Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #41
Ndege hapana bossBasi nakununulia ndege ✈️✈️✈️ kipenzi
Labda uninunulie Mbingu anayokaa Yesu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndege hapana bossBasi nakununulia ndege ✈️✈️✈️ kipenzi
Demu mkali hapatikani ovyo
Bado hujapenda, bado hujasema
Dunia ya sasa ,ukiona mtu analilia mapenzi jua hiyo ni mshamba, dunia ina watu wengi zaidi ya bilion 6 ,ukizingua nakuzingua nasonga mbele🚮
Jamaa sijui aliwaza Nini NGOMA ipo poa Sanaa 😊 😅Nasemaje hilo goma ukilisikiliza ukiwa uko mitungi huondoki io baa..😋
Aiiii. Jamaaan, love you more
Ila me nishaolewa miaka 48 iliopita
Sahii nalea wajukuu na kuandika hadithi na vitabu
Gari naendesha ni Autorek Ford Ranger
Hapo ukifika lazima uimbe kwa sauti ya juu kuliko uliyoanza nayoUuuuwi, sicheki na wowoteee
AiseeKwani naula ukali wake? Mimi nataka UTELEZI tu ,hizo hips/kalio haziondoi UPWIRU ,hata pisi mbovu ana utelezi pia.
WoyooooooHuku Ni kujifariji mm mbona Sina kweny b 6
Ngoma ni zaidi ya poa sijui nani atakuja mtoa kwa huu mwaka tunao maliziaJamaa sijui aliwaza Nini NGOMA ipo poa Sanaa 😊 😅
Ngoma haipoiJamaa sijui aliwaza Nini NGOMA ipo poa Sanaa 😊 😅
Kweli bossHumu jf hakuna masikini
Wivuuuuuu, wivuuu mama wivuuuHapo ukifika lazima uimbe kwa sauti ya juu kuliko uliyoanza nayo
Yala yala yah......
Yaan jumatatu hii ndio niliusikiliza huo wimbo vzr baada ya kuusikia uki trend nimependa Ile remix ya baddest na huyo dogo.Sisemi na wowote
Wivuuuuu, wivu baba wivuu
Kila bodaboda anapigaNgoma ni zaidi ya poa sijui nani atakuja mtoa kwa huu mwaka tunao malizia
Yaani we usijali ukitkacho utapata jongea PM kwanza unipe namba nikutumie million ya chai keshoNdege hapana boss
Labda uninunulie Mbingu anayokaa Yesu
Sisemi na wowoteYaan jumatatu hii ndio niliusikiliza huo wimbo vzr baada ya kuusikia uki trend nimependa Ile remix ya baddest na huyo dogo.
Sisemi na wowoteYaani we usijali ukitkacho utapata jongea PM kwanza unipe namba nikutumie million ya chai kesho
🤣 unazinguliawa na mtu mmoja, unakutana na warembo zaidi yake na mwenye busara zaidi yake ya nini kung'ang'ana philomena?Huku Ni kujifariji mm mbona Sina kweny b 6
Kwa nini ufanye uwekezaji mkuu, kwani mapenzi ni biashara?Kinachowauma watu ni kuwekeza mzee mwenzangu. Akifikiria investments alizofanya daah.!
Ndio maana mimi huwa nawaambia vijana wenzangu usiweke kwa mwanamke, au ukiona kuna umuhimu kidogo basi angalao wekeza kiasi ambacho unaweza kustahimili maumivu ya kukipoteza
inabidi uipate na ile aliyoimba na ibraah pia utainjoi mkuuYaan jumatatu hii ndio niliusikiliza huo wimbo vzr baada ya kuusikia uki trend nimependa Ile remix ya baddest na huyo dogo.