Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Hili jukwaa limenipa mwanga mwingine mkubwa sana ktk maisha yangu. Hongereni sana wakuu kwa jitihada zenu. God bless you all.
 
Je upande wa kitunguu saumu mnakizungumziaje wadau! Nimenunua shamba just by the river huku iringa vijijinu, nataka nijaribu hiyo kitu! Swali langu je soko lake likoje?
 
Daaaah mimi ni mgeni humu ndani but nipo interested sana na hii kitu nahitaji msaada haswa
 
Habari ndugu zangu,

Kwa jina naitwa Joseph ni mkulima na mfanyabiashara wa vitunguu. Kitunguu ni zao lenye manufaa makubwa na kipato cha hali ya juu endapo tu utafuata maelekezo ya mtaalamu.

Dhumuni langu hapa ni kuwaletea mbegu bora kabisa za vitunguu (Red Bombay) ambazo hukupa mavuno mazuri na yenye kipato kikubwa sana.

Bei ya mbegu hizi ni tsh 30,000/= kwa kopo la lita moja(1) na tsh 600,000/= kwa ndoo ya lita ishirini.

Guarantee: Ndoo ya lita 20 ambayo ni sawa na makopo 20 ya lita moja inatosha kupanda eneo la hekari 1 (m70*m70) na kiwango cha chini cha mavuno ni gunia 100 na kiwango cha juu ni gunia 110-120 ndani ya siku 90 (3 months) toka kupanda. Gunia moja sokoni kariakoo, ilala, buguruni, temeke na mabibo kwa sasa bei ni tsh 130,000/= * gunia 100 = tshs 13,000,000/= ndani ya miezi 3.

Kama utakua na swali lolote au kutaka kujua zaidi usisite kunitafuta kwa namba zangu za simu +255655003510 au e-mail address: josephkadendulah@gmail.com

Ahsanteni sana na karibuni tujenge maisha bora kwa kila mtanzani.
Red_Onion.JPG
IMG-20130718-00033.jpg
IMG-20130718-00066.jpg
IMG-20130718-00065.jpg
Red-onion.jpg
 
ni miezi gani vinapandwa....wapi katika Tz vinastawi kwa uhakika zaidi
Habari ndugu zangu,

Kwa jina naitwa Joseph ni mkulima na mfanyabiashara wa vitunguu. Kitunguu ni zao lenye manufaa makubwa na kipato cha hali ya juu endapo tu utafuata maelekezo ya mtaalamu.

Dhumuni langu hapa ni kuwaletea mbegu bora kabisa za vitunguu (Red Bombay) ambazo hukupa mavuno mazuri na yenye kipato kikubwa sana.

Bei ya mbegu hizi ni tsh 30,000/= kwa kopo la lita moja(1) na tsh 600,000/= kwa ndoo ya lita ishirini.

Guarantee: Ndoo ya lita 20 ambayo ni sawa na makopo 20 ya lita moja inatosha kupanda eneo la hekari 1 (m70*m70) na kiwango cha chini cha mavuno ni gunia 100 na kiwango cha juu ni gunia 110-120 ndani ya siku 90 (3 months) toka kupanda. Gunia moja sokoni kariakoo, ilala, buguruni, temeke na mabibo kwa sasa bei ni tsh 130,000/= * gunia 100 = tshs 13,000,000/= ndani ya miezi 3.

Kama utakua na swali lolote au kutaka kujua zaidi usisite kunitafuta kwa namba zangu za simu +255655003510 au e-mail address: josephkadendulah@gmail.com

Ahsanteni sana na karibuni tujenge maisha bora kwa kila mtanzani.
 
ni miezi gani vinapandwa....wapi katika Tz vinastawi kwa uhakika zaidi

Asante kwa swali lako, vinapandwa miezi yoyote ilimradi uwe una uhakika sehemu uanyofanyia kilimo kuna uhakika wa maji ndo mana ni vizuri kulimia sehemu zenye irrigation. Mikoa yoyote vinakubali kasoro sehemu zenye udongo mfinyanzi kwasababu haupitishi maji kama inavotakiwa.
 
bei ya mbegu mkuu ipo juu sana

Swala la watu kununua mbegu zisizo na ubora linakuja kuwacost wakipeleka mavuno yao sokoni, wanunuzi wanatakataa kutokana na ubora wa vitunguu na muonekano wake nikimaanisha round ya kitunguu. Matokeo yake gunia ulilotakiwa kuuza 130 unakuja kuuza 70
 
kumbe hadi nimwagilie? I thought havihitaji maji mengi

Maji ni uhai. Ndo mana vikaitwa vitunguu maji mkuu. Hata kama utatumia pump ila atleast kwa wiki shmba limwagiwe mara 3
 
Bei ya vitunguu sokoni haipo fixed inategemea na msimu na hali ya wakati huo leo unaweza kukuta ni 130,000/= siku wewe umevuna unakutana na bei ya 30,000/=, elfu40
 
Bei ya vitunguu sokoni haipo fixed inategemea na msimu na hali ya wakati huo leo unaweza kukuta ni 130,000/= siku wewe umevuna unakutana na bei ya 30,000/=, elfu40

Nna ushahidi wa risiti tokea nimeanza biashara hii miaka minne iliyopita, kama nna gunia nimewahi kuuza chini ya elfu 85 nafuta tangazo hili. Cha zaidi mtu halazimishwi kuchukua opportunity, ni maamuzi binafsi kaka. Next time "Think before you act" Mr
 
Mkuu baraka607, wazo na ushauri wako ni mzuri sana kwa wanajamii wanaotaka kujishughulisha na Zao tajwa. hesabu ulizoweka juu ni za kuvutia hasa kwa anayehitaji changamoto kutoka kwa mtu aliyejaribu biashara hio.
USHAURI WANGU KWAKO

Nadhani ungewavuta wengi sana na kununua mbegu kwa wingi iwapo ungewaekea takriban za gharama. kwa mfano, kama inaitajika mbolea ni ipi na kiasi gani, upandaji wake ni vipi, utaalamu wa kutoa vitunguu vingi na kadhalika nyingine nyingi tu. mimi sio fundi wa haya mambo ila nadhani umenipata. na kwenye gharama ukitaka mteja wa mbegu arudi ungepiga kama ulivyosema hapojuu wewe umeuza at minimum price of 85K. 85k *100 gunia = 8500,000/=
Ans - 600,000 za mbegu kutoka kwako=7900,000 Then Gharama za uzalishaji kwa takriban. kwa hilo mtu anaweza kujikuta faida ni ndogo kuliko ulivyotaja na hapo akaamua kununua mbegu za eka mbili ama zaidi ili kufikia malengo. kwa mtindo huu wewe utauza mbegu na mteja lazima atasambaza sifa za mbegu yako.
 
Bwana Baraka umepost mchango mzuri sana. Hii ndio mijadala itakayotuokoa wtz. Nitafanyia kazi ushauri wako na nitatudi hapa JF kutoa ushuhuda. Big up
 
Nna ushahidi wa risiti
tokea nimeanza biashara hii miaka minne iliyopita, kama nna gunia
nimewahi kuuza chini ya elfu 85 nafuta tangazo hili. Cha zaidi mtu
halazimishwi kuchukua opportunity, ni maamuzi binafsi kaka. Next time
"Think before you act" Mr

Mkuu wangu, kilimo chako unakifanyia sehemu gani? Na upatikanaji wa ardhi ya kulima huko uko vipi? Suala la kupulizia dawa je?
 
Back
Top Bottom