baraka607
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 844
- 165
Uzoefu wangu ni miaka mitano sasa katika kilimo cha vitunguu maji na hizo bei ni ivo vijiji nilivyotaja hapo juu viko wilaya ya Kilosa na pia vinapakana na Dodoma upande wa Mpwapwa.
Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums
Nimekuelewa baraka607, ila ningependa kujua pia uzoefu wako na hizo gharama ni kwa mikoa gani??
Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums