Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Pagumu sana mzee yani nmemkamata patamu ila kakataa mpaka picha za gari anasema yapo mengi yanafanana.... Keng* sana....Hawezi kubali [emoji23][emoji23][emoji23] maniner
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pagumu sana mzee yani nmemkamata patamu ila kakataa mpaka picha za gari anasema yapo mengi yanafanana.... Keng* sana....Hawezi kubali [emoji23][emoji23][emoji23] maniner
Aisee hapo mtasumbuana sana kama kasha ikamata hela yako. lakini umepata pa kuanzia na pa kujifunza.Jamaa wanachezea milleage sana. Leo nimemdaka mmoja. Gari ina 156,000km yeye kasema ina 46,000km. Google don't lie nimeisaka ile gari jamaa kaikataa siyo yenyewe.... Bad enough nishailipia... Hapa nawaza nimtie mahakamani
Mpeleke mahakamaniJamaa wanachezea milleage sana. Leo nimemdaka mmoja. Gari ina 156,000km yeye kasema ina 46,000km. Google don't lie nimeisaka ile gari jamaa kaikataa siyo yenyewe.... Bad enough nishailipia... Hapa nawaza nimtie mahakamani
Bora washushe 0km tujue moja. Halafu Hawa jamaa (madalali) wanazunguka nazo Sana bongo asubuhi wanazipiga perfume Kama maiti. Ukijichanganya unaliaHilo usiulize tunapigwa Sana, ukianglia Gari nyingi zinachezea km 40k,60,70, nyingi hawa haizidi hapo
gari za kibongo zimezeeshwa sana kwa kilometa za uzurulaji kapita kwenye kila aina ya njia mbovu makorongo na mabonde.. bado mtu akushuhie mileage. Muda wa kubadili timing chain/belt nani anao?Bora washushe 0km tujue moja. Halafu Hawa jamaa ( madalali) wamazunguka nazo Sana bongo asubuhi wanaxipiga perfume Kama maiti
Wataanza kuficha chassis number Ili kukwepa kuumbuliwa hvHii njia nzuri sana nimeipenda [emoji28]
Hao watakua madalali wa Round about ya Mlimani city/kanisa la kwa Kakobe jamaa wasanii Sana waleWanajamvi habari zenu...
Nina jambo linanipa ukakasi kidogo, kuhusu haya magari yanayo uzwa na wabongo wenzetu kwenye page mbali mbali kama insta na kwingineko, ukakasi huo upo hasa kwenye uhalali wa Mileage ya gari husika au kilometa za gari linalouzwa. Japo kuna ukakasi mwingi zaidi ya mileage...
Ipo hivi gari nyingi za SUV mfano Subaru Forester, Harrier, Vanguard, Landcruiser, Dualis, na zinginezo. Gari hizi ukiziangalia kwenye mtandano Befoward. SBT, na page zingine za Japan kwa gari za bei affordable unakuta nyingi gari hizo zina kilometa nyingi kuanzia 110,000 nakuendelea. Zenye mileage ndogo lazima utakuta bei yake imesimama sana na kupelekea kushindwa kuinunua kutoka Japan
Ukija kutafuta au kuangalia hizi za Bongo [emoji23] watu wanaagiza huko Japan, wanatumia then wanaziuza kwa sababu zao mbali mbali kupitia madalali wa page za insta,zoom na kupatana, sasa hizi gari cha kushangaza zina kuwa na low mileage kupita uhalisia, mfano unakuta ina 75,000 kms, na bei anayo kuuzia ni ya kawaida tu, na gari namba ya plate sio ya muda mrefu sana, yaani namba D...,
Hapa nina wasiwasi saana kuwa hizi gari zinashushwa kilometa kwahyo tunapigwa sana,nimeweka mifano kwa picha, tusaidiane mawazo
View attachment 1800662
View attachment 1800663
View attachment 1800664
Ushauri gani hapo unahitaji?Wakuu kwema kuna gari japani inasoma km 110,000 ni mileage reasonable kwa bongo naomba ushauri
Wakuu kwema kuna gari japani inasoma km 110,000 ni mileage reasonable kwa bongo naomba ushauri
Kwa hiyo hata trucks ziwe chini ya 100k? Ishu kwangu sio Kms Bali ubora (Grade) ya gari. Unaweza kupata 40,000km kumbe wangechezea au lilipata ajaliGari nzuri Km ziwe chini ya 100k
Jamaa wanachezea milleage sana. Leo nimemdaka mmoja. Gari ina 156,000km yeye kasema ina 46,000km. Google don't lie nimeisaka ile gari jamaa kaikataa siyo yenyewe.... Bad enough nishailipia... Hapa nawaza nimtie mahakamani
We acha tu. Baadhi ya wabongo si watu wazuri.
Kwemye mwaka 2000 niliagiza gari kwa jamaa anayefanya biashara ya magari anayatoa Dubai, gari lilikuwa safi na ilikuja ikiwa na km kwenye 45,000. Gari ilipofikisha km 100,000 ile namba 1 ilikuwa imechubuliwa vibaya yaani watakuwa waliirudisha kwenye 0 ili waweze kupata hiyo 45,000 kutokana na ilo akili yangu ikaniambia hii gari ilikuwa kwenye km 145,000 wakafanya wamayojua wakairudisha 1 kuwa 0.
Pagumu sana mzee yani nmemkamata patamu ila kakataa mpaka picha za gari anasema yapo mengi yanafanana.... Keng* sana....
Ilikuwa mwaka 2000 wakati huo magari mengi yanatoka DubaiDubai kwa wahuni... 😂😂😂
Dubai kuna wahuni hakuna mfano.Ilikuwa mwaka 2000 wakati huo magari mengi yanatoka Dubai
Pale pembeni ya Kwa Kakobe Wana mashine hata ukitaka 0 km unapataRafiki yangu alinunua gari likiwa na 60k plus kilometres.
Ilipofika 99999km ikaanza tena 00000.
Sijui itakuwa imefika laki ngapi.
Ila nilivoona tu nikajua tayari wahuni walishafanya yao.