MgosiMnubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2022
- 890
- 1,487
Naulinda wangu moyoooo😂😂😂Sisemi na wowote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naulinda wangu moyoooo😂😂😂Sisemi na wowote
Kumbe imefanyiwa remix nyingi Mimi nimesikiliza ya baddest pekee ntaitafutaa hiyo ya ibra.inabidi uipate na ile aliyoimba na ibraah pia utainjoi mkuu
Ya nini ulilie hivyo kwani mwanamke yupo peke yake? Ukiona anazingua tafuta demu mwingine tu hakuna kubembelezana.
Hahaha una hasira sana mkuu inaonekanaKwa nini ufanye uwekezaji mkuu, kwani mapenzi ni biashara?
Ametisha sana ibraah umoKumbe imefanyiwa remix nyingi Mimi nimesikiliza ya baddest pekee ntaitafutaa hiyo ya ibra.
Sisemi na wowote
Msikilize philomenq ameongea ukweli🤣 unazinguliawa na mtu mmoja, unakutana na warembo zaidi yake na mwenye busara zaidi yake ya nini kung'ang'ana philomena?
HayupoNgoma ni zaidi ya poa sijui nani atakuja mtoa kwa huu mwaka tunao malizia
Mapenzi ni zaidi ya biasharaKwa nini ufanye uwekezaji mkuu, kwani mapenzi ni biashara?
Aiseeinabidi uipate na ile aliyoimba na ibraah pia utainjoi mkuu
Sipendwi na wowowteNjoo kipenzi huku faragha nikung'ate sikio
HahaahahNaulinda wangu moyoooo😂😂😂
Mkuu huwa nikizinguliwa nakuacha na ninakufuta mara moja, kama naona kukusamehe kuta ninyima amani ya moyo, tena sikuwazi kabisa hasa pale nitakapo endelea kuishi nakuona warembo na wenye busara zaidi yako🤔Leo 2024 ndio umejua dunia ina watu bilion 6
Baada ya kulizwa na kupigwa na kubabuliwa
It's lonely up there my dia chose wisely
Sipendwi na wowowteNyie munawapataje mimi Kila nae jaribu nagonga mwamba
Sipendwi na wowoteHayupo
SEMA kibwagizo kipo vizuri Sanaa anapo SEMA
Wivuu wivuu mamawe wivuu wivuu mamawe 😊
Nyie munawapataje mimi Kila nae jaribu nagonga mwamba
Kabisa, tatizo mapenzi yamechanganywa na njaa ambazo hata wazazi wake wameshindwa kumtatulia 🤣Mapenzi ni zaidi ya biashara
AiseeLabda unatafuta Demu wa kufanya naye maisha ila hawa wa kusuzia RUNGU wapo wa kumwaga sana.
Ni sheedahKabisa, tatizo mapenzi yamechanganywa na njaa ambazo hata wazazi wake wameshindwa kumtatulia 🤣
Hongera kwa hatua ya 1 ya mapenziMkuu huwa nikizinguliwa nakuacha na ninakufuta mara moja, kama naona kukusamehe kuta ninyima amani ya moyo, tena sikuwazi kabisa hasa pale nitakapo endelea kuishi nakuona warembo na wenye busara zaidi yako🤔