Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

Wanafanya kuanzia 250,000 - 300,000@ heka kwa msimu. Kilimo chake kinaanzia mwezi wa 4 mpaka wa 11. Huwa wanamwagilia kwa mfereji. Shida ni moja hasa wakati wa soko kwani vitunguu vingi huwa vinakuja toka eneo la Mang'ola, hivyo bei hushuka sana.
ok kiongoz nashukuru. hapo inabidi ukilima , lazima usome nyakati ambazo mang'ola wanalima. ili kuweza ku- overtake nao katika soko.ili kabisa kuwa tofauti nao! lakini inaonekana inalipa pia katika hilo eneo kama maji ni mfereji manake ni uhakika w a kupata maji.
nitapita huko siku moja
 

Kitunguu kinatoka fresh sana. Ila shida ni bei sokoni.
 
Mkuu hv haiwezekani kuifadhi vitunguu kwa miezi3/4 mbele

Inawezekana hata mwaka. Ila kumbuka kadiri vinavyokaa muda mrefu toka kuvunwa huwa vinanywea. Yaani unaweza kuvuna maguni labda 100, lakini ukiyahifadhi yatupungua labda mpaka 70 kulingana na muda wa uhifadhi.
 
Duh kumbe shughuli ipo. Hujaweka usafiri wako wakwenda shambani mpaka mavuno
Na ukifqnikiwa unapata she ngapi
Shughuli sio ya kitoto mi nilisha wahi kulima ndugu yangu nakushauri pambana kweli kweli sio kazi ya kitotoooo
 
3.UPANDAJI HAPO PIA UMAKIN UNATAKIW.KTK UPANDAJI WENG HAPO TUMEPISHANA KIMAWAZO KUTOKAN N MAENEO HUSIKA.km ifuatavyo..
MUHESHIMIWA GEBA, inaonekana wewe ni mzoefu.naomba unipe mawazo kuhusu kilimo cha vitunguu swaumu. kwa hapa arusha, kuhusu gharama zake na mavuno katika heakari.
 
naomba kuuliza kwa sasa bei ya shambani gunia la kitunguu ni sh ngap kwa upande wa ruaha
 
Naungana na kiongozi katika hili. Kilimo cha kitunguu ni gharama sna. Inaweza ikafika milioni 2 kama unavyosema.
 
Umefafanua vizuri sana... Ila ungetuambia ukiuza sokoni faida unaweza kupata bei gani?
 
Samahani kiongozi hilo soko la mwezi march mpaka April linakuwa zuri kwa Dar es Salaam au mikoa mingine? Asante.
 
Ulilimia mkoa gani kiongozi? Na gharama kwa ujumla ilikuwa kiasi gani? Asante
 
Well said bro
 
Hapo kweli, si suala la kuumiza kichwa mteja atapatikana wapi bali ni kufanya timing kwa mzalishaji mwenzako pamoja na hali ya hewa. Maana bidhaa ikiwa adimu soko huwa juu.
 
Hapo unaongelea mkoa gani kiongozi? Maana nimesikia ukiwa na laki saba tu unaweza kulima heka moja na kukamilisha kila kitu.
 
Dah, jamaa upo vizuri wewe kwenye ushauri! Safi sana maana umetoa maarifa yako pasipo uchoyo kabisa yaani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…