Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Nenda kwenye Maduka yanayouza Pembejeo za Kilimo utazipata.Natafuta mbegu ya kitunguu maji,mwenye nayo anipe bei yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kwenye Maduka yanayouza Pembejeo za Kilimo utazipata.Natafuta mbegu ya kitunguu maji,mwenye nayo anipe bei yake
Kwan gharama/mtaji wa kuwekeza kwenye hekta moja unawekurange sh. Ngapi jamani wachambuzi mnahitajika pls
hivi vitunguu kwanini vinamtoa machozi mkataji, tafadhali nijibu kwa lugha ya taifa.Tanzania agriculture extansion officers employed and un-employed
Kitunguu hakipendi kukatwa na kisu, ndio maana nacho huwa kinajitahidi kumliza mkataji, kinapenda kukatwa kwa meno, jaribu uonehivi vitunguu kwanini vinamtoa machozi mkataji, tafadhali nijibu kwa lugha ya taifa.
ahh!Kitunguu hakipendi kukatwa na kisu, ndio maana nacho huwa kinajitahidi kumliza mkataji, kinapenda kukatwa kwa meno, jaribu uone
Safi sana Mr Ha Muji!!! Gogyureo military analyst.Hongera sana. Hiyo sasa ndio nature ya biashara. Baada ya hapo utafanikiwa. Ushauri wangu uangalie hayo uliyojifunza na ubashiri changamoto nyinginezo ambazo zinaweza kutokea na jinsi ya kuzikabili. Kila lakheri
Hahaha poa ngoja admin ataku-add, vipi unalima nini chalinze mzeya?Niongezeni na Mimi kijana wenu mkulima wa chalinze
Tutaleta wacha tukusanye habari zote.[emoji124]Wakulima mbona hamleti ushuhuda mlioenda kulima kitunguu?