uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Wote tunakula malupulupu yenye bei tofauti tofauti wale madiplomatics wanaagiza kutoka uganda na NamibiaKwahiyo unataka kusema nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote tunakula malupulupu yenye bei tofauti tofauti wale madiplomatics wanaagiza kutoka uganda na NamibiaKwahiyo unataka kusema nini?
That means fursa ipo kwenye ufugaji kuku wa kienyejiAcha tuu ndugu yangu...siku hizi nakula kuku broiler kwa sana..kikubwa sili mifupa..
Kwamba nawakanganya!?😂😂😂 Wale wapuuzi watawaza ujinga wao!!
Kwahiyo tuwaache vijana wawe ombaomba na kamwe nyama wataisoma kwenye vitabu vya historiaUlishawahi kufuga hao ng'ombe au unaongea tu.
Nyama choma yenye mafuta ndizi rost na bia baridi 😁😁 ni hbr ingineAcha tuu ndugu yangu...siku hizi nakula kuku broiler kwa sana..kikubwa sili mifupa..
Nyama choma ya mishikaki 4Hiyo ya buku jero utapimiwa minofu miwili umpelekee mamsapu atakutupia usoni
Sasa unaongea vitu gani? Kama kufuga ni kugumu je kuzurula ni afadhari?Ulishawahi kufuga hao ng'ombe au unaongea tu.
Kiuhalisia soko linaonyesha wanapiga hela! Maana kama wasingekuwa wanauza bei ingeshuka!ChoiceVariable atakuambia wafugaji wanapiga pesa!
Yah..ukiambiwa elfu 15 kuku wa kg moja unaona bora huyo ana vipande vingi vitatosha...That means fursa ipo kwenye ufugaji kuku wa kienyeji
hata uko kwenye kuku gharama za chakula zimechangamka piaViini lishe vya nyama ya ng' ombe viko juu kuliko kuku!
Ulianza vizuri ila hapo mwisho umeonyesha hasira na vijana wanaomaliza chuo kwa shida zako.Kwa takwimu za kimataifa, katika bara la Africa, Tanzania ni nchi ya pili kwa wingi wa Ng'ombe (bila kujumuisha kondoo, mbuzi, na kuku) ikitanguliwa na Ethiopia. Sasa cha kujiuliza, kitu gani kinapelekea kupanda kwa bei ya nyama mpaka kilo 13,000?.
Hivi mnajua maana ya 13,000? Kwa familia ya kawaida mboga ya siku moja kilo moja haitoshi angalau kilo mbili kwa 26,000/=. Hii ni aibu kama taifa. Kwa upande wa pili, hivi hawa vijana waliomaliza shule na vyuo wanaolialia hakuna ajira na kushinda mitaani wanazurula na bahasha wakiomba kazi hawaoni hii fursa?
Wanashindwa nini kutafuta mapori na kupewa kibali na serikali za vijiji na kununua ndama na kuzikatia majani na kuzichotea maji na kuzinenepesha ndani ya mwaka zikazaliana ndani ya miaka mitatu wakaanza kuvuna? Yangu ndo haya napita!🚶🏻♀️🚶🏻🏃🏻♀️🏃🏻
🐖🐖 Bei nafuu na utamu asilia!! Ten moja tuKitimoto ni 10-12 elfu kutegemea eneo ulipo kwa mjini.
Kule kwetu kilo ya nyama tamu kuliko zote duniani (kitimoto) ni 7000 hadi 5000 kutegemeana na kijiji ulipo.
Hamieni huku kwenye Noah aisee hizo bei zitawaua
Angeenda hata minadani akajionee ng'ombe wanauzwajeHuyo anayetoa bei elekezi anafuga hata mbwa kweli?
Kitimoto haiwezi kuwa mbadala wa nyama ya ng'ombe! Sijawahi ona sherehe za heshima zikiandaliwa na nyama ya nguruweKitimoto ni 10-12 elfu kutegemea eneo ulipo kwa mjini.
Kule kwetu kilo ya nyama tamu kuliko zote duniani (kitimoto) ni 7000 hadi 5000 kutegemeana na kijiji ulipo.
Hamieni huku kwenye Noah aisee hizo bei zitawaua
Nenda ukafuge sasa,unalialia et bei kubwa.Sasa unaongea vitu gani? Kama kufuga ni kugumu je kuzurula ni afadhari?
Kwahiyo nyama ya Uganda na Namibia ni tofauti na yetu Tanzania ?Wote tunakula malupulupu yenye bei tofauti tofauti wale madiplomatics wanaagiza kutoka uganda na Namibia