Kilwa: Kutoka mji bora hadi magofu yasiyo na faida


Dsm hajawahi kuwa mji wa waarabu mji wa waarabu ulikua bagamoyo...mkoloni mwingereza ndio alihamishia bandari dsm mana dsm ilikua ni mji wa wavuvi wadogo wadogo
 
Reli kungolewa na waafrika wenyewe hapana.ni kweli mwingereza alianzisha kitu kinaitwa groundnut scheme ambao badae ukitumia zaid ya paun laki 6 ukaja kufeli vibaya.reli ilikua inaazia nachingwea had mtwara mjin.na kupitia mikindani.ambapo hadi leo mikindan kuna bohari la reli.na daraja pale inavuka bahari.
Kilwa kufa hutokea tu miaka ambayo hakuna anayejua sababu maana miji mingi dunian mingine imegeuka kuwa mahameni.kilwa kweli inasikitisha ingawa wenyewe wataalam wanataka pabaki kama palivyo ila nilipenda pangekuwa kama zanzibar yale majumba yakaliwe na yatumike hiv mfano unatumbukiza hata bilion 5 pale yanakarabatiwa panakua kama mji mkongwe unaweka michezo ya bahari yan unaweka kila kitu cha utalii na uhakik pesa ingerud
 
Tanga kuna maendeleo gan mji unajifia taratibu ule?
Ndio maana nikasema umetumia minzani ipi katika kupima maendeleo ya sehemu husika maana ukiniaminisha kuwa Tanga iliyoachwa na mkoloni ndio hii ya leo itakuwa ni kujizima data kimaksudi
 
Dsm hajawahi kuwa mji wa waarabu mji wa waarabu ulikua bagamoyo...mkoloni mwingereza ndio alihamishia bandari dsm mana dsm ilikua ni mji wa wavuvi wadogo wadogo
Kapitie data vizur maana sehemu nyingi zilizokaachwa na mwarabu kiutawala zilishikiliwa na mwingereza
 
Ibin batuta hakufika kilwa miaka ya 1800,s hapo umekosea!!!!Na sababu ya Kuanguka dola ya kisulutani wa kilwa inajulikana wazi na ukijua asili ya watawala utajua kwanini makabila ya wabantu kutokea eneo la msumbiji ya leo walivamia maeneo ya pwani kuanzia sofala ikiwemo kilwa mpaka maeneo ya miliki ndogo ndogi za mawalii huko Kismayu!!
 
Ubaguzi wa uarabu na uchotara sio uafrika!!!!Huyo mwandishi kaandika maoni yake!!!!Pia nikujulishe tu waarabu hawakuwahi kuwapenda wabantu na popote walipotawala wabantu walikua daraja la chini vizazi mpaka vizazi!!!!Hivyo wazee wetu hawakuwahi kua na upendo na waarabu wala kitu chochote kinachowahusu!!!Sababu hata hao waarabu hawakuwahi kuwapenda wazee wetu!!!Chuki imerithishwa kwa vizazi vyote vya waarabu na machotara wa kiarabu na wwbantu
 
Nitajie mkoa mmoja tu uliokaliwa na waarabu ulioendelea! Hakuna!
Waarabu sijui walikua wanalaana gani kila walipokua wanaweka kituo cha makazi yao wakiondoka ndiyo bas!

Anzia bagamoyo kilwa kondoa na sehem nyingine zilizojaa uarabu hamna kitu!
Kabla. Ya waarabu kuja Afrika, hatukuwa na umaarufu wowote, hata Jina la Afrika ni la kiarabu ุฅูุฑู‚ . Mji mashuhuri Dares salaam ni Jina la kiarabu aliloubatiza muarabu ุฏุงุฑ ุงู„ุณู„ุงู…, wazungu walitukira tushaendelwa kitambo kwa msaada wa waarabu, iliwabidi wawazishie waarabu ili kubadili mind zetu tuwaone wabaya, wachache waliodanganyika wajafuata uzungu na wengune wakagoma akina, Songea Mbano, Mkwawa, n.k wakapambana na Mjerumani. Vita ya Mqjimaji ilikuwa ni Jihaad ya waislaamu dhidi ya Uzungu.

Sasa na wewe niambie Waarabu waliinua miji mingi kuwa maarufu ila ilidhoofishwa baada ya wao kwenda kwasababu ilikuwa miji ya waislamu na watawala walikuwa wakrusto baafa ta uhuru. Je ni mji gani ulikuzwa na wazungu?
 
Hii ndiyo hoja yenye mashiko mpak sasa kk
 
Miliki ya kilwawazungu
Wazungu walikuta waarabu ndio wameendelea sio wabantu!!!Wabantu kwa waarabu walikua vijakazi na watumwa!!!!Waarabu hawakuwahi kuwapenda wabantu mdogo wangu wanatutizama kama race(Rangi) ya jamii ya chini ya kutoa watumwa na vijakazi wa kuwazalishia machotara ili kuendeleza nasaba zao kwa manufaa yao!!!!Ndio maana hata wanaume wa kibantu kuoa mabibi wa kiarabu ilipigwa marufuku kwenye himaya zote za waarabu afrika!!!!Jitahidi usome historia ya wabantu mdogo wangu!!!!Weka udini pembeni tafuta ukweli kuhusu historia ya wabantu
 
Maendeleo huwa yanaletwa na elimu.

Huko kilwa mwarabu aliacha shule gani? Ama chuo gani cha elimu

Naomba mnitajie shule na chuo hata kimoja cha elimu dunia ambacho mwarabu alikijenga ?

Baada ya uhuru serikali ilitaifisha shule zote ziwe za uma.. nitajieni shule za serikali ambazo zilitaifishwa ambazo zilijengwa na waarab
 

Acha kupotosha kabisa. Unapotosha historia makusudi kabisa
 
Chuo cha Al qurayn ni chuo kikuu cha kwanza Afrika na kilijengwa miaka mingi kbla ya Oxford huko Timbuktu. Kilijengwa na mdada wa kiarabu Bi Fatma Al qurayn.

Papa wa kwanza alisoma Hpo.

Ukizungumza kuhusu elimu duniani, unazungumza wataalamu wa Kiislaamu, hivi hujuhi kuwa hata Algebra ni mahesabu ya Mr Aljibriy?
 

Hiko chuo ulichokitaja kiko kilwa ama Tanzania?

Hujasoma hoja yangu ina maneno gani ?

Tunaongelea Tanzania.. soma vizuri hoja yangu.

Baada ya kupata uhuru Serikali chini ya nyerere ilitaifisha shule za wakristo zilizojengwa na wakoloni wazungu mfano pugu , forodhani, mazengo etc

Nimeomba nitajiwe zilizotaifishwa ambazo zilijengwa na wakoloni wa arabu .. maana waarabu walikuja kututawala pia
 

Mwaka gani ? hayo yalifanyika na papa wa kwanza ni nani? Yani ukristo ulioanza kabla ya uislam leo hii papa wa kwaasome chuo cha kiislamu. kaongopee wajinga wenzio madrasa
 
Hao watu wameshindwa wao wenyewe kujiletea maendeleo kwa sababu ya kuendekeza uchawi na ushirikina. Hospital ya Bugando haikujengwa na serikali
 
Waling'oa mataruma baada ya reli kuota nyasi na miti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ