Mkubwa kufanya mapinduzi ya vipi vitunguu vyako unataka viwe inawezekana, ila kwenye suala la soko ni ngumu sana. Me ni mkulima wa vitunguu huu mwaka wa tano sasa na mali yangu huwa ziuzii shamba naleta mjini mwenyewe. Madalali wameharibu soko na wameteka kila mahala, huwez kutoka na vitunguu vyako hadi zanzibar au commoro hautauza na utashangaa ni kwann. Kuna mkongwe mmoja aliwah jibeba na mzigo wake hadi comorro kufika kule wakawa wanamuangalia kama nini sijui, na alipiga hasara mzigo wote. Individually huwez kuwatoka madalali na hii ni mpaka wizara husika iingilie kati, bila ivo tutaendelea kufanya biashara na madalali tu. Naongea kwa experience wakuu.