uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Mtaani kwangu (Pugu) ni 6000Nusu ni Tsh 5000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaani kwangu (Pugu) ni 6000Nusu ni Tsh 5000
Viini lishe vya nyama ya ng' ombe viko juu kuliko kuku!Hata sio dharau gharama za ufugaji zimekuwa juu sana usafiri juu lazima nyama ipande
Cha msingi ufugaji wa kuku uongezwe ili kufeed gape
Au ale mapupu na nyama za kichwaHata sio dharau gharama za ufugaji zimekuwa juu sana usafiri juu lazima nyama ipande
Cha msingi ufugaji wa kuku uongezwe ili kufeed gape
Hayo ni malapulapu sio nyamaMtaani kwangu (Pugu) ni 6000
Wee buku 13 nyingi sana aisee sii mchezo...wacha tule kisamvj na mlendaKisa nyama 13000 umeona uwageukie graduates!?
Anyway mbona bei ya kawaida we unataka ununue nyama 6000
Nchi hii inanyama basi wote tunakula malupulupu nenda pale ggm uone nyama inaagizwq kutoka ugandaHayo ni malapulapu sio nyama
Mimi huku nusu ni Tsh 5000Mtaani kwangu (Pugu) ni 6000
Kisamvu kikilala ni zaidi ya nyama 😋Wee buku 13 nyingi sana aisee sii mchezo...wacha tule kisamvj na mlenda
Kwahiyo unataka kusema nini?Nchi hii inanyama basi wote tunakula malupulupu nenda pale ggm uone nyama inaagizwq kutoka uganda
Kabisaaa upige na ugali wako plus mtindiKisamvu kikilala ni zaidi ya nyama 😋
Safi huko bado ni nafuu japo sio tofauti kubwa sanaMimi huku nusu ni Tsh 5000
Mbogamboga haziwezi kuwa mbadala wa nyama bwashee!Mboga za majani zipo na protein ipo kwenye maharage
Kwanza unakuwa vegetarian inakupa afya Bora zaidiKabisaaa upige na ugali wako plus mtindi
😂😂😂 Wale wapuuzi watawaza ujinga wao!!Kisamvu kikilala ni zaidi ya nyama 😋
Sasa hiyo ni nusu tena hapo hujaibiwa na muuzaji! Tunasema bei ya nyama ya kutosha kaya!Mimi huku nusu ni Tsh 5000