Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Kuna mtu mmoja alilima kama heka 5 huko kilosa.wanunuzi walikuja shambani akaondoka ns 28M,aliuza sh 80,000 kwa gunia,mwezi wa sita na mie nafikiria kutia timu kilosa nianze na kama heka 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Believe me mkuu najua nachokiongea,
Umewasikia wale madogo waliomaliza vyuo juzi kati wakatia timu Igunga wakajikita katika kilimo cha kitunguu wanayoyafanya mapaka saa izi??
Believe me ukiinvest katika mambo kama haya kwa nguvu na elimu you are unbeatable
Mkuu npo sehemu moja inaitwa malolo mpakan na iringa, ni kilimo cha umwagiliaji means kuvuna ni uhakika 100% halafu pia uzuri wa kitunguu huwa hakikosi soko mara baada ya kuvuna sema tu kama soko sio zuri utakiuza kwa bei ya chini na si kukosa soko na wateja huwa wanakuja wenyewe shamban kuvitafuta na si wewe kuwatafuta.
Kingine mkuu kuhusiana na uzuri wa kilimo cha vitunguu ni kwamba utapata hasara kama hutavuna lakin ukivuna huwez kupata hasara hata bei iwe mbaya vip au soko liwe baya vip mtaj wako lazima urudi huwez kupata hasara had ukapoteza na mtaji kwa kitunguu hicho kitu ni never!!!
Zao la vitunguu swaumu ni zao ambalo linaonekana limesahaulika japo linalipa sana,
Nilikua manyara mwaka jana nilipata jifunza haya yafuatayo:
/zao hili haliitaji maji meng kama ilivo vitunguu maji huitaji maji mengi mara moja kwa mwezi
/ zao hili huchukua mieZ 4 hadi 5 kuweza kua tayari kuingia sokoni
/ zao hili haliuzwi kimagunia wala kimadebe ni bei sana hivo linauzwa kwa neti ( net moja ni sawa na beseni moja na nusu) ambayo bei ya neti moja n shillingi elfu 56.
/ bei ya mbegu mara nyingi huwa wakulima wazao hili wananunua kwa mabeseni ambapo beseni moja la mbegu ni shillingi elfu 35
/ zao hili huna haja ya kubeba na kupeleka sokoni wanunuzi wanakufata wenyewe na mafuso yao japo ukienda navyo mombasa au sudani pia uganda ni ghari sana huuzwa huko.
/ mahali ambapo zao hili hustawi n katika udongo wa pemben mwa mabonde udongo ambao sio mgumu sana mtanisamehe aina ya udongo sijui ila mabonden lakn maji yawe yanazuiwa na kuruhusiwa mara moja kwa mwezi au hata mara mbili cio mbaya ila yawe kwa wingi yaende chini,
/ mikoa ya manyara , singida morogoro na baadh ya mikoa ya kusimi yanasupport sana
Haina shida mkuu nitaitoa soon, ila kwa kuwa itakua na impact kubwa sana kwa kilimo cha kila aina ni lazima niitafutie haki miliki, wajanja wasije tokea kwenye mgongo wangu wakati mie nakufa masikiniI second you., Mkuu that's right.
Mimi nasubiria hiyo research yako tu mkuu, ili after two years kama Mungu akijaalia niweze kulima
Haina shida mkuu nitaitoa soon, ila kwa kuwa itakua na impact kubwa sana kwa kilimo cha kila aina ni lazima niitafutie haki miliki, wajanja wasije tokea kwenye mgongo wangu wakati mie nakufa masikini
Mkuu npo sehemu moja inaitwa malolo mpakan na iringa, ni kilimo cha umwagiliaji means kuvuna ni uhakika 100% halafu pia uzuri wa kitunguu huwa hakikosi soko mara baada ya kuvuna sema tu kama soko sio zuri utakiuza kwa bei ya chini na si kukosa soko na wateja huwa wanakuja wenyewe shamban kuvitafuta na si wewe kuwatafuta.
Kingine mkuu kuhusiana na uzuri wa kilimo cha vitunguu ni kwamba utapata hasara kama hutavuna lakin ukivuna huwez kupata hasara hata bei iwe mbaya vip au soko liwe baya vip mtaj wako lazima urudi huwez kupata hasara had ukapoteza na mtaji kwa kitunguu hicho kitu ni never!!!
Safi sna mkuu,
Haya ndio mawazo tunataka hapa JF,
Kuna technolojia mpya na rahisi mno nimeinyaka sehemu juu ya huu ulimaji bado naimalizia resecrh yake nafikiri baada ya miezi sita itakua imekamilika nitaimwaga hapa jamvini.
Kifupi inawezekana kabisa kuchagua ukubwa wa kitunguu chako, kukuza ndani ya miezi miwili tu na kuchangua shape ya kitunguu.
Hii nikiikamilisha nitaileta hapa maana nafikiria kuteka soko lote la Comorro, Kenya na Zanzibar kwa vitunguu bora kabisa na vya bei nafuu na hakuna atakaye shindana na mie.
Safi sna mkuu,
Haya ndio mawazo tunataka hapa JF,
Kuna technolojia mpya na rahisi mno nimeinyaka sehemu juu ya huu ulimaji bado naimalizia resecrh yake nafikiri baada ya miezi sita itakua imekamilika nitaimwaga hapa jamvini.
Kifupi inawezekana kabisa kuchagua ukubwa wa kitunguu chako, kukuza ndani ya miezi miwili tu na kuchangua shape ya kitunguu.
Hii nikiikamilisha nitaileta hapa maana nafikiria kuteka soko lote la Comorro, Kenya na Zanzibar kwa vitunguu bora kabisa na vya bei nafuu na hakuna atakaye shindana na mie.
Kwa m5 yako labda uingie shamba kulima ila kama unataka kusimama kama mlanguzi pesa yako ni ndogo sana, kwa makadilio ya chini kabisa labda uwe na m8 na kuendelea unaweza kumudu fuso ya gunia 85. Manake kuna gharama nyingi sana hapo katikati.Ndugu yangu nataman sna kilimo cha vitungu au kununua kutoka kijijin na kuleta mjin ila sijui hata pa kuanzia na mtaji wangu ni 5m ebu nisaidie mawazo
Mkuu ni kweli kabisa unachosema ni kuwa watu hawajajua tu mim nimegusa tu kidogo mwaka jana nimeondoka na mil 3 sasa nataka mwaka huu ndiyo nizame ki kwel kwel, maana kupata gunia 100 kwa kitunguu ni kugusa halafu kuna kipind kama sasa gunia moja laki ×100 una 10milion hapo bado hujatoka tu kimaisha kwa mtaj wa 10 mil wakat wewe garama uliyotumia haizid mil 2 lakin kwa muda mfup unatengeneza faida ya mil 8 Mungu akupe nin tena. Mkuu komaa tu mim ninao mfano kuna watu walianza na mtaj wa laki kadhaa kwenye kilimo cha vitunguu lakin sasa ni matajiri wa kutupwa had unakuja kufikiria kuajiriwa hakuna dili kabisa kwa mtu anaezingatia kilimo
Kwa m5 yako labda uingie shamba kulima ila kama unataka kusimama kama mlanguzi pesa yako ni ndogo sana, kwa makadilio ya chini kabisa labda uwe na m8 na kuendelea unaweza kumudu fuso ya gunia 85. Manake kuna gharama nyingi sana hapo katikati. Lets say umeenda shamba umekuta bei ni 65*85=M5.5 bado hujanunua magunia tupu, hujawalipa wajazaji na wachambuaji, hujalipa nauli ya fuso na mambo mengine kibao.