rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 456
Kitunguu huwezi lima kwa kutegemea mvua coz kitakuwa na magonjwa mengi na kukusababishia gharama kuwa kubwa sana. Kitunguu watu wanapenda kunyeshea zaidi ili kupunguza gharama za dawa.
Lakini pia kinalipa mno mno ukilinganisha na hizo bei za dawa.
Kwamfano kitunguu kinacholimwa wakati wa kiangazi bei yake huja kuwa kati ya elfu 60 -80 Kwa gunia wakati kile cha wakati wa mvua huanzia laki na sehemu zingine kama Mbeya kinafika hadi lakini na sitini Kwa gunia.
Kwahiyo bado unapata faida sana tu mkuu.