Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Mkuu naona unasema unalima vitunguu bagamoyo naomba kuuliza vitunguu vinakubali katika mazingira ya pwani na kwenye udongo wa Kichanga? Sehemu kama Mkuranga unaweza lima vitunguu?

Ndiyo vinakubali katika mazingira hayo, ila tu kuwepo na maji na udongo wenye rutba nzuri. Usiwe mfinyanzi sana kwasababu huzuia kitunguu kujitanua
 
Shukrani wakuu kwa maelezo yenu mwaka 2015 inshallah nataka kuacha kazi rasmi niwe mjasiriamali tu nimechoka kuajiriwa, ngoja nipitie comments zote nijipange kununua hekari hata mbili, kitange na baraka ebu wekeni process from the beginning utayarishaji wa shamba, kupanda, vitalu, umwagiliaji, upaliliaji, umwagiaji dawa ili nipate mwongozo!!
 
Ndiyo vinakubali katika mazingira hayo, ila tu kuwepo na maji na udongo wenye rutba nzuri. Usiwe mfinyanzi sana kwasababu huzuia kitunguu kujitanua

Mkuu shamba langu udongo wake ni Kichanga pure lipo Mkuranga naweza lima vitunguu? Mchanga unaweza stawisha vitunguu?
 
Shukrani wakuu kwa maelezo yenu mwaka 2015 inshallah nataka kuacha kazi rasmi niwe mjasiriamali tu nimechoka kuajiriwa,ngoja nipitie comments zote nijipange kununua hekari hata mbili,kitange na baraka ebu wekeni process from the beginning utayarishaji wa shamba,kupanda,vitalu,umwagiliaji,upaliliaji,umwagiaji dawa ili nipate mwongozo!!

Mkuu king kong karibu. Process kwa maandishi kidogo ni ngumu kukuelezea ukaelewa. Ila ukiwa na muda tutafutane, utafika ofisin na ntakupa muongozo wote kuanzia mwanzo hadi mwisho.
 
Yan kuchanga kama cha baharini vile?!

Kama umeishi Dar au Pwani utanielewa mkuu namaanisha sio udongo mwekundu wala mweusi (Mfinyanzi) bali ni udongo wa kichanga unaopitisha maji kirahisi
 
Kama umeishi Dar au Pwani utanielewa mkuu namaanisha sio udongo mwekundu wala mweusi (Mfinyanzi) bali ni udongo wa kichanga unaopitisha maji kirahisi

We hiyo sehemu ushawah kulima nn?!
 
Ina mananasi sasahivi na yako poa tu

Labda kwa kujaribu lima kijisehemu kidogo tu. Yan panda hata lita mbili za mbegu afu uone itatoa kitu gani. Panaweza kufaa kwasababu hata singida ardhi yao ni kichanga ivi
 
Mkuu king kong karibu. Process kwa maandishi kidogo ni ngumu kukuelezea ukaelewa. Ila ukiwa na muda tutafutane, utafika ofisin na ntakupa muongozo wote kuanzia mwanzo hadi mwisho.

ofisi zako zipo wapi? number za simu?
 
Mkuu kama uzalishaji wako ni mkubwa mimi nakushauri utengeneze mivuko ya nusu kilo na kilo moja upeki mwenyewe uanzishe stoo ndogo ndogo mitaa ya kariakoo na namanga kama unauwezo kidogo kimfuko.

Utapata wakati mgumu mwanzo hesabia kama miezi mitatu mpaka mitano. Baada ya hapo utapiga bao.

Mfumo huu Tanzania haupo itakuwa wewe ndio muanzilishi nakwakuwa malighafi inatoka shambani kwahiyo itakuwa na bei rahisi kulinganisha na soko la kawaida ambalo linapita kwa madalali zaid ya wawili, ukiwa naufungaji mzuri uanaweza kuza kwene maduka makubwa, wakati huo unatafuta soko la mahoteli ya aina zote ndogo na kubwa jaribu kufanya stad kabla hujaanza
Ushauri wa maana sana huu aiseee

Hata mie nitaufanyia kazi kwenye ka-project kangu
 
Please ndugu zangu ambao mnabweteka na kutafuta kazi kuna kilimo cha vitunguu, two years unakuwa mtu mwingine kabisa na huta penda kuajiriwa na kama utakuwa kwenye ajira unaweza acha kabisa na kuamua kuwa mkulima.

Tusiwaze kuajiriwa tu tutakufa maskin mwisho wa siku. Mimi nimejaribu na sasa nataka niache kazi na kuwa moja ya wakulima na wafanyabiashara wakubwa wa vitunguu na mazao yote ya shamba kwa ujumla ila pamoja na hilo bado nahitaji muongozo mkubwa kwa watu waliobobea kwenye ukulima pamoja na biashara ya mazao ya shambani ili waweze kunishauri zaidi.

Mimi napatikana moshi pamoja na arusha ndiko napofanyia biashara zangu. Please kwa yoyote ambaye amebobea kwenye biashara hii zaidi naomba ani PM ili tuweze kupeana contact ili mkukuza network na bidae kuweza kuanzisha kitu flani kwa manufaa yetu asanteni sana na wakilisha.
 
Mkuu ni kweli kabisa unachosema ni kuwa watu hawajajua tu mim nimegusa tu kidogo mwaka jana nimeondoka na mil 3 sasa nataka mwaka huu ndiyo nizame ki kwel kwel, maana kupata gunia 100 kwa kitunguu ni kugusa halafu kuna kipind kama sasa gunia moja laki ×100 una 10milion hapo bado hujatoka tu kimaisha kwa mtaj wa 10 mil wakat wewe garama uliyotumia haizid mil 2 lakin kwa muda mfup unatengeneza faida ya mil 8 Mungu akupe nin tena.

Mkuu komaa tu mim ninao mfano kuna watu walianza na mtaj wa laki kadhaa kwenye kilimo cha vitunguu lakin sasa ni matajiri wa kutupwa had unakuja kufikiria kuajiriwa hakuna dili kabisa kwa mtu anaezingatia kilimo
 
Mkuu ni kweli kabisa unachosema ni kuwa watu hawajajua tu mim nimegusa tu kidogo mwaka jana nimeondoka na mil 3 sasa nataka mwaka huu ndiyo nizame ki kwel kwel, maana kupata gunia 100 kwa kitunguu ni kugusa halafu kuna kipind kama sasa gunia moja laki ×100 una 10milion hapo bado hujatoka tu kimaisha kwa mtaj wa 10 mil wakat wewe garama uliyotumia haizid mil 2 lakin kwa muda mfup unatengeneza faida ya mil 8 Mungu akupe nin tena. Mkuu komaa tu mim ninao mfano kuna watu walianza na mtaj wa laki kadhaa kwenye kilimo cha vitunguu lakin sasa ni matajiri wa kutupwa had unakuja kufikiria kuajiriwa hakuna dili kabisa kwa mtu anaezingatia kilimo

Hongera mkuu,

Umejaribia wapi, na ulifanya cha umwagiliaji au cha kutegemea mvua, na soko lako lilikua lipi kwa hayo majaribio yako?
 
Hongera mkuu,

Umejaribia wapi, na ulifanya cha umwagiliaji au cha kutegemea mvua, na soko lako lilikua lipi kwa hayo majaribio yako?

Mkuu npo sehemu moja inaitwa malolo mpakan na iringa, ni kilimo cha umwagiliaji means kuvuna ni uhakika 100% halafu pia uzuri wa kitunguu huwa hakikosi soko mara baada ya kuvuna sema tu kama soko sio zuri utakiuza kwa bei ya chini na si kukosa soko na wateja huwa wanakuja wenyewe shamban kuvitafuta na si wewe kuwatafuta.

Kingine mkuu kuhusiana na uzuri wa kilimo cha vitunguu ni kwamba utapata hasara kama hutavuna lakin ukivuna huwez kupata hasara hata bei iwe mbaya vip au soko liwe baya vip mtaj wako lazima urudi huwez kupata hasara had ukapoteza na mtaji kwa kitunguu hicho kitu ni never!!!
 
Dodoma moja : kweli kabisa ukulima unamtuoa mtu, mimi nimeamini coz kuna watu wameanzisha sijui niseme makampuni kaajiri watu kwenye heka kama 15 unakuwa umewagaia vyeo kabisa masupervisor mpaka kibarua then kazi yako inakuwa kusupply chakula na matumizi yote ya shamba cha kushangaza most of them ni kenyans sijui watanzania tunaogopa nini mimi nimeamua moja hata nikianguka naanza upya tena mpaka nitoke :hand:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom