Kilometa za Magari yanayouzwa bongo zina uhalali?

Jan wanakula gari kama lilivyo, kama linahitaji matengenezo wanakwambia kabisa
Kabisa mkuu, kuna jamaa yangu alinunua X-Trail pale walimwambia ukweli wa mapungufu yake.
 
Mkuu Niliwahi kusikia kwamba bora ukanunua gari lenye 120+kms huko japan,,,, coz huwa yanafanyiwa service kubwa yakifikisha 100k km

Hapo kuna ukweli??
 
Mkuu Niliwahi kusikia kwamba bora ukanunua gari lenye 120+kms huko japan,,,, coz huwa yanafanyiwa service kubwa yakifikisha 100k km

Hapo kuna ukweli??
Hata mimi nimewahi kusikia maneno kama hayo ila sina uhakikam..binafsi niliagiza gari Japan likiwa na km 110000 na moaka sasa linakaribia km 170000....sijawahi kuligusa chochote kwenye engine zaidi ya Plugs na servise ya oil.....na ignition coil moja...
 
Nyingine imesajiliwa kwa namba BNS ila inasoma 68,000km na inetengenezwa 2002. Hivi kweli miaka 19 gari itembee km hizo sawa na wasitani wa 9.9km kwa siku Japan na Bongo.View attachment 2065498

Ndio hizi gari zimechezewa, hiyo kitu haiwezekani hata kwa akili za kulewa nitakataa..
 
gari za kibongo zimezeeshwa sana kwa kilometa za uzurulaji kapita kwenye kila aina ya njia mbovu makorongo na mabonde.. bado mtu akushuhie mileage. Muda wa kubadili timing chain/belt nani anao?
Madalali wa pale round about ya Mliman city Ni kwikwi
 
Mkuu Kuna hii jamaa kapunguza kilomita 100,000





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…