Kilo moja ya nyama kuuzwa 13,000 ni laana au ni nini?

Kilo moja ya nyama kuuzwa 13,000 ni laana au ni nini?

Tatizo la kupanda Kwa bei ya nyama limeanza baada ya nchi ya Comoro Kununua ng'ombe na mbuzi
 
Sababu ni zilezile.

Neocolonialism

Lack of patriotism

Kiasi kwamba Nyama yote inaenda Nje kwenye Bei nzuri.

Humu ndan tunabakishiwa makombo.

Kwnda nyama nje sio jambo baya, ni tija kwetu na wafugaji wetu, ila kama demend ya nje imekuwa kubwa kulitakiwa kuwe na taratibu maalum za kukuza uzalishaji
 
Yaani mimi naomba ifeke hata 20,000 serikali hii inatutesa sana wafungaji? Kila siku tunapigwa kama mbwa kama hauna dawa unafilisika siku moja tu.
 
Kwa takwimu za kimataifa, katika bara la Africa, Tanzania ni nchi ya pili kwa wingi wa Ng'ombe (bila kujumuisha kondoo, mbuzi, na kuku) ikitanguliwa na Ethiopia. Sasa cha kujiuliza, kitu gani kinapelekea kupanda kwa bei ya nyama mpaka kilo 13,000?.

Hivi mnajua maana ya 13,000? Kwa familia ya kawaida mboga ya siku moja kilo moja haitoshi angalau kilo mbili kwa 26,000/=. Hii ni aibu kama taifa. Kwa upande wa pili, hivi hawa vijana waliomaliza shule na vyuo wanaolialia hakuna ajira na kushinda mitaani wanazurula na bahasha wakiomba kazi hawaoni hii fursa?

Wanashindwa nini kutafuta mapori na kupewa kibali na serikali za vijiji na kununua ndama na kuzikatia majani na kuzichotea maji na kuzinenepesha ndani ya mwaka zikazaliana ndani ya miaka mitatu wakaanza kuvuna? Yangu ndo haya napita!🚶🏻‍♀️🚶🏻🏃🏻‍♀️🏃🏻
Kama ngombe ni ghali anza kula vyura, konokono, ngedere, panya, mbwa, senene, mijusi, panya buku etc
 
Kati Ya Uthibitisho Kwamba Sisi Ni Masikini Ni kwenye Maswala Ya Kula Vyakula Ni Kitu Cha Kwanza Kwa Binadamu Awe Masikini Au Tajiri Sasa Ikiwa Nyama Ni Anasa Na kuipata Ni kama kumiliki V8 Basi Tuna Safari Ndefu Kama Taifa Na Hii Imeenda Mpaka Kwa Maharagwe Eti Nayo Yamekuwa Ishu .
 
kwani ni lazima kula nyama? kuna na kina janabi wanapigilia misumari kabisa kuwa nyama ni chanzo cha magonjwa yooote yasiyoambukizwa unadhani mtatoboa? kazi kwenu. mbombongafu
 
Kwa takwimu za kimataifa, katika bara la Africa, Tanzania ni nchi ya pili kwa wingi wa Ng'ombe (bila kujumuisha kondoo, mbuzi, na kuku) ikitanguliwa na Ethiopia. Sasa cha kujiuliza, kitu gani kinapelekea kupanda kwa bei ya nyama mpaka kilo 13,000?.

Hivi mnajua maana ya 13,000? Kwa familia ya kawaida mboga ya siku moja kilo moja haitoshi angalau kilo mbili kwa 26,000/=. Hii ni aibu kama taifa. Kwa upande wa pili, hivi hawa vijana waliomaliza shule na vyuo wanaolialia hakuna ajira na kushinda mitaani wanazurula na bahasha wakiomba kazi hawaoni hii fursa?

Wanashindwa nini kutafuta mapori na kupewa kibali na serikali za vijiji na kununua ndama na kuzikatia majani na kuzichotea maji na kuzinenepesha ndani ya mwaka zikazaliana ndani ya miaka mitatu wakaanza kuvuna? Yangu ndo haya napita!🚶🏻‍♀️🚶🏻🏃🏻‍♀️🏃🏻
ni muhimu kula kuku mzima kwa nusu bei ya nyama gentleman 🐒
 
Kwa takwimu za kimataifa, katika bara la Africa, Tanzania ni nchi ya pili kwa wingi wa Ng'ombe (bila kujumuisha kondoo, mbuzi, na kuku) ikitanguliwa na Ethiopia. Sasa cha kujiuliza, kitu gani kinapelekea kupanda kwa bei ya nyama mpaka kilo 13,000?.

Hivi mnajua maana ya 13,000? Kwa familia ya kawaida mboga ya siku moja kilo moja haitoshi angalau kilo mbili kwa 26,000/=. Hii ni aibu kama taifa. Kwa upande wa pili, hivi hawa vijana waliomaliza shule na vyuo wanaolialia hakuna ajira na kushinda mitaani wanazurula na bahasha wakiomba kazi hawaoni hii fursa?

Wanashindwa nini kutafuta mapori na kupewa kibali na serikali za vijiji na kununua ndama na kuzikatia majani na kuzichotea maji na kuzinenepesha ndani ya mwaka zikazaliana ndani ya miaka mitatu wakaanza kuvuna? Yangu ndo haya napita![emoji2212][emoji1321][emoji2090][emoji1322]
Iuzwe tu hata elfu 20.
Siku hizi tunanunua nyama za hovyo sana za ng'ombe wa kisasa.Unakuta nyama inanuka madawa tupu hasa huku shinyanga.Wanachinja ng'ombe wagonjwa wengi na wakaguzi wanapitisha tu.Bora watu waache kula huo uchafu tuwaachie walevi peke yao

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kwa takwimu za kimataifa, katika bara la Africa, Tanzania ni nchi ya pili kwa wingi wa Ng'ombe (bila kujumuisha kondoo, mbuzi, na kuku) ikitanguliwa na Ethiopia. Sasa cha kujiuliza, kitu gani kinapelekea kupanda kwa bei ya nyama mpaka kilo 13,000?.

Hivi mnajua maana ya 13,000? Kwa familia ya kawaida mboga ya siku moja kilo moja haitoshi angalau kilo mbili kwa 26,000/=. Hii ni aibu kama taifa. Kwa upande wa pili, hivi hawa vijana waliomaliza shule na vyuo wanaolialia hakuna ajira na kushinda mitaani wanazurula na bahasha wakiomba kazi hawaoni hii fursa?

Wanashindwa nini kutafuta mapori na kupewa kibali na serikali za vijiji na kununua ndama na kuzikatia majani na kuzichotea maji na kuzinenepesha ndani ya mwaka zikazaliana ndani ya miaka mitatu wakaanza kuvuna? Yangu ndo haya napita!🚶🏻‍♀️🚶🏻🏃🏻‍♀️🏃🏻
Safi sana we endelea kufuga mindevu na smartphone tumeingia katika solo huru kama vipi na ww fuga
 
Back
Top Bottom