Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Kuna mtu mmoja alilima kama heka 5 huko kilosa.wanunuzi walikuja shambani akaondoka ns 28M,aliuza sh 80,000 kwa gunia,mwezi wa sita na mie nafikiria kutia timu kilosa nianze na kama heka 3
 
nilikuwa na wazo la kulima vitunguu ila sijapata tu shamba,nadhani unaweza kunisaidia kwa hilo me nipo arusha
 

I second you., Mkuu that's right.
Mimi nasubiria hiyo research yako tu mkuu, ili after two years kama Mungu akijaalia niweze kulima
 
Wanasema RED BOMBEY vitunguu vyake ni Vzr Ingawa vinaharibika kwa muda mfupi kwa mtu anataka kusafirisha Mbali ni aina gani ya Mbegu atumie? kwa yyt anaefahamu Ushauri plz!
 
usiingie shambani kulima KWASABABU TU mwenzako amelima akafanikiwa, nenda kwasababu unajua unachoenda kukifanya na umeamua kukifanya.
 
Ndugu zangu najitahid kufuatilia maeneo haya mnayotaja ila sijajua ni kilimo cha vitunguu maji au swaum?
 
Mie ningependa kununua mzigo (mkoan) na kuleta mjini kuuza sasa je! Soko la vitunguu maji liko vipi? Na ni kipind gan bei inakuwa juu? Ili ninunue niweke stoo nisubirie kipind cha kuuza?
 

Ndugu yangu nataman sna kilimo cha vitungu au kununua kutoka kijijin na kuleta mjin ila sijui hata pa kuanzia na mtaji wangu ni 5m ebu nisaidie mawazo
 

Asante mkuu kwa maelezo yaliyojitosheleza.
 
I second you., Mkuu that's right.
Mimi nasubiria hiyo research yako tu mkuu, ili after two years kama Mungu akijaalia niweze kulima
Haina shida mkuu nitaitoa soon, ila kwa kuwa itakua na impact kubwa sana kwa kilimo cha kila aina ni lazima niitafutie haki miliki, wajanja wasije tokea kwenye mgongo wangu wakati mie nakufa masikini
 
Haina shida mkuu nitaitoa soon, ila kwa kuwa itakua na impact kubwa sana kwa kilimo cha kila aina ni lazima niitafutie haki miliki, wajanja wasije tokea kwenye mgongo wangu wakati mie nakufa masikini

Hilo nalo neno! Mkuu nimeku2pia PM cjui km umeiona!
 

Mkuu mi nililima mwaka jana pale ruaha mbuyuni nilikula hasara!
 
Pump zipi zinafaa katika umwagiliaji?naomba kushauriwa tafadhali,
 

Mkubwa kufanya mapinduzi ya vipi vitunguu vyako unataka viwe inawezekana, ila kwenye suala la soko ni ngumu sana. Me ni mkulima wa vitunguu huu mwaka wa tano sasa na mali yangu huwa ziuzii shamba naleta mjini mwenyewe.

Madalali wameharibu soko na wameteka kila mahala, huwez kutoka na vitunguu vyako hadi zanzibar au commoro hautauza na utashangaa ni kwann.

Kuna mkongwe mmoja aliwah jibeba na mzigo wake hadi comorro kufika kule wakawa wanamuangalia kama nini sijui, na alipiga hasara mzigo wote. Individually huwez kuwatoka madalali na hii ni mpaka wizara husika iingilie kati, bila ivo tutaendelea kufanya biashara na madalali tu.

Naongea kwa experience wakuu.
 

Mkubwa kufanya mapinduzi ya vipi vitunguu vyako unataka viwe inawezekana, ila kwenye suala la soko ni ngumu sana.

Me ni mkulima wa vitunguu huu mwaka wa tano sasa na mali yangu huwa ziuzii shamba naleta mjini mwenyewe. Madalali wameharibu soko na wameteka kila mahala, huwez kutoka na vitunguu vyako hadi zanzibar au commoro hautauza na utashangaa ni kwann.

Kuna mkongwe mmoja aliwah jibeba na mzigo wake hadi comorro kufika kule wakawa wanamuangalia kama nini sijui, na alipiga hasara mzigo wote. Individually huwez kuwatoka madalali na hii ni mpaka wizara husika iingilie kati, bila ivo tutaendelea kufanya biashara na madalali tu.

Naongea kwa experience wakuu.
 
Ndugu yangu nataman sna kilimo cha vitungu au kununua kutoka kijijin na kuleta mjin ila sijui hata pa kuanzia na mtaji wangu ni 5m ebu nisaidie mawazo
Kwa m5 yako labda uingie shamba kulima ila kama unataka kusimama kama mlanguzi pesa yako ni ndogo sana, kwa makadilio ya chini kabisa labda uwe na m8 na kuendelea unaweza kumudu fuso ya gunia 85. Manake kuna gharama nyingi sana hapo katikati.

Lets say umeenda shamba umekuta bei ni 65*85=M5.5 bado hujanunua magunia tupu, hujawalipa wajazaji na wachambuaji, hujalipa nauli ya fuso na mambo mengine kibao.
 
Wakuu kwa mkoa wa pwani --Mkutranga rufiji vitunguu vinasitawi kweli?
 

Tuungane bas mkuu tupige kaz .
 

Ngoja niendelee kuiongezea ka m5 kangu angalao bas ifike 10. Na fuso yenye gunia 100 kutoka iringa-dar inaweza kuwa bei gan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…