Kilo moja ya nyama kuuzwa 13,000 ni laana au ni nini?

nyama hailimwi ndugu..

watanzania wengi mnakula misuli sio nyama wacha niwaibie utalamu kidogo ndugu zangu
 
Kitimoto ni 10-12 elfu kutegemea eneo ulipo kwa mjini.
Kule kwetu kilo ya nyama tamu kuliko zote duniani (kitimoto) ni 7000 hadi 5000 kutegemeana na kijiji ulipo.

Hamieni huku kwenye Noah aisee hizo bei zitawaua
 
Kwasasa upatikanaji wa mifugo ni mgumu na wakipatikana bei ni kubwa sana... Hii imesababishwa na gharama kuwa kuwa kubwa kuwahudumia hao mifugo. Chakula bei juu na madawa pia
 
Ulianza vizuri ila hapo mwisho umeonyesha hasira na vijana wanaomaliza chuo kwa shida zako.

Kama unaona kuna fursa changamkia then uje kuajiri hao vijana kukata majani.
 
Kitimoto ni 10-12 elfu kutegemea eneo ulipo kwa mjini.
Kule kwetu kilo ya nyama tamu kuliko zote duniani (kitimoto) ni 7000 hadi 5000 kutegemeana na kijiji ulipo.

Hamieni huku kwenye Noah aisee hizo bei zitawaua
Kitimoto haiwezi kuwa mbadala wa nyama ya ng'ombe! Sijawahi ona sherehe za heshima zikiandaliwa na nyama ya nguruwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…