concrete15
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 882
- 323
Hongera mkuu,
Umejaribia wapi, na ulifanya cha umwagiliaji au cha kutegemea mvua, na soko lako lilikua lipi kwa hayo majaribio yako?
Mkuu npo sehemu moja inaitwa malolo mpakan na iringa, ni kilimo cha umwagiliaji means kuvuna ni uhakika 100% halafu pia uzuri wa kitunguu huwa hakikosi soko mara baada ya kuvuna sema tu kama soko sio zuri utakiuza kwa bei ya chini na si kukosa soko na wateja huwa wanakuja wenyewe shamban kuvitafuta na si wewe kuwatafuta.
Kingine mkuu kuhusiana na uzuri wa kilimo cha vitunguu ni kwamba utapata hasara kama hutavuna lakin ukivuna huwez kupata hasara hata bei iwe mbaya vip au soko liwe baya vip mtaj wako lazima urudi huwez kupata hasara had ukapoteza na mtaji kwa kitunguu hicho kitu ni never!!!
Kiongozi ukiwa na kama 1.5mil jaribu hata heka moja hutoacha tena na utakuwa na mikakati kama yangu soonHongera mkuu,
Umejaribia wapi, na ulifanya cha umwagiliaji au cha kutegemea mvua, na soko lako lilikua lipi kwa hayo majaribio yako?
Kiongozi ukiwa na kama 1.5mil jaribu hata heka moja hutoacha tena na utakuwa na mikakati kama yangu soon
Mkuu ni kweli kabisa unachosema ni kuwa watu hawajajua tu mim nimegusa tu kidogo mwaka jana nimeondoka na mil 3 sasa nataka mwaka huu ndiyo nizame ki kwel kwel, maana kupata gunia 100 kwa kitunguu ni kugusa halafu kuna kipind kama sasa gunia moja laki ×100 una 10milion hapo bado hujatoka tu kimaisha kwa mtaj wa 10 mil wakat wewe garama uliyotumia haizid mil 2 lakin kwa muda mfup unatengeneza faida ya mil 8 Mungu akupe nin tena. Mkuu komaa tu mim ninao mfano kuna watu walianza na mtaj wa laki kadhaa kwenye kilimo cha vitunguu lakin sasa ni matajiri wa kutupwa had unakuja kufikiria kuajiriwa hakuna dili kabisa kwa mtu anaezingatia kilimo
Kweli kiongozi na ukipata hasara ni hasara kweli ila ukivuna basiii. Kuna wadudu fulani wanakata vitunguu kwa chini na dawa aina ya marshala au profetroni haiwezi kuwaua wananiumiza sana kichwa sijui huko mnatumia dawa gani mkubwa
Asigwe unakijua unachoongea lakin?
Kiongozi ukiwa na kama 1.5mil jaribu hata heka moja hutoacha tena na utakuwa na mikakati kama yangu soon
Mkuu ni kweli kabisa unachosema ni kuwa watu hawajajua tu mim nimegusa tu kidogo mwaka jana nimeondoka na mil 3 sasa nataka mwaka huu ndiyo nizame ki kwel kwel, maana kupata gunia 100 kwa kitunguu ni kugusa halafu kuna kipind kama sasa gunia moja laki ×100 una 10milion hapo bado hujatoka tu kimaisha kwa mtaj wa 10 mil wakat wewe garama uliyotumia haizid mil 2 lakin kwa muda mfup unatengeneza faida ya mil 8 Mungu akupe nin tena. Mkuu komaa tu mim ninao mfano kuna watu walianza na mtaj wa laki kadhaa kwenye kilimo cha vitunguu lakin sasa ni matajiri wa kutupwa had unakuja kufikiria kuajiriwa hakuna dili kabisa kwa mtu anaezingatia kilimo
mkuu laki moja bei ya shambani au sokoni?
hiyo ni gharama ya kila kitu ikiwa ni pamoja na pump na mafuta utaweza hudumia heka moja na vitunguu hukaa shambani miezi mitatu tuu unatoa almasi yako swafiii na mteja uakuwa hapo shambani.Ni kweli, sema tukishakua kosa malengo na kujiridhisha na mawazo hewa, unaona kama 1.5M sio kitu na haiwezi kufanya kitu.
Kumbe kuna mtu ukimpa hata 500,000/= baada ya miezi sita utamkuta yuko hatua nyingine kabisa.
Nadhani hapo tunaongelea gharama za kuhudumia shamba, mbegu, mbolea, bila kujumuisha mashine ya kumwagilia maji na mafuta yake.
Wakuu nani anauzoefu au alishawai lima kiunguu SWAUMU? Nimefatilia sana naona wengi wamejikita kwenye kitunguu maji, kuna mtu aliniambia eti kinalipa sana kushinda kitunguu maji, je wadau ni kweli? Na kama ni kweli kwanini naona watu wengi wanakikwepa au ulimaji wake ni mgumu sana, wadau mimi nilikuwa nataka kujaribu kulima kitunguu swaumu sasa sijajua vizuri, msaada ma Great thinker mwenye kufahamu kuhusu ulimaji wa kitunguu swaumu na soko lake likoje!
Safi sna mkuu,
Haya ndio mawazo tunataka hapa JF,
Kuna technolojia mpya na rahisi mno nimeinyaka sehemu juu ya huu ulimaji bado naimalizia resecrh yake nafikiri baada ya miezi sita itakua imekamilika nitaimwaga hapa jamvini.
Kifupi inawezekana kabisa kuchagua ukubwa wa kitunguu chako, kukuza ndani ya miezi miwili tu na kuchangua shape ya kitunguu.
Hii nikiikamilisha nitaileta hapa maana nafikiria kuteka soko lote la Comorro, Kenya na Zanzibar kwa vitunguu bora kabisa na vya bei nafuu na hakuna atakaye shindana na mie.
Believe me mkuu najua nachokiongea,Asigwe unakijua unachoongea lakin?
hiyo ni gharama ya kila kitu ikiwa ni pamoja na pump na mafuta utaweza hudumia heka moja na vitunguu hukaa shambani miezi mitatu tuu unatoa almasi yako swafiii na mteja uakuwa hapo shambani.