Kilimo chenye viashiria vya faida kubwa

Kusini hii wanaiita green gold inalipa sana.

In 2 to 3 years unavuna mpka miaka 50 na kuendelea.

Mbolea wengi huenda kuifuata kanda ya kati uko mavi ya ngombe mengi tu.
Hata mihogo mliita white gold.....
kwenye biashara yyte ile timing is very important......
 
The higher the Supply the lower the Price.... (If Demand remains Constant)

Wabongo tujikite kwenye kufanya jambo kwa muda mrefu na kutafuta masoko ya uhakika na ku-build relationship na wanunuzi..., hili la kurukia kila kilimo linasababisha unpredictable prices...

Yaani kama wewe ni mkulima wa kahawa endelea na kahawa zako uki-build relationship na wanunuzi na kuwa na uhakika wa product yako ni sustainable in the long run...
 
Hapa hoja ni kuwa hao wakulima wana hakika ya soko, soko la Ulaya! Hii ni kutokana na ukweli kuwa matunda yao yote au karibu yote, yaani sehemu kubwa ya mavuno yao hununuliwa na walanguzi kutoka Kenya. Hawa wana soko tayari tayari Ulaya na hususan kwa aina hiyo ya HASS! Kwa mantiki hii, nadhani kuna ulazima wa sisi Watanzania wenye kuweza kupata hizo connection za hayo masoko na tuna mtaji/pesa za kununua hayo mazao tufanye hivyo. Tusipotumia hii fursa na hivyo kuacha OMBWE, basi hao wageni wataitumia na kunufaisha maisha yao na nchi zao.
 
SAWA ila usiweke mayai yako yote kwenye kapu moja (Do no put all your eggs in one basket)!
 
SAWA ila usiweke mayai yako yote kwenye kapu moja (Do no put all your eggs in one basket)!
Stick to what you Know fanya research kwenye jambo au mambo machache ambayo una passion nayo yafanye kwa uhakika consistently na long term (hata hayo masoko unayatafuta na kuya-maintain) sio chasing them everytime na kila ukifika unakuta umechelewa...

Unadhani wanunuzi wakubwa wa product fulani huwa wana-suppliers wao ambao wame-build relationship ya muda mrefu na wanaaminiana.... tofauti na wewe utakayeanza mwaka kesho huenda hata bei yako ikiwa pungufu kidogo wasikuamini
 
Kusini hii wanaiita green gold inalipa sana.

In 2 to 3 years unavuna mpka miaka 50 na kuendelea.

Mbolea wengi huenda kuifuata kanda ya kati uko mavi ya ngombe mengi tu.
Ni kusini nyanda za juu ama kusini ipi?
 
Njombe parachichi zinapandwa wakati wa mvua nyingi. Mwaka huu mwezi March nilipanda miche 1500 ilikufa mitatu tu.
 
Miaka yote wanahamasisha umwagilaji ila bado sana
Inatakiwa sheria haswa sio kila leo bunge linaongea na wakirudi hakuna kinachofanyika

Ila mdogo mdogo tutafika
Naogopa kuwa sheria itakayokuja ni ya kulipisha wote wanaomwagilia mashamba yao.
 
Naogopa kuwa sheria itakayokuja ni ya kulipisha wote wanaomwagilia mashamba yao.

Kama watu wanafukuzwa pembezoni mwa mito wala sintashangaa hata wakitoza na walionunua mahindi ya kumwagilia

Nilienda Egypt yaani ni nchi ambayo wanaishi kwa kutegemea sana umwagiliaji na ukipita sehemu zote za mito utafurahi
Upande mmoja unaona mwagiliaji na upande mwingine wa mto unaona wafugaji na mifugo yao wanasalimiana kwa upendo

Na wote wanaishi na Mto huo huo maisha yao yote na wanazingatia Usafi haswa
Sisi inabidi Bashe aende akajifunze huko na awaalike huku waone Neema tulizonazo ila tunaishi kama ndege tu
 
Wazee wa parachichi ndio muda wenu sasa
 
Kwenye uwekezaji wa namna hii ni vyema ambao bado hatujaanza, tuanze kuwekeza kwenye ardhi. Kununua ardhi iwepo tu.
 

Shida ni roho mbaya na ukweli kwamba umasikini wa watu ni mtaji kwa wanasiasa hivyo hawapo tayari kuwasaidia wakulima kujikwamua kwa kuwatafutia masoko na kadhalika.
 
Nimesikia India watanunua hayo maparachihi pamoja na south africa
 
Hali ilivyo kuna uwezekano kukaunda ka kampuni uchwara ka kununua hayo maparachichi bongo kisha soko analikamata mwanasiasa mmoja anajipigia hela tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…