Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

nina ndoto ya kulima vitunguu mim nipo karibu na rundugai moshi naomba anayejishughulisha na biashara hii anipe uzoefu wa msimu mzuri kwa mtu anayetaka kuanza kama mimi na je heka 1 unaweza kupata gunia ngapi
 
hiyo ni gharama ya kila kitu ikiwa ni pamoja na pump na mafuta utaweza hudumia heka moja na vitunguu hukaa shambani miezi mitatu tuu unatoa almasi yako swafiii na mteja uakuwa hapo shambani.

Safi sana wakuu ila inakuwa vp kuhusu kupata eneo la kulima hicho kitunguu utaratibu ukoje mkuu?..mfano Mimi naishi pia nafanya kazi arusha na cna eneo...nishaurin wakuu?
 
Dodoma 1 na mm nilikuwa natamani kweli kulima vitunguu lkn sikuweza kupata muongozo nipo dar lkn kwetu ni mbeya, nimeanza km mjasiliamali mdg kuprocess vitunguu saumu ambavyo bei yake inapanda sokoni kila leo ss nikawa nafikiria kulima mwenyewe, nahitaji kupata details zaidi kuhusu kilimo cha vitunguu maji au saumu please nichek no yangu 0175675077
 
Naomba mwenye uzoefu atupatie risk za hiki kilimo maana cjaona aliyezungumzia kiundani suala la risk zake kuanzia kitaluni mpaka sokoni,nauliza hv kutokana na uzoefu nilionao kwny kilimo kuwa mavuno mara nyng sio kama ilivyo kwny kitabu
 
Dodoma 1 na mm nilikuwa natamani kweli kulima vitunguu lkn sikuweza kupata muongozo nipo dar lkn kwetu ni mbeya, nimeanza km mjasiliamali mdg kuprocess vitunguu saumu ambavyo bei yake inapanda sokoni kila leo ss nikawa nafikiria kulima mwenyewe, nahitaji kupata details zaidi kuhusu kilimo cha vitunguu maji au saumu please nichek no yangu 0175675077

Mkuu .... ninayo fursa ya kupata mashine ya kumenya na kusaga vitunguu saumu ..... halafu vikawa packed kwenye mifuko au makopo madogo ya plastic na kuuzwa sokoni, supermarket, butchery

Unaionaje hii idea ....
 
Mkubwa kufanya mapinduzi ya vipi vitunguu vyako unataka viwe inawezekana, ila kwenye suala la soko ni ngumu sana. Me ni mkulima wa vitunguu huu mwaka wa tano sasa na mali yangu huwa ziuzii shamba naleta mjini mwenyewe. Madalali wameharibu soko na wameteka kila mahala, huwez kutoka na vitunguu vyako hadi zanzibar au commoro hautauza na utashangaa ni kwann. Kuna mkongwe mmoja aliwah jibeba na mzigo wake hadi comorro kufika kule wakawa wanamuangalia kama nini sijui, na alipiga hasara mzigo wote. Individually huwez kuwatoka madalali na hii ni mpaka wizara husika iingilie kati, bila ivo tutaendelea kufanya biashara na madalali tu. Naongea kwa experience wakuu.

Ni kweli kabisa mkuu, madalali hawafai hata kidogo kwenye biashara ya mazao hasa ufikapo sokoni watakuminya na ndio wanaochangia biashara ya mazao ifungashwe kwa lumbesa/kilemba hii ni ukandamizaji mkubwa kwa mkulima.

Tatizo kubwa ni matajiri huchimbwa mkwara na hao madalali na ndo wanaowafanya watambe na kuliteka soko.
 
Dodoma 1 na mm nilikuwa natamani kweli kulima vitunguu lkn sikuweza kupata muongozo nipo dar lkn kwetu ni mbeya, nimeanza km mjasiliamali mdg kuprocess vitunguu saumu ambavyo bei yake inapanda sokoni kila leo ss nikawa nafikiria kulima mwenyewe, nahitaji kupata details zaidi kuhusu kilimo cha vitunguu maji au saumu please nichek no yangu 0175675077
Huko uliko bei ya kitunguu swaumu ikoje kwa gunia, au kwa dishi??
 
Mimi niko na hela. Ambaye anataka ushirika karika hili aseme.nina shamba pale ruvu karibu sana na mto.swala la maji sio ishu. Napenda kuanza laknk sijui nianzie wapi.

Niko tayri kufanya joint then upate hela yako utoke kivyako laknk baada ya wote kupata faida. Anayetaka hili lets do business.
 
Ni kweli kabisa mkuu, madalali hawafai hata kidogo kwenye biashara ya mazao hasa ufikapo sokoni watakuminya na ndio wanaochangia biashara ya mazao ifungashwe kwa lumbesa/kilemba hii ni ukandamizaji mkubwa kwa mkulima.
Tatizo kubwa ni matajiri huchimbwa mkwara na hao madalali na ndo wanaowafanya watambe na kuliteka soko.

Idea nzuri sana hata mimi nimeipenda.. endelea mkuu tunasubiri
 
Mwenye kujua karatu gunia la vitunguu linauzwaje?, na sokoni pia linauzwaje. Nataka kuchangamkia fursa
 
Mkuu .... ninayo fursa ya kupata mashine ya kumenya na kusaga vitunguu saumu ..... halafu vikawa packed kwenye mifuko au makopo madogo ya plastic na kuuzwa sokoni, supermarket, butchery

Unaionaje hii idea ....

Endelea mkuu idea imetulia
 
changamoto mojawapo ni mbegu unatakiwa upate mbegu y mangola karatu au lumuma ya dodoma hzo ndyo mbegu bor nakidogo ruah
 
Ukikosea kwnye mbegu umeliwa.udongo usiwe na magadi.udongo wakichanga nibora zaidi.umwagiliaji ni bora zaidi.
 
udongo usiwa namagad ardh iwe yakichang au tifutifu.umwagiliaji uwe wahakik.mbolea ni mara2 hdi3 kuwek tegemeana eneo
 
Wana jamvi nani anaejua jinsi ya ku treat udongo wenye hali ya magadi in nature..ili ufae kwa kilimo cha kitunguu maji..
 
Back
Top Bottom