baraka607
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 844
- 165
Mkuu naona unasema unalima vitunguu bagamoyo naomba kuuliza vitunguu vinakubali katika mazingira ya pwani na kwenye udongo wa Kichanga? Sehemu kama Mkuranga unaweza lima vitunguu?
Ndiyo vinakubali katika mazingira hayo, ila tu kuwepo na maji na udongo wenye rutba nzuri. Usiwe mfinyanzi sana kwasababu huzuia kitunguu kujitanua