MgosiMnubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2022
- 890
- 1,487
Dj mushizo huyoo
Ni nomaaaaaaaaaa
Ni nomaaaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewai kufanya na warefu,wafupi,wembamba,,weupe weusi,wazenji, wakurya,wamasai, big booty, mpaka kuvuka mipaka wabotwana e.t.c nilicho kuja kugundua ni kujisumbua TU Utofauti ni mdogo TU.Baada ya kupigwa na kitu kizito ndio unaimba wivuuuu hahahahaha
Wimbo una trend Sana temeke na viunga vyake..Dj mushizo huyoo
Ni nomaaaaaaaaaa
Kwahiyo ushakubali kuwa nyama na maharage hazifanani ee?Tunatofautina risky TU,Tena huyu was reja reja anapewa kiufundi Ili akumbukwe atoe miadi tena!
Huyo aliezoeleka anapewa kimazoea tu mradi siku hazigandi!
Wivuuuu, mama wivuuuDj mushizo huyoo
Ni nomaaaaaaaaaa
Endelea kujifariji, nasemaje nasemajeNimewai kufanya na warefu,wafupi,wembamba,,weupe weusi,wazenji, wakurya,wamasai, big booty, mpaka kuvuka mipaka wabotwana e.t.c nilicho kuja kugundua ni kujisumbua TU Utofauti ni mdogo TU.
Nimetulia na familia yangu hata sipepesi macho.
Nisha tundika daluga kitambo Sana Mimi ni mstaafu kwa Sasa.
We ndo mzuri tupa hicho chuma cha kavu ford sio gari inayokufaa na kununulia Ferrari💝💝♥️♥️♥️Aiiii. Jamaaan, love you more
Ila me nishaolewa miaka 48 iliopita
Sahii nalea wajukuu na kuandika hadithi na vitabu
Gari naendesha ni Autorek Ford Ranger
Nasemaje nasemajeEndelea kujidanganya...wanawake sasa hivi wameshuka bei kwelikweli....wala sio tatizo tena...
Ukimuona mtu analilia mwanamke ujue huyo jamaa ni lofa kwelikweli....
Ni hayo tu....
Sisemi na wowoteWimbo una trend Sana temeke na viunga vyake..
Dj Mushizo ndio Kama dj Khaled wa bongo 😊
Ferrari endesha wewe kwanza boss Me sihitaji gari za vijana nataka gari za kazi naenda nazo mpaka kijijiniWe ndo mzuri tupa hicho chuma cha kavu ford sio gari inayokufaa na kununulia Ferrari💝💝♥️♥️♥️
Nasemaje hilo goma ukilisikiliza ukiwa uko mitungi huondoki io baa..😋Wimbo una trend Sana temeke na viunga vyake..
Dj Mushizo ndio Kama dj Khaled wa bongo 😊
Sikuhizi wanaume mnalia hivi
Nakupa mapenzi
Nakupa vichenji
Nini haupati,
Vikoba nimekulipia
Dah, ila wanaume mnajua kulia? Mpaka mnaenda studio mnaimba kabisa
Akina mama wapunguzieni adhabu wanaume wa watu jamaan, mtawamaliza mjue
Achana na ilo beat ukichanganya na mixing ile ya ngoma alio malizia mwishoni ya way back lazima uruke juu😂Wivuuuu, mama wivuuu
Yaan,Endelea kujifariji, nasemaje nasemaje
Anaekula nyama hawezi fanana na anaekula kunde
Basi nakununulia ndege ✈️✈️✈️ kipenziFerrari endesha wewe kwanza boss Me sihitaji gari za vijana nataka gari za kazi naenda nazo mpaka kijijini
Ferrari endesha wewe kwanza boss Me sihitaji gari za vijana nataka gari za kazi naenda nazo mpaka kijijini
Uuuuwi, sicheki na wowoteeeNasemaje hilo goma ukilisikiliza ukiwa uko mitungi huondoki io baa..😋
Demu mkali hapatikani ovyoYa nini ulilie hivyo kwani mwanamke yupo peke yake? Ukiona anazingua tafuta demu mwingine tu hakuna kubembelezana.
WahuniiiiiiiiiAchana na ilo beat ukichanganya na mixing ile ya ngoma alio malizia mwishoni ya way back lazima uruke juu😂