Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Jamaa wanachezea milleage sana. Leo nimemdaka mmoja. Gari ina 156,000km yeye kasema ina 46,000km. Google don't lie nimeisaka ile gari jamaa kaikataa siyo yenyewe.... Bad enough nishailipia... Hapa nawaza nimtie mahakamani
Aisee hapo mtasumbuana sana kama kasha ikamata hela yako. lakini umepata pa kuanzia na pa kujifunza.
 
Bora washushe 0km tujue moja. Halafu Hawa jamaa ( madalali) wamazunguka nazo Sana bongo asubuhi wanaxipiga perfume Kama maiti
gari za kibongo zimezeeshwa sana kwa kilometa za uzurulaji kapita kwenye kila aina ya njia mbovu makorongo na mabonde.. bado mtu akushuhie mileage. Muda wa kubadili timing chain/belt nani anao?
 
Hao watakua madalali wa Round about ya Mlimani city/kanisa la kwa Kakobe jamaa wasanii Sana wale
 

Dubai kwa wahuni... πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…