Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Eh mwaya waulize wao wanaweza biashara ya kilimo au wanajishaua tu humu ndani biashara ya kilimo sio kazi rahisi kuifanya upande mazao halafu upate wateja halafu uuze ni ngumu na upate hela sio kazi rahisi, kunawezi ila i hope utakaza buti keep it upSina hizo.time za kuwasikiliza
samawani bilionea unajishugulisha na kilimo cha. zao gan?Nyie vijana endeleeni kupiga majungu na uzandiki maskani sie vijana wenzenu tunaendelea kupiga maokoto kwenye kilimo just imagine kama mie naweza.kuingiza milioni 50 kwa mwaka wewe kijana mwenzangu unashindwa nini? Nyie sio kazi.yenu kupiga majungu na uzandiki vijiweni? Na wengine kazi kuvuta bangi tu?
Vijana kwenye kilimo kuna hela.asiwaambie mtu aisee last year nili earn 30 milioni na this year nimekamata milioni 50 per year nyie wengine mtashindwa nini?
Au mnasubiria serikali yenu ya maCcm ikawapa ajira? Ajira si kitu ni michosho tu asiwaambie mtu si unaona mpaka nimebadilisha jina mpaka sasa najiita bilionaire kekeman?
Ebu fikiri kijana mdogo kama mime hata 30 sijafika ndiyo kwanza nipo 27 nina zaidi ya milioni 150 kwenye akauti wewe una nini? Yaani utakuta ndiyo kwanza una zaidi ya 30+ plus maisha yako hauyaelewi kabisa aisee poleni
Call me bilionaire kekeman, poleni mnashindwa njaa sie tunashinda.mijihela.
Isije ikawa ugonjwa wa akili umerudi aisee....Nyie vijana endeleeni kupiga majungu na uzandiki maskani sie vijana wenzenu tunaendelea kupiga maokoto kwenye kilimo just imagine kama mie naweza.kuingiza milioni 50 kwa mwaka wewe kijana mwenzangu unashindwa nini? Nyie sio kazi.yenu kupiga majungu na uzandiki vijiweni? Na wengine kazi kuvuta bangi tu?
Vijana kwenye kilimo kuna hela.asiwaambie mtu aisee last year nili earn 30 milioni na this year nimekamata milioni 50 per year nyie wengine mtashindwa nini?
Au mnasubiria serikali yenu ya maCcm ikawapa ajira? Ajira si kitu ni michosho tu asiwaambie mtu si unaona mpaka nimebadilisha jina mpaka sasa najiita bilionaire kekeman?
Ebu fikiri kijana mdogo kama mime hata 30 sijafika ndiyo kwanza nipo 27 nina zaidi ya milioni 150 kwenye akauti wewe una nini? Yaani utakuta ndiyo kwanza una zaidi ya 30+ plus maisha yako hauyaelewi kabisa aisee poleni
Call me bilionaire kekeman, poleni mnashindwa njaa sie tunashinda.mijihela.
Kwani awamu ya samia ipoje mkuu?Wacha usiwastue waendelee kuimbishwa porojo na Machadema watagawiwa pesa [emoji38][emoji1787]
Mwisho japo umeweka chumvi nyingi ila msipotoka awamu ya Samia hutoki tena.
😂 vimaskin vya bongo ni shidaUshapoteana....
Miaka 27 bado unaingiza 50M? Ujana wako wote umeuchezea sasahivi unakuja kutupigia kelele hapa? Unadhani kuna mtu hata mmoja unamzidi humu JF?
Mtoa mada anasumbuliwa na tatizo la ukosefu wa lishe bora.
Nyie vijana endeleeni kupiga majungu na uzandiki maskani sie vijana wenzenu tunaendelea kupiga maokoto kwenye kilimo just imagine kama mie naweza.kuingiza milioni 50 kwa mwaka wewe kijana mwenzangu unashindwa nini? Nyie sio kazi.yenu kupiga majungu na uzandiki vijiweni? Na wengine kazi kuvuta bangi tu?
Vijana kwenye kilimo kuna hela.asiwaambie mtu aisee last year nili earn 30 milioni na this year nimekamata milioni 50 per year nyie wengine mtashindwa nini?
Au mnasubiria serikali yenu ya maCcm ikawapa ajira? Ajira si kitu ni michosho tu asiwaambie mtu si unaona mpaka nimebadilisha jina mpaka sasa najiita bilionaire kekeman?
Ebu fikiri kijana mdogo kama mime hata 30 sijafika ndiyo kwanza nipo 27 nina zaidi ya milioni 150 kwenye akauti wewe una nini? Yaani utakuta ndiyo kwanza una zaidi ya 30+ plus maisha yako hauyaelewi kabisa aisee poleni
Call me bilionaire kekeman, poleni mnashindwa njaa sie tunashinda.mijihela.
Billionea unalima kilimo gani mkuu
Mental case
Cheza ka nchezaHakuna Bilionea hapo
Pmsamawani bilionea unajishugulisha na kilimo cha. zao gan?
Majungu na.wivu pro maxKonyo
Cheza ka ncheza
Umenikumbusha ngoma ya ngapulilah ya vijana jazz bonge la ngoma mzee.Huyu kijana mwenzetu, Kila siku tupo nae maskani Anakula ofa za watu, anapoishi hata hapajulikani Tumetafuta, tumeuliza, hakuna ajuae Anavyozuga, anavyopita Si umdhaniae Na hafananii kabisa, na fix anazofanya Akidanganya kwa kina Unaingia kingi unafuata, kumbe hana helaaaa Longo longo nyingi Yahaya unaishi wapiKwani jina lako halisi nani Yahaya eeehhOooh Yahaya, oooh Yahaya, oooh Yahaya Maskani yako Kinondoni Nyumba namba haijulikani Yahaya eeeehhOooh Yahaya, oooh Yahaya, oooh yahaya
Awazavyo mtu ndivyo alivyo , pambana kijana , ipo siku utafikia kilele cha ndoto zako.
Tena huyo ni afisa Kilimo na kishikwambi juuHaka katangazo umekaweka kitaalam sana Afsa!