii ilinipa ‘moto mkuu’ usiozimika kuingia shambani na kuanza kazi ya kuandaa shamba.

Nikiwa na Kiasi cha 1,900,000/- ikiwa ndio akiba pekee. Sikujali nikaamua ‘ku-take risk’. Nikaamua kwenda inapolimwa pilipili Mkoa wa Kigoma , Uvinza na kuweka kambi ya kazi. Niliandaa shamba la ekari 2, gharama ya kukodi shamba 50,000/ ekari kwa mwaka.​

Kambi ya Kazi ikiwa inajengwa
View attachment 2342130


MAANDALIZI YA MBEGU

Nilitafuta mbegu aina ya African Bird’s Eye Chilli (ABE), hii ni aina ya mbegu ya pilipili yenye matunda kama macho ya ndege pori wengi wanaopatika Afrika. Aina hii ya pilipili huzaa sana na hususani ikipata maji ya kutosha. Nilichukua gramu 100 kwa 100,000/-, kwani hutosha la ekari 2 , kila ekari huchukua mimea 4500 hadi 5000.
Mbegu za Pipipili aina ya ABE zikiwa zimewekwa tayari udongoni
View attachment 2342266

MAANDALIZI YA VITALU
Nilitafuta maeneo yaliyo karibu na mto nikaandaa maeoneo ya vitalu 3 kwa ajili ya kusia mbegu. Niliweka mbolea ya samadi ya kutosha kiasi cha debe 3 kwa kila kitalu kulingana na ukubwa wa kitalu, nikaweka majani makavu kuhifadhi unyevu kwenye udongo (kama vinavyoonekana kwenye picha). Huchukua muda wa wiki 3 mbegu zote kuwa zimeota vizuri, katika picha kuna miche mikubwa ambayo niliitolea kivuli na midogo ambayo bado ilihitaji kivuli kwakuwa ilichelewa kuota, ingawa ilipandwa pamoja. (PICHA👇)

Kitalu 1: Majani kuhifadhi unyevu
View attachment 2342095

Kitalu 2 Mimea iliyoota mapema na iliyochelewa kuota

View attachment 2342096


UPANDIKIZAJI WA MICHE
Shamba lililimwa kwa jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau) ili kulainisha shamba. Baadaye nilitafuta vijana 3 niliingia nao makubaliano kunitengezea matuta shambani, shughuli za kutengeneza matuta kama vile kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kupandikiza miche kwa TZS 600,000/-. Kita tuta lilikuwa na mita 3.5, na kuchimba mashimo kwenye kila tuta, umbali wa sentimita 90 shimo hadi shimo, mita 1 msitari hadi msitari, na kila shimo liliwekewa mbolea ya samadi kilo 1 na hapa nilitumia vikombe viwili vya nusu lita . ( PICHA👇).

View attachment 2342103

Upandikizaji wa mimea hufanyika siku 45 tangu mbegu kuwekwa kitaluni. Kwa kipindi cha siku hizo mimea huwa na uwezo wa kustahimili hali ya ukame kidogo hata kama mvua isiponyesha wiki moja bado unauwezo wa kuendelea na uhai wake. (PICHA👇)​
View attachment 2342106

UTUNZAJI NA UKUAJI WA MICHE/MIMEA YA PILIPILI SHAMBANI
1. Mbolea:

Niliweka mbolea ya Samadi ya kutosha kuanzia kitaluni hadi shambani. Mbolea ya Samadi sikununua kwa kuwa wafugaji ni wengimaeneo haya, niliwaomba nao wakanipatia bure, gharama ilikuwa ni kwenye kusomba mbolea hiyo. Nilitumia mkokoteni wa kukokotwa na ng’ombe, mbapo ilinigharimu 140,000/- kusomba mbolea ya kutosha shamba zima la ekari 2.​

Picha kutoka : http://photos1.blogger.com/blogger/5177/2506/1600/DSCF0587.jpg
View attachment 2342137


Pia nilitafuta lita mbili za mbolea ya Organic inayotoka kampuni ya MOKUSAKU inayoitwa MOKUSAKU Cal-Phos na NPK PLUS kwa kuongeza virutubisho kwenye mimea na kuhifadhi maua yasidondoke. Kila lita ni 30,000/- hivyo kwa lita 4 ilinigharimu 120,000/-​
Picha kwa hisani ya : https://mokusaku.com/
View attachment 2342126

Picha za miche ya pilipili yenye mbolea ya Samadi na MOKUSAKU Cal-Phos na NPK Plus
View attachment 2342151

2. Palizi
Palizi ya kwanza ni baada ya wiki ya 3 mimea ikiwa shambani. Niliendelea kupalilia magugu yanapoota. Palizi lilinigharimu kiasi cha 200,000 mpaka mimea ilipokuwa na matawi na majani mengi na kuzuia magugu kuota kwa wingi.
(PICHA👇)
View attachment 2342164



CHANGAMOTO ZA UKUAJI WA MICHE YA PILIPILI
1. Magonjwa

Pilipili hukabiliwa na ugonjwa wa ukungu, usipodhibiti mapema majani hujikunja (kama inavyoonekana katika picha za mimes aliyaanza kuugua) na mmea kupukutisha majani yote. Nilitumia dawa ya Innovex 360 SC kudhibiti ugonjwa huu, gharama 80,000/-
(PICHA 👇)
View attachment 2342184

2. Mchwa na Panzi
Mchwa wanakata mashina chini kwenye udongo na panzi wanakula majani sana. Nilitumia dawa ya NINJA kuzuia panzi , na TERMITE KILLER kwa ajili ya mchwa , gharama 50,000/-.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI

Kuanza kuweka mimea shambani mpaka kuanza kuvuna ni miezi 3, ongeza siku 45 za miche kitaluni. Uvunaji hufanyika kwa kuchuma pilipili iliyoiva na nyekundu kama nyanya. Uvunaji huwa ni kazi kwelikweli, ndoo ndogo ya lita kumi (ambayo ni 3.5-4 kg za pilipili) huvunwa kwa 3000/- hadi 3500/- (hapa ndipo gharama kubwa huitajika na ndio ilitumia kiasi kilichobakia). Na pilipili iliyoiva hutoka kwenye kikonyo chake kwa haraka. Pilipili iliyovunwa huwekwa juani kwa muda wa siku 3 baada ya hapo inakuwa imekauka, itunze ndani sehemu kavu yenye hewa na mwanga . Jambo la kupendeza katika katika MGODI HUU WA DHAHABU NYEKUNDU ni kwamba pilipili iliyo tayari inaingia sokoni na hivyo kukusaidia kupata pesa ya kuendesha uvunaji, hiki ndio kitu cha pekee katika zao hili. Nimeanza kuvuna mwezi wa tano (Mei) mpaka sasa naendelea kuvuna, uvunaji natarajia kuisha mwezi wa tisa (Septemba).
(PICHA👇 Uvunaji)
View attachment 2342205

(Picha👇 ukaushaji)
View attachment 2342210

KUCHAMBUA
Kabla ya kuuza pilipili uichambue iwe safi, usiweke iliyoharibika . Zitenge hizo zilizoharibika usizitupe nazo zinauzika pia.


View attachment 2342213

UUZAJI
Masoko ya Pilipili kichaa yapo na unatakiwa kuwa makini na madalali wa pilipili, wengi wao ni matapeli. Mimi nawauzia kampuni ya TAZAMA ambayo inachukua mzigo na kupeleka Kenya, hii kampuni ni ya uhakika na wanatoa pesa yote kwa mkulima.​
(PICHA👇 nikiwa napima mzigo wa pilipili kichaa mwezi wa Agust 28, 2022)
View attachment 2342224
Na uuzaji hufanyika kila baada ya wiki mbili. Hata sasa ninavyomalizia kuandika Habari(Story) TAZAMA wamenitumia pesa ya awali kwa mzigo ulisafiri wiki hii.​
(PICHA👇 Angalia tarehe na muda wa tukio: 01.09.2022 muda saa 18:02)
View attachment 2342239

FAIDA
Faida ya zao hili, kuna mimea 9400 shambani. Nilijiwekea mmea mmoja utoe robo kilo, naelekea kuvuka malengo ya robo kilo kwa mmea, kuna mimea inatoa mpaka robo tatu ya kilo 3/4 . Na kila kilo bei yake ni TZS. 5000/- Lakini pia zile zilizoharibika bei yake ni TZS 1000/ kwa kilo moja. Na zao hili nitaendelea kuvuna kwa miaka mingine mitatu. MUNGU NI MWEMA, SANA KARIBU MGODINI​
Hongera sana
 
Baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa (BA)2011 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), nilitafuta kazi bila mafanikio. Nikaona nisome Stashahada ya Uzamili katika Elimu nikamaliza 2014 ili nipate ajira ya ualimu, sikufanikiwa kuipata. Mwaka 2016 nikaanza kusoma Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tazania nikiwa na malengo ya kujiaandaa kuwa mwanasheria wa kujitegemea na kuhitimu 2020.

Nikiwa natafakari jinsi yakupata pesa kwenda Shule ya Sheria (Law School of Tanzania) mwaka, nikasikia watu wanaongelea habari ya kilimo cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Nikaona nitafute habari kamili ya kilimo hiki.

Nikatafuta tovuti mbalimbali na kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook nikaona kuna wakulima wengi ambao wanatoa ushuhuda wa kilimo hiki cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Lakini pia nikaona nchi kama Kenya na Uganda ni nchi ambazo pilipili kichaa hulimwa kwa wingi. Pia nikatafuta taarifa za masoko, nikaona masoko yake makuu ni nchi za bara la Asia na Ulaya. Hii ilinipa ‘moto mkuu’ usiozimika kuingia shambani na kuanza kazi ya kuandaa shamba.

Nikiwa na Kiasi cha 1,900,000/- ikiwa ndio akiba pekee. Sikujali nikaamua ‘ku-take risk’. Nikaamua kwenda inapolimwa pilipili Mkoa wa Kigoma , Uvinza na kuweka kambi ya kazi. Niliandaa shamba la ekari 2, gharama ya kukodi shamba 50,000/ ekari kwa mwaka.​

Kambi ya Kazi ikiwa inajengwa
View attachment 2342130


MAANDALIZI YA MBEGU

Nilitafuta mbegu aina ya African Bird’s Eye Chilli (ABE), hii ni aina ya mbegu ya pilipili yenye matunda kama macho ya ndege pori wengi wanaopatika Afrika. Aina hii ya pilipili huzaa sana na hususani ikipata maji ya kutosha. Nilichukua gramu 100 kwa 100,000/-, kwani hutosha la ekari 2 , kila ekari huchukua mimea 4500 hadi 5000.
Mbegu za Pipipili aina ya ABE zikiwa zimewekwa tayari udongoni
View attachment 2342266

MAANDALIZI YA VITALU
Nilitafuta maeneo yaliyo karibu na mto nikaandaa maeoneo ya vitalu 3 kwa ajili ya kusia mbegu. Niliweka mbolea ya samadi ya kutosha kiasi cha debe 3 kwa kila kitalu kulingana na ukubwa wa kitalu, nikaweka majani makavu kuhifadhi unyevu kwenye udongo (kama vinavyoonekana kwenye picha). Huchukua muda wa wiki 3 mbegu zote kuwa zimeota vizuri, katika picha kuna miche mikubwa ambayo niliitolea kivuli na midogo ambayo bado ilihitaji kivuli kwakuwa ilichelewa kuota, ingawa ilipandwa pamoja. (PICHA👇)

Kitalu 1: Majani kuhifadhi unyevu
View attachment 2342095

Kitalu 2 Mimea iliyoota mapema na iliyochelewa kuota

View attachment 2342096


UPANDIKIZAJI WA MICHE
Shamba lililimwa kwa jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau) ili kulainisha shamba. Baadaye nilitafuta vijana 3 niliingia nao makubaliano kunitengezea matuta shambani, shughuli za kutengeneza matuta kama vile kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kupandikiza miche kwa TZS 600,000/-. Kita tuta lilikuwa na mita 3.5, na kuchimba mashimo kwenye kila tuta, umbali wa sentimita 90 shimo hadi shimo, mita 1 msitari hadi msitari, na kila shimo liliwekewa mbolea ya samadi kilo 1 na hapa nilitumia vikombe viwili vya nusu lita . ( PICHA👇).

View attachment 2342103

Upandikizaji wa mimea hufanyika siku 45 tangu mbegu kuwekwa kitaluni. Kwa kipindi cha siku hizo mimea huwa na uwezo wa kustahimili hali ya ukame kidogo hata kama mvua isiponyesha wiki moja bado unauwezo wa kuendelea na uhai wake. (PICHA👇)​
View attachment 2342106

UTUNZAJI NA UKUAJI WA MICHE/MIMEA YA PILIPILI SHAMBANI
1. Mbolea:

Niliweka mbolea ya Samadi ya kutosha kuanzia kitaluni hadi shambani. Mbolea ya Samadi sikununua kwa kuwa wafugaji ni wengimaeneo haya, niliwaomba nao wakanipatia bure, gharama ilikuwa ni kwenye kusomba mbolea hiyo. Nilitumia mkokoteni wa kukokotwa na ng’ombe, mbapo ilinigharimu 140,000/- kusomba mbolea ya kutosha shamba zima la ekari 2.​

Picha kutoka : http://photos1.blogger.com/blogger/5177/2506/1600/DSCF0587.jpg
View attachment 2342137


Pia nilitafuta lita mbili za mbolea ya Organic inayotoka kampuni ya MOKUSAKU inayoitwa MOKUSAKU Cal-Phos na NPK PLUS kwa kuongeza virutubisho kwenye mimea na kuhifadhi maua yasidondoke. Kila lita ni 30,000/- hivyo kwa lita 4 ilinigharimu 120,000/-​
Picha kwa hisani ya : https://mokusaku.com/
View attachment 2342126

Picha za miche ya pilipili yenye mbolea ya Samadi na MOKUSAKU Cal-Phos na NPK Plus
View attachment 2342151

2. Palizi
Palizi ya kwanza ni baada ya wiki ya 3 mimea ikiwa shambani. Niliendelea kupalilia magugu yanapoota. Palizi lilinigharimu kiasi cha 200,000 mpaka mimea ilipokuwa na matawi na majani mengi na kuzuia magugu kuota kwa wingi.
(PICHA👇)
View attachment 2342164



CHANGAMOTO ZA UKUAJI WA MICHE YA PILIPILI
1. Magonjwa

Pilipili hukabiliwa na ugonjwa wa ukungu, usipodhibiti mapema majani hujikunja (kama inavyoonekana katika picha za mimes aliyaanza kuugua) na mmea kupukutisha majani yote. Nilitumia dawa ya Innovex 360 SC kudhibiti ugonjwa huu, gharama 80,000/-
(PICHA 👇)
View attachment 2342184

2. Mchwa na Panzi
Mchwa wanakata mashina chini kwenye udongo na panzi wanakula majani sana. Nilitumia dawa ya NINJA kuzuia panzi , na TERMITE KILLER kwa ajili ya mchwa , gharama 50,000/-.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI

Kuanza kuweka mimea shambani mpaka kuanza kuvuna ni miezi 3, ongeza siku 45 za miche kitaluni. Uvunaji hufanyika kwa kuchuma pilipili iliyoiva na nyekundu kama nyanya. Uvunaji huwa ni kazi kwelikweli, ndoo ndogo ya lita kumi (ambayo ni 3.5-4 kg za pilipili) huvunwa kwa 3000/- hadi 3500/- (hapa ndipo gharama kubwa huitajika na ndio ilitumia kiasi kilichobakia). Na pilipili iliyoiva hutoka kwenye kikonyo chake kwa haraka. Pilipili iliyovunwa huwekwa juani kwa muda wa siku 3 baada ya hapo inakuwa imekauka, itunze ndani sehemu kavu yenye hewa na mwanga . Jambo la kupendeza katika katika MGODI HUU WA DHAHABU NYEKUNDU ni kwamba pilipili iliyo tayari inaingia sokoni na hivyo kukusaidia kupata pesa ya kuendesha uvunaji, hiki ndio kitu cha pekee katika zao hili. Nimeanza kuvuna mwezi wa tano (Mei) mpaka sasa naendelea kuvuna, uvunaji natarajia kuisha mwezi wa tisa (Septemba).
(PICHA👇 Uvunaji)
View attachment 2342205

(Picha👇 ukaushaji)
View attachment 2342210

KUCHAMBUA
Kabla ya kuuza pilipili uichambue iwe safi, usiweke iliyoharibika . Zitenge hizo zilizoharibika usizitupe nazo zinauzika pia.


View attachment 2342213

UUZAJI
Masoko ya Pilipili kichaa yapo na unatakiwa kuwa makini na madalali wa pilipili, wengi wao ni matapeli. Mimi nawauzia kampuni ya TAZAMA ambayo inachukua mzigo na kupeleka Kenya, hii kampuni ni ya uhakika na wanatoa pesa yote kwa mkulima.​
(PICHA👇 nikiwa napima mzigo wa pilipili kichaa mwezi wa Agust 28, 2022)
View attachment 2342224
Na uuzaji hufanyika kila baada ya wiki mbili. Hata sasa ninavyomalizia kuandika Habari(Story) TAZAMA wamenitumia pesa ya awali kwa mzigo ulisafiri wiki hii.​
(PICHA👇 Angalia tarehe na muda wa tukio: 01.09.2022 muda saa 18:02)
View attachment 2342239

FAIDA
Faida ya zao hili, kuna mimea 9400 shambani. Nilijiwekea mmea mmoja utoe robo kilo, naelekea kuvuka malengo ya robo kilo kwa mmea, kuna mimea inatoa mpaka robo tatu ya kilo 3/4 . Na kila kilo bei yake ni TZS. 5000/- Lakini pia zile zilizoharibika bei yake ni TZS 1000/ kwa kilo moja. Na zao hili nitaendelea kuvuna kwa miaka mingine mitatu. MUNGU NI MWEMA, SANA KARIBU MGODINI​
umeuigiga mwingi
 
Asante Mkuu...mimi sikuamini mpaka nimeingiza mzigo sokoni nikajua kuna kitu ndani yake...na unaendelea kuvuna miaka 3 tena wewe unabaki kupalilia tu
Kwa mchumo wa mwaka mmoja ndio ulikadiria hio ¼kg au ni mpaka kipindi chose cha uhai wa mche kuwa kila mche uhai wake basi makadirio ya chini ya mchumo ni ¼kg? Asante sana na Hongera sana mkuu
 
Mkuu umeshusha thread nzito sana aisee all the best Mkuu
Baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa (BA)2011 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), nilitafuta kazi bila mafanikio. Nikaona nisome Stashahada ya Uzamili katika Elimu nikamaliza 2014 ili nipate ajira ya ualimu, sikufanikiwa kuipata. Mwaka 2016 nikaanza kusoma Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tazania nikiwa na malengo ya kujiaandaa kuwa mwanasheria wa kujitegemea na kuhitimu 2020.

Nikiwa natafakari jinsi yakupata pesa kwenda Shule ya Sheria (Law School of Tanzania) mwaka, nikasikia watu wanaongelea habari ya kilimo cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Nikaona nitafute habari kamili ya kilimo hiki.

Nikatafuta tovuti mbalimbali na kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook nikaona kuna wakulima wengi ambao wanatoa ushuhuda wa kilimo hiki cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Lakini pia nikaona nchi kama Kenya na Uganda ni nchi ambazo pilipili kichaa hulimwa kwa wingi. Pia nikatafuta taarifa za masoko, nikaona masoko yake makuu ni nchi za bara la Asia na Ulaya. Hii ilinipa ‘moto mkuu’ usiozimika kuingia shambani na kuanza kazi ya kuandaa shamba.

Nikiwa na Kiasi cha 1,900,000/- ikiwa ndio akiba pekee. Sikujali nikaamua ‘ku-take risk’. Nikaamua kwenda inapolimwa pilipili Mkoa wa Kigoma , Uvinza na kuweka kambi ya kazi. Niliandaa shamba la ekari 2, gharama ya kukodi shamba 50,000/ ekari kwa mwaka.​

Kambi ya Kazi ikiwa inajengwa
View attachment 2342130


MAANDALIZI YA MBEGU

Nilitafuta mbegu aina ya African Bird’s Eye Chilli (ABE), hii ni aina ya mbegu ya pilipili yenye matunda kama macho ya ndege pori wengi wanaopatika Afrika. Aina hii ya pilipili huzaa sana na hususani ikipata maji ya kutosha. Nilichukua gramu 100 kwa 100,000/-, kwani hutosha la ekari 2 , kila ekari huchukua mimea 4500 hadi 5000.
Mbegu za Pipipili aina ya ABE zikiwa zimewekwa tayari udongoni
View attachment 2342266

MAANDALIZI YA VITALU
Nilitafuta maeneo yaliyo karibu na mto nikaandaa maeoneo ya vitalu 3 kwa ajili ya kusia mbegu. Niliweka mbolea ya samadi ya kutosha kiasi cha debe 3 kwa kila kitalu kulingana na ukubwa wa kitalu, nikaweka majani makavu kuhifadhi unyevu kwenye udongo (kama vinavyoonekana kwenye picha). Huchukua muda wa wiki 3 mbegu zote kuwa zimeota vizuri, katika picha kuna miche mikubwa ambayo niliitolea kivuli na midogo ambayo bado ilihitaji kivuli kwakuwa ilichelewa kuota, ingawa ilipandwa pamoja. (PICHA👇)

Kitalu 1: Majani kuhifadhi unyevu
View attachment 2342095

Kitalu 2 Mimea iliyoota mapema na iliyochelewa kuota

View attachment 2342096


UPANDIKIZAJI WA MICHE
Shamba lililimwa kwa jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau) ili kulainisha shamba. Baadaye nilitafuta vijana 3 niliingia nao makubaliano kunitengezea matuta shambani, shughuli za kutengeneza matuta kama vile kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kupandikiza miche kwa TZS 600,000/-. Kita tuta lilikuwa na mita 3.5, na kuchimba mashimo kwenye kila tuta, umbali wa sentimita 90 shimo hadi shimo, mita 1 msitari hadi msitari, na kila shimo liliwekewa mbolea ya samadi kilo 1 na hapa nilitumia vikombe viwili vya nusu lita . ( PICHA👇).

View attachment 2342103

Upandikizaji wa mimea hufanyika siku 45 tangu mbegu kuwekwa kitaluni. Kwa kipindi cha siku hizo mimea huwa na uwezo wa kustahimili hali ya ukame kidogo hata kama mvua isiponyesha wiki moja bado unauwezo wa kuendelea na uhai wake. (PICHA👇)​
View attachment 2342106

UTUNZAJI NA UKUAJI WA MICHE/MIMEA YA PILIPILI SHAMBANI
1. Mbolea:

Niliweka mbolea ya Samadi ya kutosha kuanzia kitaluni hadi shambani. Mbolea ya Samadi sikununua kwa kuwa wafugaji ni wengimaeneo haya, niliwaomba nao wakanipatia bure, gharama ilikuwa ni kwenye kusomba mbolea hiyo. Nilitumia mkokoteni wa kukokotwa na ng’ombe, mbapo ilinigharimu 140,000/- kusomba mbolea ya kutosha shamba zima la ekari 2.​

Picha kutoka : http://photos1.blogger.com/blogger/5177/2506/1600/DSCF0587.jpg
View attachment 2342137


Pia nilitafuta lita mbili za mbolea ya Organic inayotoka kampuni ya MOKUSAKU inayoitwa MOKUSAKU Cal-Phos na NPK PLUS kwa kuongeza virutubisho kwenye mimea na kuhifadhi maua yasidondoke. Kila lita ni 30,000/- hivyo kwa lita 4 ilinigharimu 120,000/-​
Picha kwa hisani ya : https://mokusaku.com/
View attachment 2342126

Picha za miche ya pilipili yenye mbolea ya Samadi na MOKUSAKU Cal-Phos na NPK Plus
View attachment 2342151

2. Palizi
Palizi ya kwanza ni baada ya wiki ya 3 mimea ikiwa shambani. Niliendelea kupalilia magugu yanapoota. Palizi lilinigharimu kiasi cha 200,000 mpaka mimea ilipokuwa na matawi na majani mengi na kuzuia magugu kuota kwa wingi.
(PICHA👇)
View attachment 2342164



CHANGAMOTO ZA UKUAJI WA MICHE YA PILIPILI
1. Magonjwa

Pilipili hukabiliwa na ugonjwa wa ukungu, usipodhibiti mapema majani hujikunja (kama inavyoonekana katika picha za mimes aliyaanza kuugua) na mmea kupukutisha majani yote. Nilitumia dawa ya Innovex 360 SC kudhibiti ugonjwa huu, gharama 80,000/-
(PICHA 👇)
View attachment 2342184

2. Mchwa na Panzi
Mchwa wanakata mashina chini kwenye udongo na panzi wanakula majani sana. Nilitumia dawa ya NINJA kuzuia panzi , na TERMITE KILLER kwa ajili ya mchwa , gharama 50,000/-.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI

Kuanza kuweka mimea shambani mpaka kuanza kuvuna ni miezi 3, ongeza siku 45 za miche kitaluni. Uvunaji hufanyika kwa kuchuma pilipili iliyoiva na nyekundu kama nyanya. Uvunaji huwa ni kazi kwelikweli, ndoo ndogo ya lita kumi (ambayo ni 3.5-4 kg za pilipili) huvunwa kwa 3000/- hadi 3500/- (hapa ndipo gharama kubwa huitajika na ndio ilitumia kiasi kilichobakia). Na pilipili iliyoiva hutoka kwenye kikonyo chake kwa haraka. Pilipili iliyovunwa huwekwa juani kwa muda wa siku 3 baada ya hapo inakuwa imekauka, itunze ndani sehemu kavu yenye hewa na mwanga . Jambo la kupendeza katika katika MGODI HUU WA DHAHABU NYEKUNDU ni kwamba pilipili iliyo tayari inaingia sokoni na hivyo kukusaidia kupata pesa ya kuendesha uvunaji, hiki ndio kitu cha pekee katika zao hili. Nimeanza kuvuna mwezi wa tano (Mei) mpaka sasa naendelea kuvuna, uvunaji natarajia kuisha mwezi wa tisa (Septemba).
(PICHA👇 Uvunaji)
View attachment 2342205

(Picha👇 ukaushaji)
View attachment 2342210

KUCHAMBUA
Kabla ya kuuza pilipili uichambue iwe safi, usiweke iliyoharibika . Zitenge hizo zilizoharibika usizitupe nazo zinauzika pia.


View attachment 2342213

UUZAJI
Masoko ya Pilipili kichaa yapo na unatakiwa kuwa makini na madalali wa pilipili, wengi wao ni matapeli. Mimi nawauzia kampuni ya TAZAMA ambayo inachukua mzigo na kupeleka Kenya, hii kampuni ni ya uhakika na wanatoa pesa yote kwa mkulima.​
(PICHA👇 nikiwa napima mzigo wa pilipili kichaa mwezi wa Agust 28, 2022)
View attachment 2342224
Na uuzaji hufanyika kila baada ya wiki mbili. Hata sasa ninavyomalizia kuandika Habari(Story) TAZAMA wamenitumia pesa ya awali kwa mzigo ulisafiri wiki hii.​
(PICHA👇 Angalia tarehe na muda wa tukio: 01.09.2022 muda saa 18:02)
View attachment 2342239

FAIDA
Faida ya zao hili, kuna mimea 9400 shambani. Nilijiwekea mmea mmoja utoe robo kilo, naelekea kuvuka malengo ya robo kilo kwa mmea, kuna mimea inatoa mpaka robo tatu ya kilo 3/4 . Na kila kilo bei yake ni TZS. 5000/- Lakini pia zile zilizoharibika bei yake ni TZS 1000/ kwa kilo moja. Na zao hili nitaendelea kuvuna kwa miaka mingine mitatu. MUNGU NI MWEMA, SANA KARIBU MGODINI​
 
Baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa (BA)2011 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), nilitafuta kazi bila mafanikio. Nikaona nisome Stashahada ya Uzamili katika Elimu nikamaliza 2014 ili nipate ajira ya ualimu, sikufanikiwa kuipata. Mwaka 2016 nikaanza kusoma Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tazania nikiwa na malengo ya kujiaandaa kuwa mwanasheria wa kujitegemea na kuhitimu 2020.

Nikiwa natafakari jinsi yakupata pesa kwenda Shule ya Sheria (Law School of Tanzania) mwaka, nikasikia watu wanaongelea habari ya kilimo cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Nikaona nitafute habari kamili ya kilimo hiki.

Nikatafuta tovuti mbalimbali na kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook nikaona kuna wakulima wengi ambao wanatoa ushuhuda wa kilimo hiki cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Lakini pia nikaona nchi kama Kenya na Uganda ni nchi ambazo pilipili kichaa hulimwa kwa wingi. Pia nikatafuta taarifa za masoko, nikaona masoko yake makuu ni nchi za bara la Asia na Ulaya. Hii ilinipa ‘moto mkuu’ usiozimika kuingia shambani na kuanza kazi ya kuandaa shamba.

Nikiwa na Kiasi cha 1,900,000/- ikiwa ndio akiba pekee. Sikujali nikaamua ‘ku-take risk’. Nikaamua kwenda inapolimwa pilipili Mkoa wa Kigoma , Uvinza na kuweka kambi ya kazi. Niliandaa shamba la ekari 2, gharama ya kukodi shamba 50,000/ ekari kwa mwaka.​

Kambi ya Kazi ikiwa inajengwa
View attachment 2342130


MAANDALIZI YA MBEGU

Nilitafuta mbegu aina ya African Bird’s Eye Chilli (ABE), hii ni aina ya mbegu ya pilipili yenye matunda kama macho ya ndege pori wengi wanaopatika Afrika. Aina hii ya pilipili huzaa sana na hususani ikipata maji ya kutosha. Nilichukua gramu 100 kwa 100,000/-, kwani hutosha la ekari 2 , kila ekari huchukua mimea 4500 hadi 5000.
Mbegu za Pipipili aina ya ABE zikiwa zimewekwa tayari udongoni
View attachment 2342266

MAANDALIZI YA VITALU
Nilitafuta maeneo yaliyo karibu na mto nikaandaa maeoneo ya vitalu 3 kwa ajili ya kusia mbegu. Niliweka mbolea ya samadi ya kutosha kiasi cha debe 3 kwa kila kitalu kulingana na ukubwa wa kitalu, nikaweka majani makavu kuhifadhi unyevu kwenye udongo (kama vinavyoonekana kwenye picha). Huchukua muda wa wiki 3 mbegu zote kuwa zimeota vizuri, katika picha kuna miche mikubwa ambayo niliitolea kivuli na midogo ambayo bado ilihitaji kivuli kwakuwa ilichelewa kuota, ingawa ilipandwa pamoja. (PICHA👇)

Kitalu 1: Majani kuhifadhi unyevu
View attachment 2342095

Kitalu 2 Mimea iliyoota mapema na iliyochelewa kuota

View attachment 2342096


UPANDIKIZAJI WA MICHE
Shamba lililimwa kwa jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau) ili kulainisha shamba. Baadaye nilitafuta vijana 3 niliingia nao makubaliano kunitengezea matuta shambani, shughuli za kutengeneza matuta kama vile kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kupandikiza miche kwa TZS 600,000/-. Kita tuta lilikuwa na mita 3.5, na kuchimba mashimo kwenye kila tuta, umbali wa sentimita 90 shimo hadi shimo, mita 1 msitari hadi msitari, na kila shimo liliwekewa mbolea ya samadi kilo 1 na hapa nilitumia vikombe viwili vya nusu lita . ( PICHA👇).

View attachment 2342103

Upandikizaji wa mimea hufanyika siku 45 tangu mbegu kuwekwa kitaluni. Kwa kipindi cha siku hizo mimea huwa na uwezo wa kustahimili hali ya ukame kidogo hata kama mvua isiponyesha wiki moja bado unauwezo wa kuendelea na uhai wake. (PICHA👇)​
View attachment 2342106

UTUNZAJI NA UKUAJI WA MICHE/MIMEA YA PILIPILI SHAMBANI
1. Mbolea:

Niliweka mbolea ya Samadi ya kutosha kuanzia kitaluni hadi shambani. Mbolea ya Samadi sikununua kwa kuwa wafugaji ni wengimaeneo haya, niliwaomba nao wakanipatia bure, gharama ilikuwa ni kwenye kusomba mbolea hiyo. Nilitumia mkokoteni wa kukokotwa na ng’ombe, mbapo ilinigharimu 140,000/- kusomba mbolea ya kutosha shamba zima la ekari 2.​

Picha kutoka : http://photos1.blogger.com/blogger/5177/2506/1600/DSCF0587.jpg
View attachment 2342137


Pia nilitafuta lita mbili za mbolea ya Organic inayotoka kampuni ya MOKUSAKU inayoitwa MOKUSAKU Cal-Phos na NPK PLUS kwa kuongeza virutubisho kwenye mimea na kuhifadhi maua yasidondoke. Kila lita ni 30,000/- hivyo kwa lita 4 ilinigharimu 120,000/-​
Picha kwa hisani ya : https://mokusaku.com/
View attachment 2342126

Picha za miche ya pilipili yenye mbolea ya Samadi na MOKUSAKU Cal-Phos na NPK Plus
View attachment 2342151

2. Palizi
Palizi ya kwanza ni baada ya wiki ya 3 mimea ikiwa shambani. Niliendelea kupalilia magugu yanapoota. Palizi lilinigharimu kiasi cha 200,000 mpaka mimea ilipokuwa na matawi na majani mengi na kuzuia magugu kuota kwa wingi.
(PICHA👇)
View attachment 2342164



CHANGAMOTO ZA UKUAJI WA MICHE YA PILIPILI
1. Magonjwa

Pilipili hukabiliwa na ugonjwa wa ukungu, usipodhibiti mapema majani hujikunja (kama inavyoonekana katika picha za mimes aliyaanza kuugua) na mmea kupukutisha majani yote. Nilitumia dawa ya Innovex 360 SC kudhibiti ugonjwa huu, gharama 80,000/-
(PICHA 👇)
View attachment 2342184

2. Mchwa na Panzi
Mchwa wanakata mashina chini kwenye udongo na panzi wanakula majani sana. Nilitumia dawa ya NINJA kuzuia panzi , na TERMITE KILLER kwa ajili ya mchwa , gharama 50,000/-.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI

Kuanza kuweka mimea shambani mpaka kuanza kuvuna ni miezi 3, ongeza siku 45 za miche kitaluni. Uvunaji hufanyika kwa kuchuma pilipili iliyoiva na nyekundu kama nyanya. Uvunaji huwa ni kazi kwelikweli, ndoo ndogo ya lita kumi (ambayo ni 3.5-4 kg za pilipili) huvunwa kwa 3000/- hadi 3500/- (hapa ndipo gharama kubwa huitajika na ndio ilitumia kiasi kilichobakia). Na pilipili iliyoiva hutoka kwenye kikonyo chake kwa haraka. Pilipili iliyovunwa huwekwa juani kwa muda wa siku 3 baada ya hapo inakuwa imekauka, itunze ndani sehemu kavu yenye hewa na mwanga . Jambo la kupendeza katika katika MGODI HUU WA DHAHABU NYEKUNDU ni kwamba pilipili iliyo tayari inaingia sokoni na hivyo kukusaidia kupata pesa ya kuendesha uvunaji, hiki ndio kitu cha pekee katika zao hili. Nimeanza kuvuna mwezi wa tano (Mei) mpaka sasa naendelea kuvuna, uvunaji natarajia kuisha mwezi wa tisa (Septemba).
(PICHA👇 Uvunaji)
View attachment 2342205

(Picha👇 ukaushaji)
View attachment 2342210

KUCHAMBUA
Kabla ya kuuza pilipili uichambue iwe safi, usiweke iliyoharibika . Zitenge hizo zilizoharibika usizitupe nazo zinauzika pia.


View attachment 2342213

UUZAJI
Masoko ya Pilipili kichaa yapo na unatakiwa kuwa makini na madalali wa pilipili, wengi wao ni matapeli. Mimi nawauzia kampuni ya TAZAMA ambayo inachukua mzigo na kupeleka Kenya, hii kampuni ni ya uhakika na wanatoa pesa yote kwa mkulima.​
(PICHA👇 nikiwa napima mzigo wa pilipili kichaa mwezi wa Agust 28, 2022)
View attachment 2342224
Na uuzaji hufanyika kila baada ya wiki mbili. Hata sasa ninavyomalizia kuandika Habari(Story) TAZAMA wamenitumia pesa ya awali kwa mzigo ulisafiri wiki hii.​
(PICHA👇 Angalia tarehe na muda wa tukio: 01.09.2022 muda saa 18:02)
View attachment 2342239

FAIDA
Faida ya zao hili, kuna mimea 9400 shambani. Nilijiwekea mmea mmoja utoe robo kilo, naelekea kuvuka malengo ya robo kilo kwa mmea, kuna mimea inatoa mpaka robo tatu ya kilo 3/4 . Na kila kilo bei yake ni TZS. 5000/- Lakini pia zile zilizoharibika bei yake ni TZS 1000/ kwa kilo moja. Na zao hili nitaendelea kuvuna kwa miaka mingine mitatu. MUNGU NI MWEMA, SANA KARIBU MGODINI​
Ka Uzi kamesimama
 
Baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa (BA)2011 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), nilitafuta kazi bila mafanikio. Nikaona nisome Stashahada ya Uzamili katika Elimu nikamaliza 2014 ili nipate ajira ya ualimu, sikufanikiwa kuipata. Mwaka 2016 nikaanza kusoma Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tazania nikiwa na malengo ya kujiaandaa kuwa mwanasheria wa kujitegemea na kuhitimu 2020.

Nikiwa natafakari jinsi yakupata pesa kwenda Shule ya Sheria (Law School of Tanzania) mwaka, nikasikia watu wanaongelea habari ya kilimo cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Nikaona nitafute habari kamili ya kilimo hiki.

Nikatafuta tovuti mbalimbali na kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook nikaona kuna wakulima wengi ambao wanatoa ushuhuda wa kilimo hiki cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Lakini pia nikaona nchi kama Kenya na Uganda ni nchi ambazo pilipili kichaa hulimwa kwa wingi. Pia nikatafuta taarifa za masoko, nikaona masoko yake makuu ni nchi za bara la Asia na Ulaya. Hii ilinipa ‘moto mkuu’ usiozimika kuingia shambani na kuanza kazi ya kuandaa shamba.

Nikiwa na Kiasi cha 1,900,000/- ikiwa ndio akiba pekee. Sikujali nikaamua ‘ku-take risk’. Nikaamua kwenda inapolimwa pilipili Mkoa wa Kigoma , Uvinza na kuweka kambi ya kazi. Niliandaa shamba la ekari 2, gharama ya kukodi shamba 50,000/ ekari kwa mwaka.​

Kambi ya Kazi ikiwa inajengwa
View attachment 2342130


MAANDALIZI YA MBEGU

Nilitafuta mbegu aina ya African Bird’s Eye Chilli (ABE), hii ni aina ya mbegu ya pilipili yenye matunda kama macho ya ndege pori wengi wanaopatika Afrika. Aina hii ya pilipili huzaa sana na hususani ikipata maji ya kutosha. Nilichukua gramu 100 kwa 100,000/-, kwani hutosha la ekari 2 , kila ekari huchukua mimea 4500 hadi 5000.
Mbegu za Pipipili aina ya ABE zikiwa zimewekwa tayari udongoni
View attachment 2342266

MAANDALIZI YA VITALU
Nilitafuta maeneo yaliyo karibu na mto nikaandaa maeoneo ya vitalu 3 kwa ajili ya kusia mbegu. Niliweka mbolea ya samadi ya kutosha kiasi cha debe 3 kwa kila kitalu kulingana na ukubwa wa kitalu, nikaweka majani makavu kuhifadhi unyevu kwenye udongo (kama vinavyoonekana kwenye picha). Huchukua muda wa wiki 3 mbegu zote kuwa zimeota vizuri, katika picha kuna miche mikubwa ambayo niliitolea kivuli na midogo ambayo bado ilihitaji kivuli kwakuwa ilichelewa kuota, ingawa ilipandwa pamoja. (PICHA👇)

Kitalu 1: Majani kuhifadhi unyevu
View attachment 2342095

Kitalu 2 Mimea iliyoota mapema na iliyochelewa kuota

View attachment 2342096


UPANDIKIZAJI WA MICHE
Shamba lililimwa kwa jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau) ili kulainisha shamba. Baadaye nilitafuta vijana 3 niliingia nao makubaliano kunitengezea matuta shambani, shughuli za kutengeneza matuta kama vile kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kupandikiza miche kwa TZS 600,000/-. Kita tuta lilikuwa na mita 3.5, na kuchimba mashimo kwenye kila tuta, umbali wa sentimita 90 shimo hadi shimo, mita 1 msitari hadi msitari, na kila shimo liliwekewa mbolea ya samadi kilo 1 na hapa nilitumia vikombe viwili vya nusu lita . ( PICHA👇).

View attachment 2342103

Upandikizaji wa mimea hufanyika siku 45 tangu mbegu kuwekwa kitaluni. Kwa kipindi cha siku hizo mimea huwa na uwezo wa kustahimili hali ya ukame kidogo hata kama mvua isiponyesha wiki moja bado unauwezo wa kuendelea na uhai wake. (PICHA👇)​
View attachment 2342106

UTUNZAJI NA UKUAJI WA MICHE/MIMEA YA PILIPILI SHAMBANI
1. Mbolea:

Niliweka mbolea ya Samadi ya kutosha kuanzia kitaluni hadi shambani. Mbolea ya Samadi sikununua kwa kuwa wafugaji ni wengimaeneo haya, niliwaomba nao wakanipatia bure, gharama ilikuwa ni kwenye kusomba mbolea hiyo. Nilitumia mkokoteni wa kukokotwa na ng’ombe, mbapo ilinigharimu 140,000/- kusomba mbolea ya kutosha shamba zima la ekari 2.​

Picha kutoka : http://photos1.blogger.com/blogger/5177/2506/1600/DSCF0587.jpg
View attachment 2342137


Pia nilitafuta lita mbili za mbolea ya Organic inayotoka kampuni ya MOKUSAKU inayoitwa MOKUSAKU Cal-Phos na NPK PLUS kwa kuongeza virutubisho kwenye mimea na kuhifadhi maua yasidondoke. Kila lita ni 30,000/- hivyo kwa lita 4 ilinigharimu 120,000/-​
Picha kwa hisani ya : https://mokusaku.com/
View attachment 2342126

Picha za miche ya pilipili yenye mbolea ya Samadi na MOKUSAKU Cal-Phos na NPK Plus
View attachment 2342151

2. Palizi
Palizi ya kwanza ni baada ya wiki ya 3 mimea ikiwa shambani. Niliendelea kupalilia magugu yanapoota. Palizi lilinigharimu kiasi cha 200,000 mpaka mimea ilipokuwa na matawi na majani mengi na kuzuia magugu kuota kwa wingi.
(PICHA👇)
View attachment 2342164



CHANGAMOTO ZA UKUAJI WA MICHE YA PILIPILI
1. Magonjwa

Pilipili hukabiliwa na ugonjwa wa ukungu, usipodhibiti mapema majani hujikunja (kama inavyoonekana katika picha za mimes aliyaanza kuugua) na mmea kupukutisha majani yote. Nilitumia dawa ya Innovex 360 SC kudhibiti ugonjwa huu, gharama 80,000/-
(PICHA 👇)
View attachment 2342184

2. Mchwa na Panzi
Mchwa wanakata mashina chini kwenye udongo na panzi wanakula majani sana. Nilitumia dawa ya NINJA kuzuia panzi , na TERMITE KILLER kwa ajili ya mchwa , gharama 50,000/-.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI

Kuanza kuweka mimea shambani mpaka kuanza kuvuna ni miezi 3, ongeza siku 45 za miche kitaluni. Uvunaji hufanyika kwa kuchuma pilipili iliyoiva na nyekundu kama nyanya. Uvunaji huwa ni kazi kwelikweli, ndoo ndogo ya lita kumi (ambayo ni 3.5-4 kg za pilipili) huvunwa kwa 3000/- hadi 3500/- (hapa ndipo gharama kubwa huitajika na ndio ilitumia kiasi kilichobakia). Na pilipili iliyoiva hutoka kwenye kikonyo chake kwa haraka. Pilipili iliyovunwa huwekwa juani kwa muda wa siku 3 baada ya hapo inakuwa imekauka, itunze ndani sehemu kavu yenye hewa na mwanga . Jambo la kupendeza katika katika MGODI HUU WA DHAHABU NYEKUNDU ni kwamba pilipili iliyo tayari inaingia sokoni na hivyo kukusaidia kupata pesa ya kuendesha uvunaji, hiki ndio kitu cha pekee katika zao hili. Nimeanza kuvuna mwezi wa tano (Mei) mpaka sasa naendelea kuvuna, uvunaji natarajia kuisha mwezi wa tisa (Septemba).
(PICHA👇 Uvunaji)
View attachment 2342205

(Picha👇 ukaushaji)
View attachment 2342210

KUCHAMBUA
Kabla ya kuuza pilipili uichambue iwe safi, usiweke iliyoharibika . Zitenge hizo zilizoharibika usizitupe nazo zinauzika pia.


View attachment 2342213

UUZAJI
Masoko ya Pilipili kichaa yapo na unatakiwa kuwa makini na madalali wa pilipili, wengi wao ni matapeli. Mimi nawauzia kampuni ya TAZAMA ambayo inachukua mzigo na kupeleka Kenya, hii kampuni ni ya uhakika na wanatoa pesa yote kwa mkulima.​
(PICHA👇 nikiwa napima mzigo wa pilipili kichaa mwezi wa Agust 28, 2022)
View attachment 2342224
Na uuzaji hufanyika kila baada ya wiki mbili. Hata sasa ninavyomalizia kuandika Habari(Story) TAZAMA wamenitumia pesa ya awali kwa mzigo ulisafiri wiki hii.​
(PICHA👇 Angalia tarehe na muda wa tukio: 01.09.2022 muda saa 18:02)
View attachment 2342239

FAIDA
Faida ya zao hili, kuna mimea 9400 shambani. Nilijiwekea mmea mmoja utoe robo kilo, naelekea kuvuka malengo ya robo kilo kwa mmea, kuna mimea inatoa mpaka robo tatu ya kilo 3/4 . Na kila kilo bei yake ni TZS. 5000/- Lakini pia zile zilizoharibika bei yake ni TZS 1000/ kwa kilo moja. Na zao hili nitaendelea kuvuna kwa miaka mingine mitatu. MUNGU NI MWEMA, SANA KARIBU MGODINI​
kilimo kwanza
 
Baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa (BA)2011 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), nilitafuta kazi bila mafanikio. Nikaona nisome Stashahada ya Uzamili katika Elimu nikamaliza 2014 ili nipate ajira ya ualimu, sikufanikiwa kuipata. Mwaka 2016 nikaanza kusoma Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tazania nikiwa na malengo ya kujiaandaa kuwa mwanasheria wa kujitegemea na kuhitimu 2020.

Nikiwa natafakari jinsi yakupata pesa kwenda Shule ya Sheria (Law School of Tanzania) mwaka, nikasikia watu wanaongelea habari ya kilimo cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Nikaona nitafute habari kamili ya kilimo hiki.

Nikatafuta tovuti mbalimbali na kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook nikaona kuna wakulima wengi ambao wanatoa ushuhuda wa kilimo hiki cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Lakini pia nikaona nchi kama Kenya na Uganda ni nchi ambazo pilipili kichaa hulimwa kwa wingi. Pia nikatafuta taarifa za masoko, nikaona masoko yake makuu ni nchi za bara la Asia na Ulaya. Hii ilinipa ‘moto mkuu’ usiozimika kuingia shambani na kuanza kazi ya kuandaa shamba.

Nikiwa na Kiasi cha 1,900,000/- ikiwa ndio akiba pekee. Sikujali nikaamua ‘ku-take risk’. Nikaamua kwenda inapolimwa pilipili Mkoa wa Kigoma , Uvinza na kuweka kambi ya kazi. Niliandaa shamba la ekari 2, gharama ya kukodi shamba 50,000/ ekari kwa mwaka.​

Kambi ya Kazi ikiwa inajengwa
View attachment 2342130


MAANDALIZI YA MBEGU

Nilitafuta mbegu aina ya African Bird’s Eye Chilli (ABE), hii ni aina ya mbegu ya pilipili yenye matunda kama macho ya ndege pori wengi wanaopatika Afrika. Aina hii ya pilipili huzaa sana na hususani ikipata maji ya kutosha. Nilichukua gramu 100 kwa 100,000/-, kwani hutosha la ekari 2 , kila ekari huchukua mimea 4500 hadi 5000.
Mbegu za Pipipili aina ya ABE zikiwa zimewekwa tayari udongoni
View attachment 2342266

MAANDALIZI YA VITALU
Nilitafuta maeneo yaliyo karibu na mto nikaandaa maeoneo ya vitalu 3 kwa ajili ya kusia mbegu. Niliweka mbolea ya samadi ya kutosha kiasi cha debe 3 kwa kila kitalu kulingana na ukubwa wa kitalu, nikaweka majani makavu kuhifadhi unyevu kwenye udongo (kama vinavyoonekana kwenye picha). Huchukua muda wa wiki 3 mbegu zote kuwa zimeota vizuri, katika picha kuna miche mikubwa ambayo niliitolea kivuli na midogo ambayo bado ilihitaji kivuli kwakuwa ilichelewa kuota, ingawa ilipandwa pamoja. (PICHA👇)

Kitalu 1: Majani kuhifadhi unyevu
View attachment 2342095

Kitalu 2 Mimea iliyoota mapema na iliyochelewa kuota

View attachment 2342096


UPANDIKIZAJI WA MICHE
Shamba lililimwa kwa jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau) ili kulainisha shamba. Baadaye nilitafuta vijana 3 niliingia nao makubaliano kunitengezea matuta shambani, shughuli za kutengeneza matuta kama vile kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kupandikiza miche kwa TZS 600,000/-. Kita tuta lilikuwa na mita 3.5, na kuchimba mashimo kwenye kila tuta, umbali wa sentimita 90 shimo hadi shimo, mita 1 msitari hadi msitari, na kila shimo liliwekewa mbolea ya samadi kilo 1 na hapa nilitumia vikombe viwili vya nusu lita . ( PICHA👇).

View attachment 2342103

Upandikizaji wa mimea hufanyika siku 45 tangu mbegu kuwekwa kitaluni. Kwa kipindi cha siku hizo mimea huwa na uwezo wa kustahimili hali ya ukame kidogo hata kama mvua isiponyesha wiki moja bado unauwezo wa kuendelea na uhai wake. (PICHA👇)​
View attachment 2342106

UTUNZAJI NA UKUAJI WA MICHE/MIMEA YA PILIPILI SHAMBANI
1. Mbolea:

Niliweka mbolea ya Samadi ya kutosha kuanzia kitaluni hadi shambani. Mbolea ya Samadi sikununua kwa kuwa wafugaji ni wengimaeneo haya, niliwaomba nao wakanipatia bure, gharama ilikuwa ni kwenye kusomba mbolea hiyo. Nilitumia mkokoteni wa kukokotwa na ng’ombe, mbapo ilinigharimu 140,000/- kusomba mbolea ya kutosha shamba zima la ekari 2.​

Picha kutoka : http://photos1.blogger.com/blogger/5177/2506/1600/DSCF0587.jpg
View attachment 2342137


Pia nilitafuta lita mbili za mbolea ya Organic inayotoka kampuni ya MOKUSAKU inayoitwa MOKUSAKU Cal-Phos na NPK PLUS kwa kuongeza virutubisho kwenye mimea na kuhifadhi maua yasidondoke. Kila lita ni 30,000/- hivyo kwa lita 4 ilinigharimu 120,000/-​
Picha kwa hisani ya : https://mokusaku.com/
View attachment 2342126

Picha za miche ya pilipili yenye mbolea ya Samadi na MOKUSAKU Cal-Phos na NPK Plus
View attachment 2342151

2. Palizi
Palizi ya kwanza ni baada ya wiki ya 3 mimea ikiwa shambani. Niliendelea kupalilia magugu yanapoota. Palizi lilinigharimu kiasi cha 200,000 mpaka mimea ilipokuwa na matawi na majani mengi na kuzuia magugu kuota kwa wingi.
(PICHA👇)
View attachment 2342164



CHANGAMOTO ZA UKUAJI WA MICHE YA PILIPILI
1. Magonjwa

Pilipili hukabiliwa na ugonjwa wa ukungu, usipodhibiti mapema majani hujikunja (kama inavyoonekana katika picha za mimes aliyaanza kuugua) na mmea kupukutisha majani yote. Nilitumia dawa ya Innovex 360 SC kudhibiti ugonjwa huu, gharama 80,000/-
(PICHA 👇)
View attachment 2342184

2. Mchwa na Panzi
Mchwa wanakata mashina chini kwenye udongo na panzi wanakula majani sana. Nilitumia dawa ya NINJA kuzuia panzi , na TERMITE KILLER kwa ajili ya mchwa , gharama 50,000/-.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI

Kuanza kuweka mimea shambani mpaka kuanza kuvuna ni miezi 3, ongeza siku 45 za miche kitaluni. Uvunaji hufanyika kwa kuchuma pilipili iliyoiva na nyekundu kama nyanya. Uvunaji huwa ni kazi kwelikweli, ndoo ndogo ya lita kumi (ambayo ni 3.5-4 kg za pilipili) huvunwa kwa 3000/- hadi 3500/- (hapa ndipo gharama kubwa huitajika na ndio ilitumia kiasi kilichobakia). Na pilipili iliyoiva hutoka kwenye kikonyo chake kwa haraka. Pilipili iliyovunwa huwekwa juani kwa muda wa siku 3 baada ya hapo inakuwa imekauka, itunze ndani sehemu kavu yenye hewa na mwanga . Jambo la kupendeza katika katika MGODI HUU WA DHAHABU NYEKUNDU ni kwamba pilipili iliyo tayari inaingia sokoni na hivyo kukusaidia kupata pesa ya kuendesha uvunaji, hiki ndio kitu cha pekee katika zao hili. Nimeanza kuvuna mwezi wa tano (Mei) mpaka sasa naendelea kuvuna, uvunaji natarajia kuisha mwezi wa tisa (Septemba).
(PICHA👇 Uvunaji)
View attachment 2342205

(Picha👇 ukaushaji)
View attachment 2342210

KUCHAMBUA
Kabla ya kuuza pilipili uichambue iwe safi, usiweke iliyoharibika . Zitenge hizo zilizoharibika usizitupe nazo zinauzika pia.


View attachment 2342213

UUZAJI
Masoko ya Pilipili kichaa yapo na unatakiwa kuwa makini na madalali wa pilipili, wengi wao ni matapeli. Mimi nawauzia kampuni ya TAZAMA ambayo inachukua mzigo na kupeleka Kenya, hii kampuni ni ya uhakika na wanatoa pesa yote kwa mkulima.​
(PICHA👇 nikiwa napima mzigo wa pilipili kichaa mwezi wa Agust 28, 2022)
View attachment 2342224
Na uuzaji hufanyika kila baada ya wiki mbili. Hata sasa ninavyomalizia kuandika Habari(Story) TAZAMA wamenitumia pesa ya awali kwa mzigo ulisafiri wiki hii.​
(PICHA👇 Angalia tarehe na muda wa tukio: 01.09.2022 muda saa 18:02)
View attachment 2342239

FAIDA
Faida ya zao hili, kuna mimea 9400 shambani. Nilijiwekea mmea mmoja utoe robo kilo, naelekea kuvuka malengo ya robo kilo kwa mmea, kuna mimea inatoa mpaka robo tatu ya kilo 3/4 . Na kila kilo bei yake ni TZS. 5000/- Lakini pia zile zilizoharibika bei yake ni TZS 1000/ kwa kilo moja. Na zao hili nitaendelea kuvuna kwa miaka mingine mitatu. MUNGU NI MWEMA, SANA KARIBU MGODINI​
hii imekaaje...unatakiwa uje humu utoe elimu zaidi
 
Baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa (BA)2011 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), nilitafuta kazi bila mafanikio. Nikaona nisome Stashahada ya Uzamili katika Elimu nikamaliza 2014 ili nipate ajira ya ualimu, sikufanikiwa kuipata. Mwaka 2016 nikaanza kusoma Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tazania nikiwa na malengo ya kujiaandaa kuwa mwanasheria wa kujitegemea na kuhitimu 2020.

Nikiwa natafakari jinsi yakupata pesa kwenda Shule ya Sheria (Law School of Tanzania) mwaka, nikasikia watu wanaongelea habari ya kilimo cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Nikaona nitafute habari kamili ya kilimo hiki.

Nikatafuta tovuti mbalimbali na kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook nikaona kuna wakulima wengi ambao wanatoa ushuhuda wa kilimo hiki cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Lakini pia nikaona nchi kama Kenya na Uganda ni nchi ambazo pilipili kichaa hulimwa kwa wingi. Pia nikatafuta taarifa za masoko, nikaona masoko yake makuu ni nchi za bara la Asia na Ulaya. Hii ilinipa ‘moto mkuu’ usiozimika kuingia shambani na kuanza kazi ya kuandaa shamba.

Nikiwa na Kiasi cha 1,900,000/- ikiwa ndio akiba pekee. Sikujali nikaamua ‘ku-take risk’. Nikaamua kwenda inapolimwa pilipili Mkoa wa Kigoma , Uvinza na kuweka kambi ya kazi. Niliandaa shamba la ekari 2, gharama ya kukodi shamba 50,000/ ekari kwa mwaka.​

Kambi ya Kazi ikiwa inajengwa
View attachment 2342130


MAANDALIZI YA MBEGU

Nilitafuta mbegu aina ya African Bird’s Eye Chilli (ABE), hii ni aina ya mbegu ya pilipili yenye matunda kama macho ya ndege pori wengi wanaopatika Afrika. Aina hii ya pilipili huzaa sana na hususani ikipata maji ya kutosha. Nilichukua gramu 100 kwa 100,000/-, kwani hutosha la ekari 2 , kila ekari huchukua mimea 4500 hadi 5000.
Mbegu za Pipipili aina ya ABE zikiwa zimewekwa tayari udongoni
View attachment 2342266

MAANDALIZI YA VITALU
Nilitafuta maeneo yaliyo karibu na mto nikaandaa maeoneo ya vitalu 3 kwa ajili ya kusia mbegu. Niliweka mbolea ya samadi ya kutosha kiasi cha debe 3 kwa kila kitalu kulingana na ukubwa wa kitalu, nikaweka majani makavu kuhifadhi unyevu kwenye udongo (kama vinavyoonekana kwenye picha). Huchukua muda wa wiki 3 mbegu zote kuwa zimeota vizuri, katika picha kuna miche mikubwa ambayo niliitolea kivuli na midogo ambayo bado ilihitaji kivuli kwakuwa ilichelewa kuota, ingawa ilipandwa pamoja. (PICHA👇)

Kitalu 1: Majani kuhifadhi unyevu
View attachment 2342095

Kitalu 2 Mimea iliyoota mapema na iliyochelewa kuota

View attachment 2342096


UPANDIKIZAJI WA MICHE
Shamba lililimwa kwa jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau) ili kulainisha shamba. Baadaye nilitafuta vijana 3 niliingia nao makubaliano kunitengezea matuta shambani, shughuli za kutengeneza matuta kama vile kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kupandikiza miche kwa TZS 600,000/-. Kita tuta lilikuwa na mita 3.5, na kuchimba mashimo kwenye kila tuta, umbali wa sentimita 90 shimo hadi shimo, mita 1 msitari hadi msitari, na kila shimo liliwekewa mbolea ya samadi kilo 1 na hapa nilitumia vikombe viwili vya nusu lita . ( PICHA👇).

View attachment 2342103

Upandikizaji wa mimea hufanyika siku 45 tangu mbegu kuwekwa kitaluni. Kwa kipindi cha siku hizo mimea huwa na uwezo wa kustahimili hali ya ukame kidogo hata kama mvua isiponyesha wiki moja bado unauwezo wa kuendelea na uhai wake. (PICHA👇)​
View attachment 2342106

UTUNZAJI NA UKUAJI WA MICHE/MIMEA YA PILIPILI SHAMBANI
1. Mbolea:

Niliweka mbolea ya Samadi ya kutosha kuanzia kitaluni hadi shambani. Mbolea ya Samadi sikununua kwa kuwa wafugaji ni wengimaeneo haya, niliwaomba nao wakanipatia bure, gharama ilikuwa ni kwenye kusomba mbolea hiyo. Nilitumia mkokoteni wa kukokotwa na ng’ombe, mbapo ilinigharimu 140,000/- kusomba mbolea ya kutosha shamba zima la ekari 2.​

Picha kutoka : http://photos1.blogger.com/blogger/5177/2506/1600/DSCF0587.jpg
View attachment 2342137


Pia nilitafuta lita mbili za mbolea ya Organic inayotoka kampuni ya MOKUSAKU inayoitwa MOKUSAKU Cal-Phos na NPK PLUS kwa kuongeza virutubisho kwenye mimea na kuhifadhi maua yasidondoke. Kila lita ni 30,000/- hivyo kwa lita 4 ilinigharimu 120,000/-​
Picha kwa hisani ya : https://mokusaku.com/
View attachment 2342126

Picha za miche ya pilipili yenye mbolea ya Samadi na MOKUSAKU Cal-Phos na NPK Plus
View attachment 2342151

2. Palizi
Palizi ya kwanza ni baada ya wiki ya 3 mimea ikiwa shambani. Niliendelea kupalilia magugu yanapoota. Palizi lilinigharimu kiasi cha 200,000 mpaka mimea ilipokuwa na matawi na majani mengi na kuzuia magugu kuota kwa wingi.
(PICHA👇)
View attachment 2342164



CHANGAMOTO ZA UKUAJI WA MICHE YA PILIPILI
1. Magonjwa

Pilipili hukabiliwa na ugonjwa wa ukungu, usipodhibiti mapema majani hujikunja (kama inavyoonekana katika picha za mimes aliyaanza kuugua) na mmea kupukutisha majani yote. Nilitumia dawa ya Innovex 360 SC kudhibiti ugonjwa huu, gharama 80,000/-
(PICHA 👇)
View attachment 2342184

2. Mchwa na Panzi
Mchwa wanakata mashina chini kwenye udongo na panzi wanakula majani sana. Nilitumia dawa ya NINJA kuzuia panzi , na TERMITE KILLER kwa ajili ya mchwa , gharama 50,000/-.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI

Kuanza kuweka mimea shambani mpaka kuanza kuvuna ni miezi 3, ongeza siku 45 za miche kitaluni. Uvunaji hufanyika kwa kuchuma pilipili iliyoiva na nyekundu kama nyanya. Uvunaji huwa ni kazi kwelikweli, ndoo ndogo ya lita kumi (ambayo ni 3.5-4 kg za pilipili) huvunwa kwa 3000/- hadi 3500/- (hapa ndipo gharama kubwa huitajika na ndio ilitumia kiasi kilichobakia). Na pilipili iliyoiva hutoka kwenye kikonyo chake kwa haraka. Pilipili iliyovunwa huwekwa juani kwa muda wa siku 3 baada ya hapo inakuwa imekauka, itunze ndani sehemu kavu yenye hewa na mwanga . Jambo la kupendeza katika katika MGODI HUU WA DHAHABU NYEKUNDU ni kwamba pilipili iliyo tayari inaingia sokoni na hivyo kukusaidia kupata pesa ya kuendesha uvunaji, hiki ndio kitu cha pekee katika zao hili. Nimeanza kuvuna mwezi wa tano (Mei) mpaka sasa naendelea kuvuna, uvunaji natarajia kuisha mwezi wa tisa (Septemba).
(PICHA👇 Uvunaji)
View attachment 2342205

(Picha👇 ukaushaji)
View attachment 2342210

KUCHAMBUA
Kabla ya kuuza pilipili uichambue iwe safi, usiweke iliyoharibika . Zitenge hizo zilizoharibika usizitupe nazo zinauzika pia.


View attachment 2342213

UUZAJI
Masoko ya Pilipili kichaa yapo na unatakiwa kuwa makini na madalali wa pilipili, wengi wao ni matapeli. Mimi nawauzia kampuni ya TAZAMA ambayo inachukua mzigo na kupeleka Kenya, hii kampuni ni ya uhakika na wanatoa pesa yote kwa mkulima.​
(PICHA👇 nikiwa napima mzigo wa pilipili kichaa mwezi wa Agust 28, 2022)
View attachment 2342224
Na uuzaji hufanyika kila baada ya wiki mbili. Hata sasa ninavyomalizia kuandika Habari(Story) TAZAMA wamenitumia pesa ya awali kwa mzigo ulisafiri wiki hii.​
(PICHA👇 Angalia tarehe na muda wa tukio: 01.09.2022 muda saa 18:02)
View attachment 2342239

FAIDA
Faida ya zao hili, kuna mimea 9400 shambani. Nilijiwekea mmea mmoja utoe robo kilo, naelekea kuvuka malengo ya robo kilo kwa mmea, kuna mimea inatoa mpaka robo tatu ya kilo 3/4 . Na kila kilo bei yake ni TZS. 5000/- Lakini pia zile zilizoharibika bei yake ni TZS 1000/ kwa kilo moja. Na zao hili nitaendelea kuvuna kwa miaka mingine mitatu. MUNGU NI MWEMA, SANA KARIBU MGODINI​
Huyu jamaa kajipanga kweli...hatua zote za awali mpaka mavuno kuna picha? kama ni kweli hongera
 
Baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa (BA)2011 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), nilitafuta kazi bila mafanikio. Nikaona nisome Stashahada ya Uzamili katika Elimu nikamaliza 2014 ili nipate ajira ya ualimu, sikufanikiwa kuipata. Mwaka 2016 nikaanza kusoma Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tazania nikiwa na malengo ya kujiaandaa kuwa mwanasheria wa kujitegemea na kuhitimu 2020.

Nikiwa natafakari jinsi yakupata pesa kwenda Shule ya Sheria (Law School of Tanzania) mwaka, nikasikia watu wanaongelea habari ya kilimo cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Nikaona nitafute habari kamili ya kilimo hiki.

Nikatafuta tovuti mbalimbali na kwenye mitandao ya kijamii hususani Facebook nikaona kuna wakulima wengi ambao wanatoa ushuhuda wa kilimo hiki cha pilipili kichaa (DHAHABU NYEKUNDU). Lakini pia nikaona nchi kama Kenya na Uganda ni nchi ambazo pilipili kichaa hulimwa kwa wingi. Pia nikatafuta taarifa za masoko, nikaona masoko yake makuu ni nchi za bara la Asia na Ulaya. Hii ilinipa ‘moto mkuu’ usiozimika kuingia shambani na kuanza kazi ya kuandaa shamba.

Nikiwa na Kiasi cha 1,900,000/- ikiwa ndio akiba pekee. Sikujali nikaamua ‘ku-take risk’. Nikaamua kwenda inapolimwa pilipili Mkoa wa Kigoma , Uvinza na kuweka kambi ya kazi. Niliandaa shamba la ekari 2, gharama ya kukodi shamba 50,000/ ekari kwa mwaka.​

Kambi ya Kazi ikiwa inajengwa
View attachment 2342130


MAANDALIZI YA MBEGU

Nilitafuta mbegu aina ya African Bird’s Eye Chilli (ABE), hii ni aina ya mbegu ya pilipili yenye matunda kama macho ya ndege pori wengi wanaopatika Afrika. Aina hii ya pilipili huzaa sana na hususani ikipata maji ya kutosha. Nilichukua gramu 100 kwa 100,000/-, kwani hutosha la ekari 2 , kila ekari huchukua mimea 4500 hadi 5000.
Mbegu za Pipipili aina ya ABE zikiwa zimewekwa tayari udongoni
View attachment 2342266

MAANDALIZI YA VITALU
Nilitafuta maeneo yaliyo karibu na mto nikaandaa maeoneo ya vitalu 3 kwa ajili ya kusia mbegu. Niliweka mbolea ya samadi ya kutosha kiasi cha debe 3 kwa kila kitalu kulingana na ukubwa wa kitalu, nikaweka majani makavu kuhifadhi unyevu kwenye udongo (kama vinavyoonekana kwenye picha). Huchukua muda wa wiki 3 mbegu zote kuwa zimeota vizuri, katika picha kuna miche mikubwa ambayo niliitolea kivuli na midogo ambayo bado ilihitaji kivuli kwakuwa ilichelewa kuota, ingawa ilipandwa pamoja. (PICHA👇)

Kitalu 1: Majani kuhifadhi unyevu
View attachment 2342095

Kitalu 2 Mimea iliyoota mapema na iliyochelewa kuota

View attachment 2342096


UPANDIKIZAJI WA MICHE
Shamba lililimwa kwa jembe la kukokotwa na ng’ombe (plau) ili kulainisha shamba. Baadaye nilitafuta vijana 3 niliingia nao makubaliano kunitengezea matuta shambani, shughuli za kutengeneza matuta kama vile kuchimba mashimo, kuweka mbolea na kupandikiza miche kwa TZS 600,000/-. Kita tuta lilikuwa na mita 3.5, na kuchimba mashimo kwenye kila tuta, umbali wa sentimita 90 shimo hadi shimo, mita 1 msitari hadi msitari, na kila shimo liliwekewa mbolea ya samadi kilo 1 na hapa nilitumia vikombe viwili vya nusu lita . ( PICHA👇).

View attachment 2342103

Upandikizaji wa mimea hufanyika siku 45 tangu mbegu kuwekwa kitaluni. Kwa kipindi cha siku hizo mimea huwa na uwezo wa kustahimili hali ya ukame kidogo hata kama mvua isiponyesha wiki moja bado unauwezo wa kuendelea na uhai wake. (PICHA👇)​
View attachment 2342106

UTUNZAJI NA UKUAJI WA MICHE/MIMEA YA PILIPILI SHAMBANI
1. Mbolea:

Niliweka mbolea ya Samadi ya kutosha kuanzia kitaluni hadi shambani. Mbolea ya Samadi sikununua kwa kuwa wafugaji ni wengimaeneo haya, niliwaomba nao wakanipatia bure, gharama ilikuwa ni kwenye kusomba mbolea hiyo. Nilitumia mkokoteni wa kukokotwa na ng’ombe, mbapo ilinigharimu 140,000/- kusomba mbolea ya kutosha shamba zima la ekari 2.​

Picha kutoka : http://photos1.blogger.com/blogger/5177/2506/1600/DSCF0587.jpg
View attachment 2342137


Pia nilitafuta lita mbili za mbolea ya Organic inayotoka kampuni ya MOKUSAKU inayoitwa MOKUSAKU Cal-Phos na NPK PLUS kwa kuongeza virutubisho kwenye mimea na kuhifadhi maua yasidondoke. Kila lita ni 30,000/- hivyo kwa lita 4 ilinigharimu 120,000/-​
Picha kwa hisani ya : https://mokusaku.com/
View attachment 2342126

Picha za miche ya pilipili yenye mbolea ya Samadi na MOKUSAKU Cal-Phos na NPK Plus
View attachment 2342151

2. Palizi
Palizi ya kwanza ni baada ya wiki ya 3 mimea ikiwa shambani. Niliendelea kupalilia magugu yanapoota. Palizi lilinigharimu kiasi cha 200,000 mpaka mimea ilipokuwa na matawi na majani mengi na kuzuia magugu kuota kwa wingi.
(PICHA👇)
View attachment 2342164



CHANGAMOTO ZA UKUAJI WA MICHE YA PILIPILI
1. Magonjwa

Pilipili hukabiliwa na ugonjwa wa ukungu, usipodhibiti mapema majani hujikunja (kama inavyoonekana katika picha za mimes aliyaanza kuugua) na mmea kupukutisha majani yote. Nilitumia dawa ya Innovex 360 SC kudhibiti ugonjwa huu, gharama 80,000/-
(PICHA 👇)
View attachment 2342184

2. Mchwa na Panzi
Mchwa wanakata mashina chini kwenye udongo na panzi wanakula majani sana. Nilitumia dawa ya NINJA kuzuia panzi , na TERMITE KILLER kwa ajili ya mchwa , gharama 50,000/-.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI

Kuanza kuweka mimea shambani mpaka kuanza kuvuna ni miezi 3, ongeza siku 45 za miche kitaluni. Uvunaji hufanyika kwa kuchuma pilipili iliyoiva na nyekundu kama nyanya. Uvunaji huwa ni kazi kwelikweli, ndoo ndogo ya lita kumi (ambayo ni 3.5-4 kg za pilipili) huvunwa kwa 3000/- hadi 3500/- (hapa ndipo gharama kubwa huitajika na ndio ilitumia kiasi kilichobakia). Na pilipili iliyoiva hutoka kwenye kikonyo chake kwa haraka. Pilipili iliyovunwa huwekwa juani kwa muda wa siku 3 baada ya hapo inakuwa imekauka, itunze ndani sehemu kavu yenye hewa na mwanga . Jambo la kupendeza katika katika MGODI HUU WA DHAHABU NYEKUNDU ni kwamba pilipili iliyo tayari inaingia sokoni na hivyo kukusaidia kupata pesa ya kuendesha uvunaji, hiki ndio kitu cha pekee katika zao hili. Nimeanza kuvuna mwezi wa tano (Mei) mpaka sasa naendelea kuvuna, uvunaji natarajia kuisha mwezi wa tisa (Septemba).
(PICHA👇 Uvunaji)
View attachment 2342205

(Picha👇 ukaushaji)
View attachment 2342210

KUCHAMBUA
Kabla ya kuuza pilipili uichambue iwe safi, usiweke iliyoharibika . Zitenge hizo zilizoharibika usizitupe nazo zinauzika pia.


View attachment 2342213

UUZAJI
Masoko ya Pilipili kichaa yapo na unatakiwa kuwa makini na madalali wa pilipili, wengi wao ni matapeli. Mimi nawauzia kampuni ya TAZAMA ambayo inachukua mzigo na kupeleka Kenya, hii kampuni ni ya uhakika na wanatoa pesa yote kwa mkulima.​
(PICHA👇 nikiwa napima mzigo wa pilipili kichaa mwezi wa Agust 28, 2022)
View attachment 2342224
Na uuzaji hufanyika kila baada ya wiki mbili. Hata sasa ninavyomalizia kuandika Habari(Story) TAZAMA wamenitumia pesa ya awali kwa mzigo ulisafiri wiki hii.​
(PICHA👇 Angalia tarehe na muda wa tukio: 01.09.2022 muda saa 18:02)
View attachment 2342239

FAIDA
Faida ya zao hili, kuna mimea 9400 shambani. Nilijiwekea mmea mmoja utoe robo kilo, naelekea kuvuka malengo ya robo kilo kwa mmea, kuna mimea inatoa mpaka robo tatu ya kilo 3/4 . Na kila kilo bei yake ni TZS. 5000/- Lakini pia zile zilizoharibika bei yake ni TZS 1000/ kwa kilo moja. Na zao hili nitaendelea kuvuna kwa miaka mingine mitatu. MUNGU NI MWEMA, SANA KARIBU MGODINI​
Wakulima mnazingua kweli, hela hiyo mjue
 
Back
Top Bottom