Kim Kardashian na Paris Hilton kuhojiwa sakata la Ronaldo kubaka


Kulikuwepo na tetesi za ujauzito wa Rihana miaka miwili baada ya kutulizwa na jamaa wa Saudia bwana Hassan Jemeel.

Jamaa anafahamiana na Naomi Campbell ambae ni rafiki wa Rihana hivyo connection ikawa kazi ndogo.

Set up 2016


Baadae 2016 jamaa akawa amenyakua mtoto.
 
aiseee hapo faini haiingii? kama ni miaka itakua balaa
 
Wazungu nao kama sisi tu mkuu utofauti ni maarifa baasi! So ni full wivu kwa kwenda mbele!...ila me naamini hapa Perez ndo anamchezea faulo
Kama kweli alifanya na likamalizwa kimyakimya cr7 kaenda na maji!..
 
Kulikuwepo na tetesi za ujauzito wa Rihana miaka miwili baada ya kutulizwa na jamaa wa Saudia bwana Hassan Jemeel.
Hassan kamtuliza wapi!....Riri kazoea kusagana so mambo ya wanaume kwake sio ishuu...japo jamaa anajitahidi kumtuliza,

Me Rihanna ananichosha anavyomvutisha mibangi na kumnywesha ma spirit yule jamaa! Namuonea huruma mtoto watu wa asee
 
Aliusiwa kabisa na kina Figo, Kama asikorofishane na uyo mtu. Kubwa ambalo anashindwa kufahamu ni kuwa karibu ya asilimia 50 ya umashuhuri wake unatokana na Perez.
Ewaaaa mkuu!...Kudos ndo hiyo storee nilitaka kuelezea!

Yule mbabu ni mbayaa CR hajui tu anaendekeza kipaji eti[emoji15] [emoji15]
 
Anaringa sana akiwa na kim pembeni anajiona yeye ndio ana mwanamke duniani
Kanye nae...hili lijamaa limeshachafuliwa nyota yake kwa kuingia kwake kwenye cursed family!

Ukishaingia kwenye Kardashian family ujue umekwenda na maji! Lamar odom mume wake Khole ni teja now, Scott alikuwa husband wake Khoutney nae kwisha habare yake!

Wakina Kris, Reggie, Ray j, na huyo now Cristiano Ronaldo mabwana zake Kim K full mikosi now
 
Hassan kamtuliza wapi!....Riri kazoea kusagana so mambo ya wanaume kwake sio ishuu...japo jamaa anajitahidi kumtuliza,

Me Rihanna ananichosha anavyomvutisha mibangi na kumnywesha ma spirit yule jamaa! Namuonea huruma mtoto watu wa asee

Hiyo ni moja ya mbinu wanatumia hawa wadada, ya kupata "financial insurance" kutoka kwa hao vijana matajiri wa saudia.

NI kama alivyofanya Janet Jackson kwa yule kijana mwingine wa kiarabu.

Pia hutaka kupata watoto wazuri wenye tangirangi nzuri za kuvutia.

😀😀
 
Akipatikana na hatia atalala ndani, wazungu hawaangalii umaarufu, Floyd Money Half A Billion alilala ndani, Bill Cobs na wengine wote.

Labda ushahidi ukosekane. Ila ni noma wazee tuache utani. Ronaldo kazi anayo.
Hakuna cha ushahidi mkuu hilo ni zengwe kaundiwa tu ili kumstress!

Huyo demu katumika tu...mark my words CR hatafungwa!
 
Yes mkuu...

Daah kama Janet kapata mtoto mwarabu na mcute na $500million kama divorcée
 
Kwahiyo watamuuliza Kim kama Christiano alikula tigo?!


Hao polisi wakiwauliza madem zangu swali hilo mbona ningefungwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…