Kilio cha mwanaume kwenye mapenzi kwa sasa ni hiki

Kilio cha mwanaume kwenye mapenzi kwa sasa ni hiki

Hicho ni kilio cha baadhi ya wanaume na siyo wote,, sasa kumlipia mwanamke ombaomba hela ya kikoba kuna mmaliza nini mwanaume ili hali amefanya hayo kama wajibu wake unavyo mtaka afanye?? 😄😄
Ambao hamjawahi kupenda naomba mtupishe kidogo
Hapa tunahitaji wanaume wanaoishi kwenye uhalisia na waliowahi kupenda na kuumizwa
We tupishe kwanza na imagination zako
 
Hao wanaolia lia ni underground uwezi kuta mwana analia hovyo et oooh......

Kwa sasa kuna watu tumefikia stage ya kukimbia wadada aiseeee hii too much
Kukimbia ndio unaona stage nzuri?
Wenzio wako steji ya wadada wanawatafuta wenyewe ambayo ndio steji ya 2 kutoka mwisho, kabla hujachungulia jela
 
Ambao hamjawahi kupenda naomba mtupishe kidogo
Hapa tunahitaji wanaume wanaoishi kwenye uhalisia na waliowahi kupenda na kuumizwa
We tupishe kwanza na imagination zako
Niliwashawahi kuumizwa mara moja Ila sijui yule Dada alitumia mbinu gan mpka tukakaa mda mrefu Kwny mahusiano nlikua na miaka mingi kazi ya ilikua ni kuacha wadada Ila nilipo fika pale nilikwama hadi leo bado sijaona mtu anafit lile pengo kale imagine una date na mwanamke akikasrika ukitumia hela anairudisha😂
 
Niliwashawahi kuumizwa mara moja Ila sijui yule Dada alitumia mbinu gan mpka tukakaa mda mrefu Kwny mahusiano nlikua na miaka mingi kazi ya ilikua ni kuacha wadada Ila nilipo fika pale nilikwama hadi leo bado sijaona mtu anafit lile pengo kale imagine una date na mwanamke akikasrika ukitumia hela anairudisha😂
Bado hujasema
Na utasema
Ndio maana wenzio wanaimba wivuuu
 
Niliwashawahi kuumizwa mara moja Ila sijui yule Dada alitumia mbinu gan mpka tukakaa mda mrefu Kwny mahusiano nlikua na miaka mingi kazi ya ilikua ni kuacha wadada Ila nilipo fika pale nilikwama hadi leo bado sijaona mtu anafit lile pengo kale imagine una date na mwanamke akikasrika ukitumia hela anairudisha😂
 
Kukimbia ndio unaona stage nzuri?
Wenzio wako steji ya wadada wanawatafuta wenyewe ambayo ndio steji ya 2 kutoka mwisho, kabla hujachungulia jela
Ahahah we shangazi jau kweli...
Mi nakimbia kutokana na wengi wanakuja alafu mi sielewi an .

Unashangaa mtu anakupendea nn kama pesa huna,,, Sura huna... Yaan huna huna huna ila bado wanashobokea dundo...

Achana na wake za watu bado kuna lundo la mashangazi..
😂😂😂😂
 
Ahahah we shangazi jau kweli...
Mi nakimbia kutokana na wengi wanakuja alafu mi sielewi an .

Unashangaa mtu anakupendea nn kama pesa huna,,, Sura huna... Yaan huna huna huna ila bado wanashobokea dundo...

Achana na wake za watu bado kuna lundo la mashangazi..
😂😂😂😂
Uyo mtotooooo, jela very soon we subiri tu
 
Ahahah we shangazi jau kweli...
Mi nakimbia kutokana na wengi wanakuja alafu mi sielewi an .

Unashangaa mtu anakupendea nn kama pesa huna,,, Sura huna... Yaan huna huna huna ila bado wanashobokea dundo...

Achana na wake za watu bado kuna lundo la mashangazi..
😂😂😂😂
 
Siio rahisi Niko makini skuhizi kutafta maendeleo yangu binafsi yananifanya nisiwe serias na mahusiano nimepata demu ambaye hajaTulia na namimi sijatulia🤣hapa ni ngoma droo
Bado hujasema
Na utasema
Ndio maana wenzio wanaimba wivuuu
 
Ahahah we shangazi jau kweli...
Mi nakimbia kutokana na wengi wanakuja alafu mi sielewi an .

Unashangaa mtu anakupendea nn kama pesa huna,,, Sura huna... Yaan huna huna huna ila bado wanashobokea dundo...

Achana na wake za watu bado kuna lundo la mashangazi..
😂😂😂😂
Unajipakulia minyama
 
Ahahah we shangazi jau kweli...
Mi nakimbia kutokana na wengi wanakuja alafu mi sielewi an .

Unashangaa mtu anakupendea nn kama pesa huna,,, Sura huna... Yaan huna huna huna ila bado wanashobokea dundo...

Achana na wake za watu bado kuna lundo la mashangazi..
😂😂😂😂
Unajipakulia minyama
 
Sikuhizi wanaume mnalia hivi

Nakupa mapenzi
Nakupa vichenji
Nini haupati,
Vikoba nimekulipia

Dah, ila wanaume mnajua kulia? Mpaka mnaenda studio mnaimba kabisa

Akina mama wapunguzieni adhabu wanaume wa watu jamaan, mtawamaliza mjue
Wengi ni majambazi sikuhizi ,nimachawa sikuhizi, malengo ni kumuumiza mwanaume,kisa na mkasa, kuwa wanaume wanajiweza ,wanajiona na wanawaonea ,ama hisia za kuwanyanyasa,hivyo kilicho baki ni kuwakomoa.
 
Kuumiza kujitakia mwanamke mwenye tamaa sana dawa yake unampotezea tu mpaka akili imkae Sawa.
 
Back
Top Bottom